Iran yasema Israel ikijibu, itaitwanga mara 1,000 zaidi

Imetwanga hakuna hasara wala casualties hawa wairan na akili ni vitu viwili tofauti
 
Braza Nyau kasema namalizana na Hibollah kwanza baadye anaifuata Iran, UK na USA wako nyuma ya Israel hiyo Iran itakuwa kama Iraq soon.
Kwahiyo tunakubaliana wazi wazi Israel hana uwezo wa kupigana hata na Burundi pasipo mabwana zake anaowadekea kumsaidia?

Israel ni taifa feki lililoundwa na wazungu ili kulinda maslahi yao mashariki ya kati.

Kabla ya mwaka 1947 hapakuwa na taifa linalotambulika kwa jina la Israel hadi pale wazungu walipoona maslahi yao yapo hatarini kupotea kwa kitisho cha mataifa ya kiarabu.
 
Tatizo mnapenda kujifariji we kubali tu jana israel kapigwa nyumbani kwake basi sio bla bla nyiingi
Wayahudi weusi wanachekesha sana maana kabla ya Iran kuishushia kipondo kikali Israel walikuwa wanasema Iran hawezi kurusha hata jiwe kwenye ardhi ya Israel vinginevyo itakuwa ndio mwisho wake.

Kilichofuata ni Iran kujipigia ndani ya ardhi ya Israel atakavyo bila kisasi kulipwa kwa wazi badala yake Israel ananywea anabaki kufanya vitendo vya kigaidi dhidi ya Iran tena kwa kificho akiogopa kukiri.
 
Shida ni kwamba israel haijayumba, bado wana wanaendelea na uvamizi lebanon. Hili pigo lingekuwa kubwa kama israel ingerudisha vikosi vyake kulinda ardhi ya nyumbani
 
Shida ni kwamba israel haijayumba, bado wana wanaendelea na uvamizi lebanon. Hili pigo lingekuwa kubwa kama israel ingerudisha vikosi vyake kulinda ardhi ya nyumbani
Walioko israel wameona madhara ila wewe muisrael wa bunyokwa hujaona madhara

[emoji1134][emoji1130] The Mossad headquarters, located in Tel Aviv, which was struck by Iranian missiles, was leveled.

Ronen Bergman, New York Times correspondent: I felt a series of massive explosions near my home in northern Tel Aviv, close to the Mossad headquarters, the Foreign Intelligence Agency, and Unit 8200, the electronic intelligence agency. The whole house was shaking.

Sent from my SM-A135F using JamiiForums mobile app
 

Attachments

  • VID_20241002_092902_373.mp4
    1.3 MB
Punguza kuncopy habari online bila ku confirm source. Hilinshambulio bado sana. Mossad HQ ni sehem ndogo sana ya israel, probabl wana majengo mengi zaid since (intelligence agency are capable of relevating fast due to nature of their operations)

Kama shambulio hili halijawafanya warudishe majeshi nyuma, bado halitoshi.
Wisemi hakuna damage, ila inatakiwa iwayumbishe ili wasiendelee naninvasion ya lebanon
 
Bwana yesu asifiwe mkuu😂😂😀
 
muizrael huwa hashindwagi jambo yule mie simuamini
 
Hili shambulio halikua kwa ajili ya kumzuia kumuisrael kuendelea na operations zake bali ni kulipa kisasi, iran hajasema anamshambulia ili amzuie kuendelea na operataions zake,

Hapo iran anakuonesha he can do anaything within israel soil without interception, na hapo hakuamua kupiga makazi ya watu
 
We mzee kigogo mwambie Netanyahu awai kujibu uko tehran wengine tangu jn ni shida tu nilimwakikishia mwajuma wangu kuwa Israel aitawai kupigwa sasa jana kaona live akipigwa mtu mzima!!! nimeambiwa tutalala mzungu w4 adi majibu yafike tehran.tena ngumi iwe imenyooka sio mapichapicha ndoa yangu ipomashakan fikishasalam kwa wajomba uko wasichelewe kupiga tehran 😂😂😂😂😂
 
Wamekufa waisraeli wangapi baada ya mashambulizi ya jana?
Hili ni swali la msingi kujua Casualties ila tutambue kuwa Israel alivifukuza vyombo vya habari vya kimataifa especially Al Jazeera wasifanye kazi ndani ya mipaka ya Israel yaani kureport tukio lolote. Sasa napata wasiwasi kama taarifa wanazotoa IDF yenyewe kama zitakuwa zinaukweli.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…