Nauliza shambulio. Limezimwa na waajemi? Vipi hakuna live stream? Wewe unaulizwa jina lako nani, unaanza kujibu "mimi naishi kibong'oto".We bibi tulia mumeo atandikwe. Japo msala utakuwa kwetu wa afrika
Asee Israel nouma kwa masaa imekuwa inacheza na kurandaranda kwenye anga ya Iran inavyopenda.Don’t go around posting things without a credible source.
ie live now on Aljazeera etc
We unasemaje kachemka wakati bado muda upo na China kila siku inapiga hatua, kila kitu kipe muda, ndio hizi habari Israel ilikuwa inaua wanasayansi wa Iran wanakaa kimya watu wanasema Iran inaogopa, haya sasa karushiwa makobora 200 wamefanya nini?Kujipa moyo tu. Mchina pale Taiwan kachemka ijekuwa Iran sheikh
Nauliza shambulio. Limezimwa na waajemi? Vipi hakuna live stream?Asee Israel nouma kwa masaa imekuwa inacheza na kurandaranda kwenye anga ya Iran inavyopenda.
Kondoo watakuelewa vipi?
Akili ya madrasa haiwezi kuukomboa ulimwengu.Ita mhadhara ulinganie dini yako sisi tunashuhudia muajemi akichapikaMimi nitakusaidia akili yako kwenye uteule tu uamsho:
Mteule anamwita Yesu mwanaharamu??
Mteule wako hautambui Ukiristo na wanafunja makanisa ya Wapalestina Gaza na Lebanon.
Mteule wako alichapwa akatanywa na warumi ( wakiristo) kws tuhuma za kumkataa/ kuua Yesu.
Mteule wako waliuwawa na Mjerumani Hitler million sita wayahudi waliuawawa.
Wateule wako walishafukuzwa kabisa mara 1035 na dola mbalimbali huko Ulaya kwa ajiri ya ukorofi wao. Mara ya mwisho wakaona njia rahisi ni kuwahamishia hiyo cancer yao mashariki ya kati ili wao wapimzike nao.
Akili zako ziko wapi , msikibali kudanganywa ovyo. Acheni akili zitafskari huu uteule uliosambazwa na mspadri wa kixungu ulikuwa na nia gani? Kukulaza. Akili kila mtu anazake. Zangu haziutambui uteule wao na habari zao za uasi, kuua mitume, ukorofi tunazisoma.
Pamoja na ‘wehu’ wake, kipindi akiwa madarakani hakukuwa na hizi vita. Huu ni ukweli, hata kama haukupendezi.Ayatollah wakimuua na Netanyahu anahama Israel anakwenda kuishi Washington DC, kwa sababu lazima watamla kichwa tu, kama migambo wa Hebollah wamemkosa na drone kwake, unafikiri Iran itashindwa...
Haya mashambulizi ya Israel ni ya uoga, vyanzo mbali mbali vina report hali ni shwari Tehran, Israel inajibu kama kutokubali unyonge mbele ya Iran, na mimi nasema hata kama wamejibu kwa uoga Iran siwaonee huruma, iwatandike kweli kweli mpaka wakome.
Sema yule mwehu Trump akiingia, kuna uwezekano huu mgogoro uka escalate zaidi...
Kuna mambo yanaendelea nyuma ya pazia kuzima huu mvutano, na mwenyekiti wa kikao ni USA....
Nachosema si mlisema Isreal hatathubutu kurusha chochote. Vip karusha au bado. China inabaki kufanya mazoez around hatathubutu kuingia.We unasemaje kachemka wakati bado muda upo na China kila siku inapiga hatua, kila kitu kipe muda, ndio hizi habari Israel ilikuwa inaua wanasayansi wa Iran wanakaa kimya watu wanasema Iran inaogopa, haya sasa karushiwa makobora 200 wamefanya nini?
Kamuulize hawara ya bibi yako wa kambo huko.Nauliza shambulio. Limezimwa na waajemi? Vipi hakuna live stream?
Live stream Iran? wap na wapi we bibi.Nauliza shambulio. Limezimwa na waajemi? Vipi hakuna live stream? Wewe unaulizwa jina lako nani, unaanza kujibu "mimi naishi kibong'oto".
, hivi hizo shule mlienda kusomea ujinga? Au ndiyo ukondoo wenyewe huo?
Kitendo cha Israel kuwa neutralize proxies wa Iran manake ni powerful kuliko Iran.Ayatollah wakimuua na Netanyahu anahama Israel anakwenda kuishi Washington DC, kwa sababu lazima watamla kichwa tu, kama migambo wa Hebollah wamemkosa na drone kwake, unafikiri Iran itashindwa...
Haya mashambulizi ya Israel ni ya uoga, vyanzo mbali mbali vina report hali ni shwari Tehran, Israel inajibu kama kutokubali unyonge mbele ya Iran, na mimi nasema hata kama wamejibu kwa uoga Iran siwaonee huruma, iwatandike kweli kweli mpaka wakome.
Sema yule mwehu Trump akiingia, kuna uwezekano huu mgogoro uka escalate zaidi...
Kuna mambo yanaendelea nyuma ya pazia kuzima huu mvutano, na mwenyekiti wa kikao ni USA....
Kati ya Israel na Iran nani magaidi?Wenzio wanajenga shelter kulinda raia magaid yanajenga kulinda askari matokeo raia wengi wanajikuta kwenye moto
Source? Watu wanapelekewa moto huko qmmke.Source?..
Warudie mara ngapi Israel ietandikwa mara mbili, hii ya pili baada ya kujitafakari sana, ndipo wameenda kurusha mafataki huko Iran kwa uoga.Hypersonic ushuzi,watu wanatwangwa mabomu kwa accuracy ya 100% na kama wapo "gado" basi warudie tena ndio watakapoona rangi kamili ya Israel, kama proxies wake wapo hoi basi yeye ndionatachakazwa kabisa.
Hahaha we unajua Nyau yuko wapi sasa hiviOoh athubutu kupiga hata jiwe ooh cjui nini. Mzee huyo ni jews. Sasa hiv mmebadilisha kauli sio yeye ni nato au hakuna kitu. Iran nae atakuja atasema hakuna kitu kimeharibika. Kikubwa ujumbe kaupata sasa mpira upo kwake. Akijibu wanaume wanamalizana nae. Ndio maana wazir wa foreign affair wa iran katembea nchi zote za kiarabu kutuliza mzuka lakin mzigo ndio huo
Netanyahu analala lodge, kama sio lodge ni hostel za wanafunzi, akishamaliza anaamka kwenda ofisini kwake kwenye shimo kama nyoka.We ni mpumbavu mkubwa kwani unajua anapo lala ayatollah?
Iweje unataka kujua anapo lala netanyau?
Naona upeo wako wa kufikiri ndipo ulipoishia.Live stream Iran? wap na wapi we bibi.
Hapo Israel ni profile picture ana ye chat ni USA na EU.Hahahahahaha kwa hiyoo hapo ni America vs Iran 🇮🇷,
Israel 🇮🇱 anatumika kama chambo tuu