Iran yapeleka malalamiko rasmi Baraza la Usalama la umoja wa mataifa

Iran yapeleka malalamiko rasmi Baraza la Usalama la umoja wa mataifa

Kuanzia mleta mada hadi wagalatia wengine ni watu wasiokua geopolitics huwa zinachezwa vipi.
Eti wanadhani Iran kulalamika UN ni sawa na Iran imepigwa sana.
Wacheni uzwazwa,Iran imepata limited damage na shughuli zinaendelea kama kawaida ilichoharibika ni radar ya airport tu.
Iran anatafuta kinga akishambulia kulipiza kisasi asije akaonekana mkorofi na akawekewa vikwazo tena.
Msisahau Iran ikifanya jambo Israel inakimbilia kulia USA na USA inakimbilia UN kuweka package ya vikwazo.
Mfano mzuri turudi May Israel ilipolipua balozi ya Iran Syria.
Iran ililalamika UN kwanza kabla haijajibu shambulizi.
Ndio maana iliposhambulia ilitoka kulaani tu ila hakuna nchi iliyounga mkono kuwekwa vikwazo kwa Iran licha ya Israel na USA kulalamika UN.
Watu wameshasahau kuwa kabla ya Israel kulipa kisasi ililalamika UN tena saana kila kikao ilikua ikimtaja Iran.
Iran inapita njia hizo hizo anazopita USA na Israel ili kusiwe na visingizio vya kuwekeana vikwazo mbeleni.

Ila Iran haijaathirika inaendelea na shughuli zake kama kawaida.
BBC na Aljazeer hadi France 24 wana correspondent ndani ya Tehran ila hawajaleta habari zozote za athari huko Iran.

Shida JF imejaa watoto wa balehe hawajadili fact bali mihemko.
Hata namna ya kuwasilisha taarifa hawajui.
Unapoleta taarifa lete na credible source ulipoitoa,sawa econonist !??
Eti Iran isionekane wakorofi,kwani Hama's ambao ndio chanzo cha yote yanayotokea kwa kuishambulia Israel na kuua raia 1200 na Iran ndio wanaowafadhali pamoja na makundi yote yanayoishambulia Israel,huo siyo ukorofi?.

Iran imeishambulia Israel mara kadha huo wote siyo ukorofi?.
 
Aliyeandika barua ni Iraki kulalamikia Israel kutumia anga lake kushambulia Irani.
Iran awachape Iraq kwa kukiuka amri aliyoitoa kuwa nchi yoyote itakayoruhusu Israel kutumia anga lake kuishambulia ataichapa.
 
Eti Iran isionekane wakorofi,kwani Hama's ambao ndio chanzo cha yote yanayotokea kwa kuishambulia Israel na kuua raia 1200 na Iran ndio wanaowafadhali pamoja na makundi yote yanayoishambulia Israel,huo siyo ukorofi?.

Iran imeishambulia Israel mara kadha huo wote siyo ukorofi?.
Kijana nadhani wewe ni miongoni mwa wale nilowakataza kuni quote maana hamuna hoja bali mnaropoka mihemko.
Ugomvi haukuanzia Oktoba 7,ugomvi ulianzia toka Agosti 2023 IDF ilipogawa silaha kwa israel settlers na kuvamia mashamba ya Khani younis na kuwapiga raia wa Gaza na kulazimisha upanuzi wa makazi Jenin refugee camps.
Haya yote yalijadiliwa katika vikao vya Cairo Summit na UNGA,ndio maana unaona Gutteres anasema ugomvi haujaanzia Oktoba 7 ndio maana unaona mataifa makubwa kama Spain, Belgium,Brazil yalivunja uhusiano wa kidiplomasia na Israel.
Pia kaa ukijua makundi haya chanzo chake ni uchokozi wa Israel.
Kama Israel isingemuua msuluhishi wa Norway na kukwamisha uundwaji wa Palestina basi Hamas isingeundwa na kushika silaha.
Shida huna unalojua.
Usiwe unani quote.
 
Wewe naye chenga yaani ili USA amuwekee vikwazo Iran lazima apitie UN? Mnatia aibu badilikeni aisee.
Ona unaanza kuropoka sasa.
Vikwazo vya USA vitafanyaje kazi kimataifa kama sio kupitia UN!?
Unatumia hata akili kidogo kaka!?
Vikwazo vya uchumi aliviweka kupitia UN na vikwazo vya silaha na nuclear aliviweka kupitia UN nuke watchdog.
Na bahati mbaya vya nuke vimeisha UN wakamruhusu uchakataji nuke na uundaji silaha hata USA alivyogoma vikwazo vyake vikawa havina nguvu maana majority imekubali kumuondolea.
 
Iran imepelekea ombi mbele ya Baraza la Usalama la umoja wa mataifa likitaka kulijadili Israel kutokana na mashambulizi yake ndani ya eneo la Iran. Ombi Hilo limeungwa mkono na Urusi, China na Algeria.

Iran inadai Israel imetenda kosa Chini ya Mkataba wa Umoja wa Mataifa wa mwaka 1945 unaokataza nchi moja kuvamia nchi nyingine Kama uchokozi. Iran inaiomba Baraza Kuu kuiwekea vikwazo Israel kwa kuvunja mkataba huo wa umoja wa mataifa.

Baraza la Usalama la Umoja wa Mataifa litakutana Jumatatu kujadili shambulio la Israel dhidi ya Iran, rais wa baraza hilo, Uswisi, alisema Jumapili.

Ujumbe wa Uswisi katika Umoja wa Mataifa ulisema kuwa mkutano huo umeombwa na Iran kwa msaada wa Algeria, China, na Urusi.

"Vitendo vya utawala wa Israel vinawakilisha tishio kubwa kwa amani na usalama wa kimataifa na vinaendelea kudhoofisha eneo ambalo tayari lina msukosuko," alisema Waziri wa Mambo ya Nje wa Iran, Abbas Araqchi, katika barua yake kwa baraza hilo lenye wanachama 15 Jumamosi.

Source: Reuters
Sa we mjukuu wa mkosa nyumba unadhani Iran kufanya vile nidhaifu? Hio ni siasa atakapo mchakaza Israel na yeye asipigwe sunction. Hapo weka akilini Iran kamkusudia safari hi kipondo kizito sana utakuja niambia hapa.
 
Iran imepelekea ombi mbele ya Baraza la Usalama la umoja wa mataifa likitaka kulijadili Israel kutokana na mashambulizi yake ndani ya eneo la Iran. Ombi Hilo limeungwa mkono na Urusi, China na Algeria.

Iran inadai Israel imetenda kosa Chini ya Mkataba wa Umoja wa Mataifa wa mwaka 1945 unaokataza nchi moja kuvamia nchi nyingine Kama uchokozi. Iran inaiomba Baraza Kuu kuiwekea vikwazo Israel kwa kuvunja mkataba huo wa umoja wa mataifa.

Baraza la Usalama la Umoja wa Mataifa litakutana Jumatatu kujadili shambulio la Israel dhidi ya Iran, rais wa baraza hilo, Uswisi, alisema Jumapili.

Ujumbe wa Uswisi katika Umoja wa Mataifa ulisema kuwa mkutano huo umeombwa na Iran kwa msaada wa Algeria, China, na Urusi.

"Vitendo vya utawala wa Israel vinawakilisha tishio kubwa kwa amani na usalama wa kimataifa na vinaendelea kudhoofisha eneo ambalo tayari lina msukosuko," alisema Waziri wa Mambo ya Nje wa Iran, Abbas Araqchi, katika barua yake kwa baraza hilo lenye wanachama 15 Jumamosi.

Source: Reuters
cc: Ritz, FaizaFoxy
 
Iran ilitakiwa itandikwe vya kutosha ili mashariki ya kati kuwe na amani. Ngoja ajibu shambulizi aone cha moto. Ni bora akae kimya tu
Ww unatamani kupigana na mtu usiomweiza hapo ndo uwezo wake amejistretch ww kwa mwezi mmoja ndo akaleta hicho ww ulitaka afanyaje ..kama kimekuuma sana kamsaidie kulipiza iki aman unayoitaka urudi ...
 
Hawa jamaa wanadhihirisha walivyo wajinga!
Mjinga wewe usiyejua diplomasia,unaanza kumtia ubaya kwanza mtu anayeonekana mtakatifu na kupenda kutumia kete ya 'haki ya kujilinda'
 
Kuanzia mleta mada hadi wagalatia wengine ni watu wasiokua geopolitics huwa zinachezwa vipi.
Eti wanadhani Iran kulalamika UN ni sawa na Iran imepigwa sana.
Wacheni uzwazwa,Iran imepata limited damage na shughuli zinaendelea kama kawaida ilichoharibika ni radar ya airport tu.
Iran anatafuta kinga akishambulia kulipiza kisasi asije akaonekana mkorofi na akawekewa vikwazo tena.
Msisahau Iran ikifanya jambo Israel inakimbilia kulia USA na USA inakimbilia UN kuweka package ya vikwazo.
Mfano mzuri turudi May Israel ilipolipua balozi ya Iran Syria.
Iran ililalamika UN kwanza kabla haijajibu shambulizi.
Ndio maana iliposhambulia ilitoka kulaani tu ila hakuna nchi iliyounga mkono kuwekwa vikwazo kwa Iran licha ya Israel na USA kulalamika UN.
Watu wameshasahau kuwa kabla ya Israel kulipa kisasi ililalamika UN tena saana kila kikao ilikua ikimtaja Iran.
Iran inapita njia hizo hizo anazopita USA na Israel ili kusiwe na visingizio vya kuwekeana vikwazo mbeleni.

Ila Iran haijaathirika inaendelea na shughuli zake kama kawaida.
BBC na Aljazeer hadi France 24 wana correspondent ndani ya Tehran ila hawajaleta habari zozote za athari huko Iran.

Shida JF imejaa watoto wa balehe hawajadili fact bali mihemko.
Hata namna ya kuwasilisha taarifa hawajui.
Unapoleta taarifa lete na credible source ulipoitoa,sawa econonist !??
Iran hajapigwa kabisa,Mzayuni ameshangazwa.jana .Allahu akbar
 
Back
Top Bottom