Interview ya Tundu Lissu yasitishwa Wasafi FM. Mwenyewe ang'ang'ania ofisi za Wasafi. Wakubaliana kuifanya wakati mwingine

Interview ya Tundu Lissu yasitishwa Wasafi FM. Mwenyewe ang'ang'ania ofisi za Wasafi. Wakubaliana kuifanya wakati mwingine

Habari zilizonifikia hivi punde ni kwamba interview ya Mh. Tundu Lissu pale Wasafi FM imefutwa.

Awali ilielezwa kwamba Tundu Lissu angefanya mahojiano katika kituo cha Wasafi. Taarifa zisizowekwa wazi ni kwamba mahojiano hayo yamefutwa kufuatia maelekezo ya CCM

---
Taarifa kutoka ukurasa rasmi wa CHADEMA mtandao wa X

Leo tarehe 07 Februari 2024 Makamu Mwenyekiti Bara Mhe. Tundu Lissu alipata mwaliko wa kufanya mahojiano maalum na kituo cha Luninga cha Wasafi Tv katika kupindi cha Good Morning kinachoanza saa 11 alfajiri mpaka saa mbili asubuhi. Jana usiku moja ya watangazaji wa kipindi hicho alimpigia Mhe. Lissu na kumjuza kuwa mahojiano hayo yameahirishwa kutokana na maelekezo kutoka juu.

Aidha, asubuhi ya leo Mhe. Tundu Lissu amefika Wasafi Tv kujua sababu za kuahirishwa kwa mahojiano hayo. Tunaendelea kufuatilia kinachoendelea muda huu katika ofisi za Wasafi Tv.



Updates

Tundu Lissu sasa yupo Wasafi FM kupata sababu za msingi za kufutwa kwa mahojiano. Licha ya kupewa taarifa kwa njia ya simu, Lissu hakuridhika na badala yake amekuja mwenyewe Wasafi. Uongozi wa Wasafi umeomba radhi bila kueleza sababu za msingi.

View attachment 2896687
Picha: Tundu Lissu akiwa ofisi za Wasafi

View attachment 2896880
Dunia inakwenda kasi sanaa.
Yaani Lissu anawabembeleza waajiriwa wa Diamond wamhoji!
Kwa nini Chadema wasiwe na TV yao kama ilivyo kwa CCM na channel 10 yao?
Wanajua kupiga tu ruzuku lakini maendeleo ya chama ni bure kabisaa. Ovyo sana hawa manyumbu.
Hayo mabilioni wanashindwa kwa na TV kweli? Kweli?
Nimechukia sanaaa
 
  • Thanks
Reactions: Tui
Siasa za Mjinga ni CHUKI Facts za Lissu kwanini wasiz8jibu kwa Facts?
wew ukiona facts na mimi nikiona ni upotoshaji tu,

mihemko na maporomoko ya mitusi huwa inatoka wap 🐒
 
hana ratiba nyingi wala hana umhuhimu kiasi hicho 🐒

Chombo huru cha habari kimeamua kufuta ratiba ya mahojiano na huyo mjamaa kwasabb zilizo inje ya uwezo wao mpaka hapo itakapotangazwa vinginevyo.....

unatamani kulazimisha nini kwenye chombo huru au uhuru hauna maana tena 🐒
Huna akili, hawa wamedesturb mpaka ratiba za Watanzania jinga wewe.


 
Ona akili yake ilivyo mbaya. Kwani ni nguvu kuhojiwa? Wamebadilisha offer kukuhoji ukitaka dai muda na nauli kuja studio kuleta fujo. Yes kuleta fujo maana walikupigia simu kwamba mahojiano hayatakuepo[emoji1787][emoji23]
Lissu siyo mlalahoi kama kapuku wewe, ana ratiba zake so mpaka kukubali mwaliko wa wasafi alivunja ratiba zake kwahiyo siyo kitahisi namna hiyo kuahirisha mahojiano bila kumpa sababu za msingi. Wasafi, Clouds na media kibao za kitanzania wanapaswa kujifunza namna ya kuendesha taasisi zao kitaalamu kama wenzetu (Kenya)
 
Wewe NI mpumbavu, hili siyo tusi hii NI sifa yako.
umepanic 🤣
unaelekea kuyaporomosha tena 🤣🤣

hakuna tusi mahali ispokua nimehojohi tu ikiwa wewe unaona jambo fulani kwa sura ya kushoto nami nikaliona jambo hilo hilo kwa sura ya kulia mihemko na maporomoko ya mitusi huwa inatoka wap 🐒
 
Huna akili, hawa wamedesturb mpaka ratiba za Watanzania jinga wewe.


🤣 Ndio Tatizo la kua na ratiba moja tu siku mzima 🤣


Hakuna alternative kabisa
 
Habari zilizonifikia hivi punde ni kwamba interview ya Mh. Tundu Lissu pale Wasafi FM imefutwa.

Awali ilielezwa kwamba Tundu Lissu angefanya mahojiano katika kituo cha Wasafi. Taarifa zisizowekwa wazi ni kwamba mahojiano hayo yamefutwa kufuatia maelekezo ya CCM

---
Taarifa kutoka ukurasa rasmi wa CHADEMA mtandao wa X

Leo tarehe 07 Februari 2024 Makamu Mwenyekiti Bara Mhe. Tundu Lissu alipata mwaliko wa kufanya mahojiano maalum na kituo cha Luninga cha Wasafi Tv katika kupindi cha Good Morning kinachoanza saa 11 alfajiri mpaka saa mbili asubuhi. Jana usiku moja ya watangazaji wa kipindi hicho alimpigia Mhe. Lissu na kumjuza kuwa mahojiano hayo yameahirishwa kutokana na maelekezo kutoka juu.

Aidha, asubuhi ya leo Mhe. Tundu Lissu amefika Wasafi Tv kujua sababu za kuahirishwa kwa mahojiano hayo. Tunaendelea kufuatilia kinachoendelea muda huu katika ofisi za Wasafi Tv.



Updates

Tundu Lissu sasa yupo Wasafi FM kupata sababu za msingi za kufutwa kwa mahojiano. Licha ya kupewa taarifa kwa njia ya simu, Lissu hakuridhika na badala yake amekuja mwenyewe Wasafi. Uongozi wa Wasafi umeomba radhi bila kueleza sababu za msingi.

View attachment 2896687
Picha: Tundu Lissu akiwa ofisi za Wasafi

View attachment 2896880
Naseeb mnafiki sana,Tundu hawezi kufanya interview pale Wasafi,ile ni redio ya kusifu na kuabudu!
Kampeni za uchaguzi zimekaribia,mnataka Naseeb akose tenda ya kukiimbia chama twawala?
Wasafi ni moja media ambazo zinafuatilia ziara ya DAB kupitia ripota wao Zungu!
 
Chadem

Chadema si waanzishe radio yao,waache kutafuna ruzuku
Akili zako ni ndogo sana.kwahiyo wakuwa na radio yao ndio hawatakiwi kualikwa na vyombo vingine vya habari.Ficha ujinga wako hauna faida.
 
Back
Top Bottom