Iran yatangaza Kufunga Anga (NOTAM) Kuanzia tarehe 4 November Hadi November 6

Iran kiboko, wanatowa mpaka muda wa mtu kuchezea kichapo.


Kile kichapo cha mwanzo na cha pili ni hivyo hivyo, sikuwaelewa.

Sasa nimewaelewa vilivyo. Wana full confidence, hakuna shoga anayeweza kuwazuia mashambulizi yao.
 
YANI afanye promis 3 na nusu iyo nusu iwe kuwakumbuka watoto wasionahatia wala dhambi waliuliwa kwa chuki tu akukuwa sababu yoyote Iran piga mafezuli tutoke pramis 3 tuje promis 4 + wkt wakuwaadhibu ndio sasa wao wameuwa watoto walioshindwa ata kusogea njiti sasa nawao awana ulinzi ni motoo tu atabkwao wasiende tumalizane apo apo mid est wafukiwe na nawatoto waliowauwa
 
alaaaa!!
kumbe airspace yao ilikua wazi hakua imefungwa hadi tar 4 ndio itafungwa?🐒

sasa si watachakazwa kwa kutangaza siri na nguvu za ufalme wao? 🐒
 
Hivi mambo ya vitisho yataisha lini, wewe kama siraha unazo si uzitumie tuone? Taarifa na vitisho vya kijinga naona kama ni ishara ya kushindwa
Endelea kuona
 
Upo mkuu picha za satellite za shambulizi la Israhell hujazipata huko ukatuletea
 
Haya ukakojoe ukalale sasa
 
ikiwemo pia Syria. Hao wote wameshaandaliwa. Lakini pia tusisahau kwamba Myahudi naye atakuwa amejiandaa. Tunausubiri kwa hamu huo mtanange. Historia inataka kujirudia.
Safari hii zile mbwembwe za yule jamaa mwenye maskio kama mokonge kutoa tahadhari eti tumejiandaa kww kila scenario hatazioni tena maana sio kawwida yake hata kidogo
 
Rafiki siyo Mkao wa kula bali ni mkao wa kunyolewa for good! Maayatollah wa Iran wangejua where we are in the stream of time wasingecheza huo mchezo unaosema. Nimekuwa nikisema hapa mara kwa mara kuwa tunakoelekea Serikali za Dunia hii zitapiga Dini marufuku (Hiyo ni kulingana na Biblia Kitabu cha Ufunuo). Sasa ukiangalia Serikali ya Maayatollah wa Iran, wao ndiyo Serikali na wao ndiyo Dini. Set up hiyo ni lazima itapingana na Maazimio ya Serikali za Dunia; hivyo, ili unabii utimie ni lazima Ayatollah aondolewe. Kwa taarifa yenu tu ni kuwa shambulio lililofanya na Israel lilikuwa la kimkakati kiasi kwamba kwa sasa Irani yuko mtupu kiulinzi. the third round, Israel itaenda kumalizia kabisa. Na kama Mungu alivyoachia Farao awe na Kichwa ngumu ndiyo hivyo hivyo anamuachia Ayatollah awe na kichwa ngumu. He is finished for good
 
alaaaa!!
kumbe airspace yao ilikua wazi hakua imefungwa hadi tar 4 ndio itafungwa?🐒

sasa si watachakazwa kwa kutangaza siri na nguvu za ufalme wao? 🐒
Irsn walizolock F35 za mmarekani na Israel zilipokwe da kushambulia, ikabidi zisisogee kuingia ndani ya Iran.

Ukiambiwa wanafungia maana yake siyo kuwa linawekwa geti, maana yake hawaruhusu ndege yoyote kukatiza anga yao. Iwe ya binafsi, biashara au kivita. Inaweza kutunguliwa.

Fikiri, walikuwa hawajatangaza kuifungia anga ili wenye kazi zao zisizohusiana na vita na majirani zao waendelee kupita kama kawaida na kue delea na shughuli zao.

Licha ya hayo, hakuna ndege ya mazayuni wala mashoga zao iliyothubutu kuingia anga ya Iran.
 
Iran kiboko, wanatowa mpaka muda wa mtu kuchezea kichapo.


Kile kichapo cha mwanzo na cha pili ni hivyo hivyo, sikuwaelewa.

Sasa nimewaelewa vilivyo. Wana full confidence, hakuna shoga anayeweza kuwazuia mashambulizi yao.
"Full confidence" ni lugha ya Makafiri, achana nayo kabisa isikupotezee muda.

Ubinadamu ni kazi/The humanity is a work.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…