Ng'wanamalundi
JF-Expert Member
- Feb 4, 2008
- 1,203
- 1,422
Wivu gani? Kama ni wivu wangewakataza kwenda huko. Wanachofanya ni kuwaambia kama umeamua kwenda huko, basi nenda moja kwa moja. Usije huku kupokea Sakramenti. Wivu unakujaje hapa?RC wana wivu. Jamaa alijaza nyomi ya hatari.