Iran yapeleka malalamiko rasmi Baraza la Usalama la umoja wa mataifa

Iran yapeleka malalamiko rasmi Baraza la Usalama la umoja wa mataifa

Bado hawajaloloma,mpaka waite maji mma.
Israel bondabonda hao,mi nipo nyuma yenu mkishindwa.
Naongea nikiwa kipawa
 
Msijitoe akili hapa Israel ndio anaongoza kulialia pale UN mpaka wanaingia na mabango kwani hatuoni?
 
Hongera sana !
⚡️🇮🇱🇦🇿🇺🇸❌🇮🇷 - An Iranian Resident who's witnessed the Israeli Attack on Shahrud stated:
What was strange & worrisome was the flight path of the missile from North to South.


It seems that the projectiles used to attack "Parchin", "Khojir" and "Shahrud" Bases were launched over the Caspian Sea, from the Direction of the city of "Baku", Azerbaijan.

One thing to note is that there is an Air-Base in the city of "Baku" that is most likely used by Israel.
 
⚡️🇮🇱🇦🇿🇺🇸❌🇮🇷 - An Iranian Resident who's witnessed the Israeli Attack on Shahrud stated:



It seems that the projectiles used to attack "Parchin", "Khojir" and "Shahrud" Bases were launched over the Caspian Sea, from the Direction of the city of "Baku", Azerbaijan.

One thing to note is that there is an Air-Base in the city of "Baku" that is most likely used by Israel.
Iran haiwezi thubutu kutuma ndege zake kwenda kwenye anga la Israel au karibia na Israel ndiomaana anarusha vidrone na makombora kutokea kwake, lakini Israel imemuonyesha kuwa ni mbabe wa mashariki ya kati kwa kuingiza ndege zake 100 kwenye anga la Iran, yaani Iran imeshindwa kabisa kudondosha hadi F16? aibu gani hii?
 
Iran aliingia kichwa kichwa.
Alitegwa akaingia.
Iran ndio mzalishaji wa Magaidi duniani.
Urusi, China na Korea hawawezi kuisaidia Iran, wanajua na wote walisha lipuliwa na vibaraka wa Iran.
Ni lini nchi ya haki inayo watukana makafiri na isaidiwe na hao hao makafiri wanao wauwa ?
Msaada wa ukweli wa Iran utatokea Afghanistan na Somalia tu.
Unaniita Kafiri, nikusaidieje na kwa manufaa yepi?
Hebu kaa kwa kutulia unaandikaje kama mlevi wa banabana ..hivyo vitu ulivyovitaja havijawahi kutokea
 
Tumia akili itakusaidia. Mmoja wapi ni huyu anaezungumza. Wayahudi wanasema waliowachinja wenzao ni Wakiristilo. Mjerumani pekee aliua million 6 sio zamani ni 1940 na wapo wachache wanaishi wanaotwa “ holocust survivor”.
Usiufunike ukweli huu, miaka na miaka nyuma wauwaji wakuu wa wayahudi ni watoto wapDri.
 
Back
Top Bottom