Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Lete link hapa! Acha porojo!Nenda sky news. Halafu uwe mtu wakufuatilia vyombo vya habari za kimataifa.
Inaonekana wamepigwa sehemu mbaya sana kwa sababu tofauti na mashambulizi ya mwanzoni sasa hivi malalamiko yamekua mengi kupita kiasi kiasi
Bangi haikufai..Iran ni wajinga..?Hawa jamaa wanadhihirisha walivyo wajinga!
Na wana msibiria ajibu ageuzwe kifusiIran ilitakiwa itandikwe vya kutosha ili mashariki ya kati kuwe na amani. Ngoja ajibu shambulizi aone cha moto. Ni bora akae kimya tu
Ndio nyie au 🤔watoto wateule wa kishetani 🤣😂
Iran inadai Israel imetenda kosa Chini ya Mkataba wa Umoja wa Mataifa wa mwaka 1945 unaokataza nchi moja kuvamia nchi nyingine Kama uchokozi. Iran inaiomba Baraza Kuu kuiwekea vikwazo Israel kwa kuvunja mkataba huo wa umoja wa mataifa.
Iran ilitakiwa itandikwe vya kutosha ili mashariki ya kati kuwe na amani. Ngoja ajibu shambulizi aone cha moto. Ni bora akae kimya tu
Tumia akili au na wewe ni nyumbu wa chademaNimewashangaa Sana. Sijui wanalalamika Nini?
Hakuna kitu tumia akili utajua mchezo unachezwajeInaonekana wamepigwa sehemu mbaya sana kwa sababu tofauti na mashambulizi ya mwanzoni sasa hivi malalamiko yamekua mengi kupita kiasi kiasi
Wewe ndio unapaswa utumie akili ili ujue kinacho endeleaHakuna kitu tumia akili utajua mchezo unachezwaje
Sound like imagination.Hiyo ni procedure ya kwanza ktk mlolongo wa hatua ambazo Iran itachukua ili baadae isilaumiwe.
Na bado hajasema na atasema tu Netanyahu nyooosha kabisa hao kenge.Iran imepelekea ombi mbele ya Baraza la Usalama la umoja wa mataifa likitaka kulijadili Israel kutokana na mashambulizi yake ndani ya eneo la Iran. Ombi Hilo limeungwa mkono na Urusi, China na Algeria.
Iran inadai Israel imetenda kosa Chini ya Mkataba wa Umoja wa Mataifa wa mwaka 1945 unaokataza nchi moja kuvamia nchi nyingine Kama uchokozi. Iran inaiomba Baraza Kuu kuiwekea vikwazo Israel kwa kuvunja mkataba huo wa umoja wa mataifa.
Safar hii tunaenda na njia izo izo zakwenu mpk mkae sawa.Hawa jamaa wanadhihirisha walivyo wajinga!