Iran yapeleka malalamiko rasmi Baraza la Usalama la umoja wa mataifa

Iran yapeleka malalamiko rasmi Baraza la Usalama la umoja wa mataifa

Mjinga wewe usiyejua diplomasia,unaanza kumtia ubaya kwanza mtu anayeonekana mtakatifu na kupenda kutumia kete ya 'haki ya kujilinda'
Watu huku ni wajinga na wana ushabiki mwingi ..iran amerumia diplomasia ya juu ili akishusha mvua ya makombora watu wale wanafki waanze kusmea Israeli ana haki ya kujilinda
 
Iran imepelekea ombi mbele ya Baraza la Usalama la umoja wa mataifa likitaka kulijadili Israel kutokana na mashambulizi yake ndani ya eneo la Iran. Ombi Hilo limeungwa mkono na Urusi, China na Algeria.

Iran inadai Israel imetenda kosa Chini ya Mkataba wa Umoja wa Mataifa wa mwaka 1945 unaokataza nchi moja kuvamia nchi nyingine Kama uchokozi. Iran inaiomba Baraza Kuu kuiwekea vikwazo Israel kwa kuvunja mkataba huo wa umoja wa mataifa.

Baraza la Usalama la Umoja wa Mataifa litakutana Jumatatu kujadili shambulio la Israel dhidi ya Iran, rais wa baraza hilo, Uswisi, alisema Jumapili.

Ujumbe wa Uswisi katika Umoja wa Mataifa ulisema kuwa mkutano huo umeombwa na Iran kwa msaada wa Algeria, China, na Urusi.

"Vitendo vya utawala wa Israel vinawakilisha tishio kubwa kwa amani na usalama wa kimataifa na vinaendelea kudhoofisha eneo ambalo tayari lina msukosuko," alisema Waziri wa Mambo ya Nje wa Iran, Abbas Araqchi, katika barua yake kwa baraza hilo lenye wanachama 15 Jumamosi.

: Reuters
Lazima walalamike. Sio kwa kipigo walichopata. Soma hii:
Report: "More than 20 were killed in the attack in Iran; the radars were hacked and froze"
Sources quoted in the Persian-language British "Independent" claimed that 26 people were killed, contrary to the official statement in Iran: "The radar screens were hacked and froze about five minutes before the first wave of attack. The Israeli planes were not detected." It was also claimed that the defense systems of an oil refinery and defense systems - including the S-300 - were also destroyed.
 
Kuanzia mleta mada hadi wagalatia wengine ni watu wasiokua geopolitics huwa zinachezwa vipi.
Eti wanadhani Iran kulalamika UN ni sawa na Iran imepigwa sana.
Wacheni uzwazwa,Iran imepata limited damage na shughuli zinaendelea kama kawaida ilichoharibika ni radar ya airport tu.
Iran anatafuta kinga akishambulia kulipiza kisasi asije akaonekana mkorofi na akawekewa vikwazo tena.
Msisahau Iran ikifanya jambo Israel inakimbilia kulia USA na USA inakimbilia UN kuweka package ya vikwazo.
Mfano mzuri turudi May Israel ilipolipua balozi ya Iran Syria.
Iran ililalamika UN kwanza kabla haijajibu shambulizi.
Ndio maana iliposhambulia ilitoka kulaani tu ila hakuna nchi iliyounga mkono kuwekwa vikwazo kwa Iran licha ya Israel na USA kulalamika UN.
Watu wameshasahau kuwa kabla ya Israel kulipa kisasi ililalamika UN tena saana kila kikao ilikua ikimtaja Iran.
Iran inapita njia hizo hizo anazopita USA na Israel ili kusiwe na visingizio vya kuwekeana vikwazo mbeleni.

Ila Iran haijaathirika inaendelea na shughuli zake kama kawaida.
BBC na Aljazeer hadi France 24 wana correspondent ndani ya Tehran ila hawajaleta habari zozote za athari huko Iran.

Shida JF imejaa watoto wa balehe hawajadili fact bali mihemko.
Hata namna ya kuwasilisha taarifa hawajui.
Unapoleta taarifa lete na credible source ulipoitoa,sawa econonist !??
Watoto hawa pia, wanachembechembe walizopandikiwa kuwa Israeli nj taifa teule na huwezi kuwaambia kitu
 
Ukiona hivyo umepuyanga mkuu.

Unanielimisha kwani nimeomba hivyo?

Waarabu siyo kabila bali jamii. Ni sawa na waafrika ambapo tuna nasaba kibao mkuu.

Pokea elimu hiyo ambayo hujaiomba pia
Vipi mkuu, Kigoma moja hiyo?
 
Iran awachape Iraq kwa kukiuka amri aliyoitoa kuwa nchi yoyote itakayoruhusu Israel kutumia anga lake kuishambulia ataichapa.
iran ni wapuuzi wanaweza kuirushia iraq makombora kama kulipiza kisasi
 
Kwenda UN ni kupoteza muda tu ni sawa na kwenda kumshitakia mtoto kwa baba yake na huku baba yake ndio kashirikiana naye kufanya uovu.

Hiyo UN ni kipengele kingine natamani kina PUTIN waanzishe UN yao kisha wawaachie hao west litaasisi lao nchi zote duniani zitajiunga kwa PUTIN
 
Walipoishambulia Israel walikuwa wanatekeleza mkataba Gani wa umoja wa mataifa??
Hawa na Mungu wao wote ni Kama nyama ya nguruwe pamoja na mpumbavu mmnoja anajiita sijui FAIZA FOXY humu ingekuwa bora Huyu Faiza apakwe mafuta ya Pididi
 
Iran mjanja sana anatafuta baraka za Umoja wa mataifa kabla ya kumshushia mtu kipigo
 
Juzi kuna wachambuzi mchwara si walisema Israel ilirusha makombora ikiwa nje ya anga la Iran?
Yako wapi sasa.
Yako wapi ndio nn ukweli wenyewe taarifa zinaendelea kuvuja walirusha wakiwa nje na taarifa latest Arzebaijan pia kuna makombora yalitokea huko
 
Back
Top Bottom