Iran yasema Israel ikijibu, itaitwanga mara 1,000 zaidi

Kwanza ile jana tu yule muirani yale mabomu angekua anpiga majengo ya watu na populated areas leo tungekua tunasema mengine maana yale mabomu ni hypersonic hakuna aidefence ya muisrael inaweza kuintercept ila yeye alikua anapiga millitary targets tu na maeneo muhimu, kapiga hadi hq ya mossad, nevatim airbase ndo iliisha kabisa na f35 20 ndani

Sent from my SM-A135F using JamiiForums mobile app
 
Wabongo useless hopeless idiots... Mambo ya watu mnajitia ujuaji mna update yanayojiri... Wakat kijijin kwa baba na mama yako wanalala njaa na huna msaada na hujui kinachoendelea...
Kwani hata wasipo jadili ndio chakula kitaenda afu you people mnadhani kila muda ni wa kazi ety afu piah kuna baadhi ya mamo ni muhimu sana kuyafuatilia
 
Nyie mbona Israel ikiua watoto na raia mnajazana hapa kusifia kua magaidi yamekufa.. Nyie mnatakiwa mjitasmin akili zenu kwa kwel
Dah yaani toka jana mpka leo kuna nyuzi mia moja zikisifu iran hii inaonesha ni jinsi gani hawa ndugu zetu walikuwa wanaumia na wanakosa pa kukimbilia sasa wanaona kama iran ndio mkombozi wao. Ngoja tuone kama hizi nyuzi wataziendeleza
 
Isreal wanaficha sana vifo vyao kisa wataonyesha udhaifu wao na watadhalilika kwasbb ya kujisifu na propaganda kila wakati.
Iran hawalengi raia, wapo makini sana, Iran precision ya missiles zao si mchezo, wanaweza rusha missile kutoka Iran ikapiga nyumba wanayoitaka hapo Israel...

Kwa usahihi huo Iran haitaki kulenga makazi ya raia kuua watoto wasio na hatia na wananchi...

Lakini ngoja tuone jibu la Israel.
 
Dah yaani toka jana mpka leo kuna nyuzi mia moja zikisifu iran hii inaonesha ni jinsi gani hawa ndugu zetu walikuwa wanaumia na wanakosa pa kukimbilia sasa wanaona kama iran ndio mkombozi wao. Ngoja tuone kama hizi nyuzi wataziendeleza
Dada yao faiza sijui kapotea wapi au nae keshaenda kutoa starehe kwa magaidi 🤣🤣🤣
 
Wabongo useless hopeless idiots... Mambo ya watu mnajitia ujuaji mna update yanayojiri... Wakat kijijin kwa baba na mama yako wanalala njaa na huna msaada na hujui kinachoendelea...
Walau Wakristo, Waislamu wako busy na mitume wao lakini ya Tanzania wanaona hayawahusu.
Hopeless.
 
Hawa Iran ndio wanaume hawatanii wao wanakuahidi na unajipanga kuzuia lakini lazima upigike.
 
Tabia ya Israel kusubiri Iran ashambulie haraka madhara ni kidogo ipo siku Iran atapata silaha kali zaidi atampiga Israel na zilete madhara
Suala si kwamba madhara madogo!

Suala ni kwamba wenzake wanafuata sheria za vita zilizowekwa kimataifa kuwa ni kosa kushambulia makazi ya kiraia. Wenzake wanashambulia miundombinu ya kijeshi.

Israel hafuati sheria za kimataifa ndiyo maana jamii nyingi kimataifa zinamlalamikia na kumwambia anafanya uhalifu wa kivita.

Russia na Ukraine kwa kiasi fulani wanajitahidi kuzifuata hizi sheria na ndiyo maana raia wao wanaendelea na shuguli zao za kila siku uraiani.
 
Dah yaani toka jana mpka leo kuna nyuzi mia moja zikisifu iran hii inaonesha ni jinsi gani hawa ndugu zetu walikuwa wanaumia na wanakosa pa kukimbilia sasa wanaona kama iran ndio mkombozi wao. Ngoja tuone kama hizi nyuzi wataziendeleza
Iran ni taifa la kiislamu na wanaoipenda Iran ni waislamu wapenda haki.

Israel ni taifa la Kiyahudi kwa ajili ya Wayahudi sasa wewe unayeshabikia Israel ni Myahudi?

Maana kwa hali ya kawaida muislamu kuishabikia Iran inaleta maana kwasababu wote ni waislamu lakini mtu asiye Myahudi kuishabikia Israel inaleta ukakasi maana Uyahudi ni dini inayojitegemea haitoki nje ya Wayahudi wenyewe.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…