Iran yapeleka malalamiko rasmi Baraza la Usalama la umoja wa mataifa

Iran inadai Israel imetenda kosa Chini ya Mkataba wa Umoja wa Mataifa wa mwaka 1945 unaokataza nchi moja kuvamia nchi nyingine Kama uchokozi. Iran inaiomba Baraza Kuu kuiwekea vikwazo Israel kwa kuvunja mkataba huo wa umoja wa mataifa.

Naamini wanajua kwamba wameamua kuchekesha walionuna...
 
Na bado hajasema na atasema tu Netanyahu nyooosha kabisa hao kenge.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…