Irene Uwoya afanya sherehe ya milioni 100 ya kipaimara cha mwanaye

Irene Uwoya afanya sherehe ya milioni 100 ya kipaimara cha mwanaye

Status
Not open for further replies.
Serikali kwa sasa lazima iwe makini kwa vitendo kama hivi.

Mtoto wa kiume kumvalisha sketi ni kumuwekea mazingira yakuwa na tabia za kike.

Wanawake wengi wanaweza wasione tatizo lolote hapa lakini haya mambo ni aibu sana kwetu wanaume, huyo mtoto akiwa na marafiki zake, watamuona ni kama binti, watamshusha heshima na na kuanza kumtania ni mtoto wa kike, Mbaya zaidi kuna baadhi ya wanaume wanapoona mvulana kavalishwa hivi wataanza kumtongoza kama binti (hapo kama wewe ni mama subiria mwanao akuletee mme)

Kwa hio kina mama tafadhalini mlee watoto kwa maadili yanavyotaka na si kwa jinsi mpendavyo.

Tukio hili likuwa jumapili 24-4-2022 na cha kusikitisha zaidi ilikuwa ni sherehe ya kipaimara, Sherehe hii ya kitakatifu unavalishaje mtoto vazi la jinsia tofauti ?

A. PICHA
View attachment 2202336
View attachment 2202337
View attachment 2202338
View attachment 2202339
View attachment 2202340
View attachment 2202341
View attachment 2202342
View attachment 2202344
View attachment 2202345
View attachment 2202346

B. VIDEO

View attachment 2202283

View attachment 2202285


View attachment 2202286


View attachment 2202287
Hata hvo kavimba ana mk*ndu wa kutosha tu.
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom