Huwa hunaga hoja kaa pembeni.Iran hajapigwa kabisa,Mzayuni ameshangazwa.jana .Allahu akbar
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Huwa hunaga hoja kaa pembeni.Iran hajapigwa kabisa,Mzayuni ameshangazwa.jana .Allahu akbar
Watu huku ni wajinga na wana ushabiki mwingi ..iran amerumia diplomasia ya juu ili akishusha mvua ya makombora watu wale wanafki waanze kusmea Israeli ana haki ya kujilindaMjinga wewe usiyejua diplomasia,unaanza kumtia ubaya kwanza mtu anayeonekana mtakatifu na kupenda kutumia kete ya 'haki ya kujilinda'
Iran imepelekea ombi mbele ya Baraza la Usalama la umoja wa mataifa likitaka kulijadili Israel kutokana na mashambulizi yake ndani ya eneo la Iran. Ombi Hilo limeungwa mkono na Urusi, China na Algeria.
Iran inadai Israel imetenda kosa Chini ya Mkataba wa Umoja wa Mataifa wa mwaka 1945 unaokataza nchi moja kuvamia nchi nyingine Kama uchokozi. Iran inaiomba Baraza Kuu kuiwekea vikwazo Israel kwa kuvunja mkataba huo wa umoja wa mataifa.
Baraza la Usalama la Umoja wa Mataifa litakutana Jumatatu kujadili shambulio la Israel dhidi ya Iran, rais wa baraza hilo, Uswisi, alisema Jumapili.
Ujumbe wa Uswisi katika Umoja wa Mataifa ulisema kuwa mkutano huo umeombwa na Iran kwa msaada wa Algeria, China, na Urusi.
"Vitendo vya utawala wa Israel vinawakilisha tishio kubwa kwa amani na usalama wa kimataifa na vinaendelea kudhoofisha eneo ambalo tayari lina msukosuko," alisema Waziri wa Mambo ya Nje wa Iran, Abbas Araqchi, katika barua yake kwa baraza hilo lenye wanachama 15 Jumamosi.
Lazima walalamike. Sio kwa kipigo walichopata. Soma hii:: Reuters
Watoto hawa pia, wanachembechembe walizopandikiwa kuwa Israeli nj taifa teule na huwezi kuwaambia kituKuanzia mleta mada hadi wagalatia wengine ni watu wasiokua geopolitics huwa zinachezwa vipi.
Eti wanadhani Iran kulalamika UN ni sawa na Iran imepigwa sana.
Wacheni uzwazwa,Iran imepata limited damage na shughuli zinaendelea kama kawaida ilichoharibika ni radar ya airport tu.
Iran anatafuta kinga akishambulia kulipiza kisasi asije akaonekana mkorofi na akawekewa vikwazo tena.
Msisahau Iran ikifanya jambo Israel inakimbilia kulia USA na USA inakimbilia UN kuweka package ya vikwazo.
Mfano mzuri turudi May Israel ilipolipua balozi ya Iran Syria.
Iran ililalamika UN kwanza kabla haijajibu shambulizi.
Ndio maana iliposhambulia ilitoka kulaani tu ila hakuna nchi iliyounga mkono kuwekwa vikwazo kwa Iran licha ya Israel na USA kulalamika UN.
Watu wameshasahau kuwa kabla ya Israel kulipa kisasi ililalamika UN tena saana kila kikao ilikua ikimtaja Iran.
Iran inapita njia hizo hizo anazopita USA na Israel ili kusiwe na visingizio vya kuwekeana vikwazo mbeleni.
Ila Iran haijaathirika inaendelea na shughuli zake kama kawaida.
BBC na Aljazeer hadi France 24 wana correspondent ndani ya Tehran ila hawajaleta habari zozote za athari huko Iran.
Shida JF imejaa watoto wa balehe hawajadili fact bali mihemko.
Hata namna ya kuwasilisha taarifa hawajui.
Unapoleta taarifa lete na credible source ulipoitoa,sawa econonist !??
Vipi mkuu, Kigoma moja hiyo?Ukiona hivyo umepuyanga mkuu.
Unanielimisha kwani nimeomba hivyo?
Waarabu siyo kabila bali jamii. Ni sawa na waafrika ambapo tuna nasaba kibao mkuu.
Pokea elimu hiyo ambayo hujaiomba pia
Wewe pambania uenyekiti wa kitongoji, hayo mengine yamekuzidi akili na nguvu.Safar hii tunaenda na njia izo izo zakwenu mpk mkae sawa.
Nyie si ndio wazee wa vikwazo
Mgeta moko hiyoVipi mkuu, Kigoma moja hiyo?
iran ni wapuuzi wanaweza kuirushia iraq makombora kama kulipiza kisasiIran awachape Iraq kwa kukiuka amri aliyoitoa kuwa nchi yoyote itakayoruhusu Israel kutumia anga lake kuishambulia ataichapa.
Hawa na Mungu wao wote ni Kama nyama ya nguruwe pamoja na mpumbavu mmnoja anajiita sijui FAIZA FOXY humu ingekuwa bora Huyu Faiza apakwe mafuta ya PididiWalipoishambulia Israel walikuwa wanatekeleza mkataba Gani wa umoja wa mataifa??
Viwanda vya kutengenezea makombora vimeangamizwa na itachukua zaidi ya mwaka mzima kuvijenga tena.Duh si walisema Israel ikijibu wao watalusha makombora elf kumi sasa imekuwaje tena
Hapana ni miaka 100.bana sio mmojaViwanda vya kutengenezea makombora vimeangamizwa na itachukua zaidi ya mwaka mzima kuvijenga tena.
Ishu ndege kupenya mpk ndani kwao aibu hiiCheck iran ilivyo tungua makombora ya Israeli kudadeki
View attachment 3136860
Fuatilieni habari mazee. Al Jazeera, sauti America, BBC,Chanzo cha habari Kazurambimba Radio
Hakukua na makombola pale ni hewa tuuInatungua makombora gani?. Mbona ni hewa tu?. Onesha kombora linalotunguliwa
Mlituaminisha kuwa ndege za Israel hazikuingia IranCheck iran ilivyo tungua makombora ya Israeli kudadeki
View attachment 3136860
Yako wapi ndio nn ukweli wenyewe taarifa zinaendelea kuvuja walirusha wakiwa nje na taarifa latest Arzebaijan pia kuna makombora yalitokea hukoJuzi kuna wachambuzi mchwara si walisema Israel ilirusha makombora ikiwa nje ya anga la Iran?
Yako wapi sasa.