Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
alaaaa!!Iran imetangaza jioni hii kuanzia tarehe 4 saa 8 mchana Anga lake litafungwa Hadi tarehe 6 November saa 12.30 jioni.
Vyombo vya habari vya kimataifa vinasema tayari mambo yameiva ni wazi Iran anajiandaa kutekeleza operation true promise 3. Tukae mkao wa kula.
View attachment 3141635View attachment 3141636
Nguvu ya mungu sio, 🤣🤣🤣🤣🤣Iran wanatafuta matatizo. Hawajui wanashindana na nguvu kubwa. Watapata maafa ma kubwa
Endelea kuonaHivi mambo ya vitisho yataisha lini, wewe kama siraha unazo si uzitumie tuone? Taarifa na vitisho vya kijinga naona kama ni ishara ya kushindwa
Bila ya shaka upo mossad au Cia kama sio shinbetNaona Iran inaenda kufutika kabisaa kwenye utawala wake baada ya shambulio atakalofanya atapigwa sehemu zake zote anazotegemea.
Iran imeingia chooni bila kujijua
Samahani ila hapa mbona kama wewe ndio unatudhihirishia wana jf kua wewe ndio mjinga pro maxNjia moja wapo ya kupunguza ujinga ni kuuliza hapa jukwaani. Kwahiyo na juzi hapo israel alitangaza?
Iran haijawahi kuishambulia israhell tokea iumbwe pole sana Iranuzuri ni ukishakula nyama ya mtu uuachi
Israel ishaishambulia Iran, now Iran itakuwa kama Syria
Upo mkuu picha za satellite za shambulizi la Israhell hujazipata huko ukatuleteaNOTAM yao kama wameitangaza kweli basi ni ndefu kwa hizo siku mbili. Mara nyingi NOTAM huwa ni ya masaa machache wakati nchi inapofanya jaribio la kombora.
Ingawa sioni ni kwanini itakuwa ya muda wote huo, labda kama wanaamini wakishambulia watajibiwa immediately. Ila napo wangeweza kutoa ya muda mfupi kisha wakaiongezea kama kutatokea majibu. Sababu wametoa window ya 2 days ila what if majibu yatakuja baada ya siku nyingi zaidi ya hapo.
So far taarifa ya mleta mada haina source
Wazayuni watachapwa mpaka waondoke kwenye ardhi za watuIran iachane na mpango wa kuishambulia israel. Chonde chonde, miji yake itaharibiwa vibaya na huo utakuwa ni mwisho wa utawala wa maayatollah
Haya ukakojoe ukalale sasaKweli kabisa. Hiyo ni kutokana na uhakika kwamba mzee wa Suluhu(USA) au mzee wa kumdhibiti Myahudi asimpige mno Iran na proxys wake kupita kiasi (Kama ilivyo jitokeza USA kumkataza IDF asipige vituo vya mafuta au Nukes) sasa USA atakuwa bize na Uchaguzi hatakuwa na muda wa kumdhibiti Israel -Labda iwe baada ya uchaguzi. Kwa mantiki hiyo Israel atamfumua Iran kishenzi na kwa hasira zote na Iran hatokuwa na mahali pa kulia lia eti mzee naomba umshike/umzuie huyo kijana (IDF) walau nipumue kidogo. Iran anaenda kufa na tai yake shingoni. Ngoja Iran aliamshe kizembe tushuhudie kipondo.
Huo mtanange ukidhihiri,ni dhahiri israel itakua kama Gazaikiwemo pia Syria. Hao wote wameshaandaliwa. Lakini pia tusisahau kwamba Myahudi naye atakuwa amejiandaa. Tunausubiri kwa hamu huo mtanange. Historia inataka kujirudia.
Safari hii zile mbwembwe za yule jamaa mwenye maskio kama mokonge kutoa tahadhari eti tumejiandaa kww kila scenario hatazioni tena maana sio kawwida yake hata kidogoikiwemo pia Syria. Hao wote wameshaandaliwa. Lakini pia tusisahau kwamba Myahudi naye atakuwa amejiandaa. Tunausubiri kwa hamu huo mtanange. Historia inataka kujirudia.
Rafiki siyo Mkao wa kula bali ni mkao wa kunyolewa for good! Maayatollah wa Iran wangejua where we are in the stream of time wasingecheza huo mchezo unaosema. Nimekuwa nikisema hapa mara kwa mara kuwa tunakoelekea Serikali za Dunia hii zitapiga Dini marufuku (Hiyo ni kulingana na Biblia Kitabu cha Ufunuo). Sasa ukiangalia Serikali ya Maayatollah wa Iran, wao ndiyo Serikali na wao ndiyo Dini. Set up hiyo ni lazima itapingana na Maazimio ya Serikali za Dunia; hivyo, ili unabii utimie ni lazima Ayatollah aondolewe. Kwa taarifa yenu tu ni kuwa shambulio lililofanya na Israel lilikuwa la kimkakati kiasi kwamba kwa sasa Irani yuko mtupu kiulinzi. the third round, Israel itaenda kumalizia kabisa. Na kama Mungu alivyoachia Farao awe na Kichwa ngumu ndiyo hivyo hivyo anamuachia Ayatollah awe na kichwa ngumu. He is finished for goodIran imetangaza jioni hii kuanzia tarehe 4 saa 8 mchana Anga lake litafungwa Hadi tarehe 6 November saa 12.30 jioni.
Vyombo vya habari vya kimataifa vinasema tayari mambo yameiva ni wazi Iran anajiandaa kutekeleza operation true promise 3. Tukae mkao wa kula.
View attachment 3141635View attachment 3141636
Irsn walizolock F35 za mmarekani na Israel zilipokwe da kushambulia, ikabidi zisisogee kuingia ndani ya Iran.alaaaa!!
kumbe airspace yao ilikua wazi hakua imefungwa hadi tar 4 ndio itafungwa?🐒
sasa si watachakazwa kwa kutangaza siri na nguvu za ufalme wao? 🐒
"Full confidence" ni lugha ya Makafiri, achana nayo kabisa isikupotezee muda.Iran kiboko, wanatowa mpaka muda wa mtu kuchezea kichapo.
Kile kichapo cha mwanzo na cha pili ni hivyo hivyo, sikuwaelewa.
Sasa nimewaelewa vilivyo. Wana full confidence, hakuna shoga anayeweza kuwazuia mashambulizi yao.