Iran yapeleka malalamiko rasmi Baraza la Usalama la umoja wa mataifa

Iran yapeleka malalamiko rasmi Baraza la Usalama la umoja wa mataifa

Naanza kuona waarabu wanatumia akili zao vizuri sasa.

Marekani na NATO walidhani jamaa atainua mishale kujibu shambulio la jana.

Vita ni uhayawani mkubwa
Kama ni kweli Iran kafanya ivo bhc tutaona umoja wa mataifa utakua upande gani?
US imewekea vikwazo nchi nyingi mnoo
Leo hii watu wanakasirika taifa teule lisipigwe ban
 
IRAN wakupongezwa sana mana watu awataki kutumia akili kujua ukweli wa tukio jinsi lilivopangwa marekani n Israel walicheza mchezo mchafu kwann nasema aya Iran ni njia ya ndege nyingi zinapita apo tofauti na Israel sasa kitendo Israel n mwenzie kwenda na ndege eneo ilo likiwa anga lake alijafungwa ilikiwa hatari kubwa kwa ndege zilizokuwa zinapita wkt uleule nawao wanashambulia naamini walitaka Iran aingie kwenye mgogolo kama siku za nyuma na ile ndege ya Ukraen inamana kama Iran ingechagua kutarget ndege adui basi leo tungekuwa tunaongea history tofaut mana zingeshushwa na ndege zakibiashara zilizokuwa juu y anga wkt uleule Israel n mwenzie wanashambulia apo IRAN apewe mauwa yake. Kwann tusiwape mauwa nawapa kifano hai syria walifanyia mchezo kama huu ndege ya kijesh ya Israel ilijificha juu zaid n chini yake kuna ndege ya Urusi kubwa ikiwa na wajeda 15 syria ilipojaribu kupambana n ile adui ikajikuta imeishusha ndege ya Urusi nchi rafiki yake iyoirinda syria!!! Vita ya Ukrani hii inayoendelea n Urusi mwanzo mwanzo wa hii vita kulitokea tukio kama ili tena ndege ya air malaysia ilishushwa na abiiriawake walikufa wote. Kwanini nimeita mchezo mchafu sababu IRAN kila akipata fununu kuwa atashambuliwa alikuwa akifunga anga ili uyo mshambuliaji asipate shida lkn wakawa nawao wanasitisha kushambulia Iran akifungua anga nawao wanaanza mipango yao Iran alishafunga anga mala3 lkn zote awakushambulia unajua kwann awashambulii ikiwa anga limefungwa niwazi IRAN ingeweza ziangusha ndege zote zilizoshambulia kwake pengine ata kabla azijarusha missile na kwann ni mchezo mchafu USA na kibalaka wake walipojua tu sasa Iran ashafunga angalake, wao wakakimbiza ndege zao zilipotokea leo tungekuwa tunabishana ishu zengine apa Iran bado watoto kumiliki air defensi na mengine wkt tim Israel ikiona Iran zaifu ety awajatungua ndege ata moja. Wazungu wa tukio ili limewavuruga kias awaelewi Iran kapata wapi uzoefu wakijesh w kila idala wapo fiti majini wako ok angani wapo ok ardhin wapo ok awa jamaa wamepatia wapi uzoefu wa aya. Asubui njema watanzania wenzangu mungu atujaalie ktk kutafuta kwetu,
 
UKielimishwa sikiliza ikifaa chukua isipofaa acha, kitendo cha kuelezwa kitu fulani alafu ukawa unajibu jibu kwa namna fulani si adabu mkuu
Ukiona hivyo umepuyanga mkuu.

Unanielimisha kwani nimeomba hivyo?

Waarabu siyo kabila bali jamii. Ni sawa na waafrika ambapo tuna nasaba kibao mkuu.

Pokea elimu hiyo ambayo hujaiomba pia
 
Iran imepelekea ombi mbele ya Baraza la Usalama la umoja wa mataifa likitaka kulijadili Israel kutokana na mashambulizi yake ndani ya eneo la Iran. Ombi Hilo limeungwa mkono na Urusi, China na Algeria.

Iran inadai Israel imetenda kosa Chini ya Mkataba wa Umoja wa Mataifa wa mwaka 1945 unaokataza nchi moja kuvamia nchi nyingine Kama uchokozi. Iran inaiomba Baraza Kuu kuiwekea vikwazo Israel kwa kuvunja mkataba huo wa umoja wa mataifa.
Juzi kuna wachambuzi mchwara si walisema Israel ilirusha makombora ikiwa nje ya anga la Iran?
Yako wapi sasa.
 
Iran imepelekea ombi mbele ya Baraza la Usalama la umoja wa mataifa likitaka kulijadili Israel kutokana na mashambulizi yake ndani ya eneo la Iran. Ombi Hilo limeungwa mkono na Urusi, China na Algeria.

Iran inadai Israel imetenda kosa Chini ya Mkataba wa Umoja wa Mataifa wa mwaka 1945 unaokataza nchi moja kuvamia nchi nyingine Kama uchokozi. Iran inaiomba Baraza Kuu kuiwekea vikwazo Israel kwa kuvunja mkataba huo wa umoja wa mataifa.
Sasa wanaposema mashambulizi yalikuwa madogo sana sasa wanalalama nini huko UNSC???
 
Iran imepelekea ombi mbele ya Baraza la Usalama la umoja wa mataifa likitaka kulijadili Israel kutokana na mashambulizi yake ndani ya eneo la Iran. Ombi Hilo limeungwa mkono na Urusi, China na Algeria.

Iran inadai Israel imetenda kosa Chini ya Mkataba wa Umoja wa Mataifa wa mwaka 1945 unaokataza nchi moja kuvamia nchi nyingine Kama uchokozi. Iran inaiomba Baraza Kuu kuiwekea vikwazo Israel kwa kuvunja mkataba huo wa umoja wa mataifa.
Kuanzia mleta mada hadi wagalatia wengine ni watu wasiokua geopolitics huwa zinachezwa vipi.
Eti wanadhani Iran kulalamika UN ni sawa na Iran imepigwa sana.
Wacheni uzwazwa,Iran imepata limited damage na shughuli zinaendelea kama kawaida ilichoharibika ni radar ya airport tu.
Iran anatafuta kinga akishambulia kulipiza kisasi asije akaonekana mkorofi na akawekewa vikwazo tena.
Msisahau Iran ikifanya jambo Israel inakimbilia kulia USA na USA inakimbilia UN kuweka package ya vikwazo.
Mfano mzuri turudi May Israel ilipolipua balozi ya Iran Syria.
Iran ililalamika UN kwanza kabla haijajibu shambulizi.
Ndio maana iliposhambulia ilitoka kulaani tu ila hakuna nchi iliyounga mkono kuwekwa vikwazo kwa Iran licha ya Israel na USA kulalamika UN.
Watu wameshasahau kuwa kabla ya Israel kulipa kisasi ililalamika UN tena saana kila kikao ilikua ikimtaja Iran.
Iran inapita njia hizo hizo anazopita USA na Israel ili kusiwe na visingizio vya kuwekeana vikwazo mbeleni.

Ila Iran haijaathirika inaendelea na shughuli zake kama kawaida.
BBC na Aljazeer hadi France 24 wana correspondent ndani ya Tehran ila hawajaleta habari zozote za athari huko Iran.

Shida JF imejaa watoto wa balehe hawajadili fact bali mihemko.
Hata namna ya kuwasilisha taarifa hawajui.
Unapoleta taarifa lete na credible source ulipoitoa,sawa econonist !??
 
Back
Top Bottom