Iran wamewaambia UN iwapo Israel itaivamia Lebanon, mashirika yote ya Kiislamu ya Mashariki ya Kati yatakwenda Lebanon na kujiunga na Hezbollah"

Iran wamewaambia UN iwapo Israel itaivamia Lebanon, mashirika yote ya Kiislamu ya Mashariki ya Kati yatakwenda Lebanon na kujiunga na Hezbollah"

Wanakumbi.

MPYA:

🇮🇷🇮🇱 Iran katika Umoja wa Mataifa:

"Iwapo Israel itaivamia Lebanon, mashirika yote ya Kiislamu ya Mashariki ya Kati yatakwenda Lebanon na kujiunga na Hezbollah"

Iran imesema katika Umoja wa Mataifa kwamba iwapo Israel itaanzisha vita vikali dhidi ya Hizbullah nchini Lebanon, basi chaguzi zote zitakuwa mezani ikiwa ni pamoja na kuhusika kwa pande zote katika mhimili wa muqawama.


View: https://x.com/megatron_ron/status/1807016405834912086?s=12&t=mTROWpaJUT8H393JMgWOvw

Hezbollah ni mkono na mdomo wa Iran. Israeli kumkomesha Iran ndani ya Syria, kamfumua Hamas mshirika mwingine wa Iran. Iran ikikubali Hezbollah akifumuliwa na Israeli, basi Iran hatakuwa na proxy group nyingine ya kupambana na Israeli na ugomvi wowote utakaofuata itakuwa ni Iran dhidi ya Israeli. Kwa sasa Iran hayuko tayari kuivaa Israeli katika vita, hivyo kazi kubwa aliyonayo ni kuhakikisha kuwa Hezbollah hailekezwi Kibra na Israeli.
 
Mkuu kipindi wewe unasema hivyo huko Lebanon wanapishana viongozi wa US kutuliza hali isiwe mbaya.
Tokea Iran irushe makombora directly toka Iran kuingia ndani ya ardhi ya Israel USA na Israel wenyewe wanajua kuwa Iran akiongea hatanii.
Haikupatapotokea Iran kushambulia directly Israel ila toka itokee mwaka huu threat imeongezeka.
Tupo hapa tutaona,hao waajemi huwa wanaongea kama utani hivi.
Hawa waajemi waliokuwa wanatumia outdated helcopter ya kimarekani kumbeba marehemu Rahisi?
 
Wanakumbi.

MPYA:

🇮🇷🇮🇱 Iran katika Umoja wa Mataifa:

"Iwapo Israel itaivamia Lebanon, mashirika yote ya Kiislamu ya Mashariki ya Kati yatakwenda Lebanon na kujiunga na Hezbollah"

Iran imesema katika Umoja wa Mataifa kwamba iwapo Israel itaanzisha vita vikali dhidi ya Hizbullah nchini Lebanon, basi chaguzi zote zitakuwa mezani ikiwa ni pamoja na kuhusika kwa pande zote katika mhimili wa muqawama.


View: https://x.com/megatron_ron/status/1807016405834912086?s=12&t=mTROWpaJUT8H393JMgWOvw

hili nalo lishagq changanyikiwa…
angalieni nyuzi zake
Ubongo ushajam na hamas na ugaidi
 
Wanakumbi.

MPYA:

🇮🇷🇮🇱 Iran katika Umoja wa Mataifa:

"Iwapo Israel itaivamia Lebanon, mashirika yote ya Kiislamu ya Mashariki ya Kati yatakwenda Lebanon na kujiunga na Hezbollah"

Iran imesema katika Umoja wa Mataifa kwamba iwapo Israel itaanzisha vita vikali dhidi ya Hizbullah nchini Lebanon, basi chaguzi zote zitakuwa mezani ikiwa ni pamoja na kuhusika kwa pande zote katika mhimili wa muqawama.


View: https://x.com/megatron_ron/status/1807016405834912086?s=12&t=mTROWpaJUT8H393JMgWOvw

Wameshajiunga?
Shehe ponda hajapata Visa akaungane na wenzake?
 
Wanakumbi.

MPYA:

🇮🇷🇮🇱 Iran katika Umoja wa Mataifa:

"Iwapo Israel itaivamia Lebanon, mashirika yote ya Kiislamu ya Mashariki ya Kati yatakwenda Lebanon na kujiunga na Hezbollah"

Iran imesema katika Umoja wa Mataifa kwamba iwapo Israel itaanzisha vita vikali dhidi ya Hizbullah nchini Lebanon, basi chaguzi zote zitakuwa mezani ikiwa ni pamoja na kuhusika kwa pande zote katika mhimili wa muqawama.


View: https://x.com/megatron_ron/status/1807016405834912086?s=12&t=mTROWpaJUT8H393JMgWOvw

Vp wameshaenda ?!
 
Wanakumbi.

MPYA:

🇮🇷🇮🇱 Iran katika Umoja wa Mataifa:

"Iwapo Israel itaivamia Lebanon, mashirika yote ya Kiislamu ya Mashariki ya Kati yatakwenda Lebanon na kujiunga na Hezbollah"

Iran imesema katika Umoja wa Mataifa kwamba iwapo Israel itaanzisha vita vikali dhidi ya Hizbullah nchini Lebanon, basi chaguzi zote zitakuwa mezani ikiwa ni pamoja na kuhusika kwa pande zote katika mhimili wa muqawama.


View: https://x.com/megatron_ron/status/1807016405834912086?s=12&t=mTROWpaJUT8H393JMgWOvw

Haya mashirika yamepotelea wapi?
 
Back
Top Bottom