TANZIA Iringa: Katibu wa CCM Kilolo avamiwa na kuuawa na Watu wasiojulikana

TANZIA Iringa: Katibu wa CCM Kilolo avamiwa na kuuawa na Watu wasiojulikana

Watu Wasiojulikana Wanadaiwa wamemvamia aliyekuwa katibu wa Chama Cha mapinduzi (CCM) Wilaya ya Kilolo mkoani Iringa Christina Kibiki na kumuua kwa kumpiga risasi .

Taarifa ambayo Matukio Daima media tumeipata inadai kuwa watu hao Wasiojulikana wamefanya uvamizi huo usiku wa kuamkia Leo katika Kijiji Cha njia panda ya Tosa wilaya ya Iringa Vijijini nje kidogo na mji wa Iringa ambako alikuwa akiishi.
Kuwa baada ya kumshambulia kwa risasi alikimbizwa Hospitali ya Rufaa ya mkoa wa Iringa ya Tosamaganga ambako amefariki Dunia.

Matukio Daima media imezungumza kwa njia ya simu na Mwenyekiti wa CCM wilaya ya Kilolo John Kiteve amesema tukio Hilo limemgusa sana na amesikitishwa na tukio hilo .

Huku kamanda wa polisi mkoa wa Iringa Allan Bukumbi hajaweza kupatikana ili kuthibitisha tukio Hilo Bado Matukio Daima media inaendelea kufuatilia zaidi.

Chanzo: Matukio Daima Media

Pia, Soma:
Wale wanoesemaga
yote haya yalianzia awamu ya mwendaz....k.. mnasemaje na hili
 
Haya matukio yakitokea opposition tunasingizia CCM, serikali yake na Green Guard... Je na Kwa hili tulalamike Moja Kwa moja kuwa ni CDM na Redbrigade Yao???
Nafikiri tuliache kuwa halina majibu hadi uchunguzi wa pasipo na shaka yoyote utakapotoa majawabu
 
Watu Wasiojulikana Wanadaiwa wamemvamia aliyekuwa katibu wa Chama Cha mapinduzi (CCM) Wilaya ya Kilolo mkoani Iringa Christina Kibiki na kumuua kwa kumpiga risasi .

Taarifa ambayo Matukio Daima media tumeipata inadai kuwa watu hao Wasiojulikana wamefanya uvamizi huo usiku wa kuamkia Leo katika Kijiji Cha njia panda ya Tosa wilaya ya Iringa Vijijini nje kidogo na mji wa Iringa ambako alikuwa akiishi.
Kuwa baada ya kumshambulia kwa risasi alikimbizwa Hospitali ya Rufaa ya mkoa wa Iringa ya Tosamaganga ambako amefariki Dunia.

Matukio Daima media imezungumza kwa njia ya simu na Mwenyekiti wa CCM wilaya ya Kilolo John Kiteve amesema tukio Hilo limemgusa sana na amesikitishwa na tukio hilo .

Huku kamanda wa polisi mkoa wa Iringa Allan Bukumbi hajaweza kupatikana ili kuthibitisha tukio Hilo Bado Matukio Daima media inaendelea kufuatilia zaidi.

Chanzo: Matukio Daima Media

Pia, Soma:
CCM wameanza kugeukana kisa vyeo.. Pumzika kwa amani
 
Watu Wasiojulikana Wanadaiwa wamemvamia aliyekuwa katibu wa Chama Cha mapinduzi (CCM) Wilaya ya Kilolo mkoani Iringa Christina Kibiki na kumuua kwa kumpiga risasi .

Taarifa ambayo Matukio Daima media tumeipata inadai kuwa watu hao Wasiojulikana wamefanya uvamizi huo usiku wa kuamkia Leo katika Kijiji Cha njia panda ya Tosa wilaya ya Iringa Vijijini nje kidogo na mji wa Iringa ambako alikuwa akiishi.
Kuwa baada ya kumshambulia kwa risasi alikimbizwa Hospitali ya Rufaa ya mkoa wa Iringa ya Tosamaganga ambako amefariki Dunia.

Matukio Daima media imezungumza kwa njia ya simu na Mwenyekiti wa CCM wilaya ya Kilolo John Kiteve amesema tukio Hilo limemgusa sana na amesikitishwa na tukio hilo .

Huku kamanda wa polisi mkoa wa Iringa Allan Bukumbi hajaweza kupatikana ili kuthibitisha tukio Hilo Bado Matukio Daima media inaendelea kufuatilia zaidi.

Chanzo: Matukio Daima Media

Pia, Soma:
Amsalimie mzee meddy kibao
 
Duh mkuu pole sana ina maana walishakufanyia hivyo mpaka ukaja kutoa huu ushuhuda hapa
Yy ndiye muasisi mkuu wa siasa za kuuana ,kulawiti na kuteka .alikuwa na genge la kuua wapinzani .kaondoka na roho nyingi za wasio na hatia .mwenyez mungu amchome mpaka akome
 
Back
Top Bottom