Iron Dome ya Israel yazidiwa nguvu na vikombora vya wapalestina

Tatizo LA mtanange huu habar zinazohusu uharibifu ktk maeneo ya Israel zinabanwa hazitolew kinagaubaga
Mkuu fatilia Channel ya Al Jazeera hao ndio wanaonyesha kila kitu live, sitashangaa iwapo jeshi la Israel litapiga mabomu broadcasting systems zao huko Gaza na Israel - hawataki ukweli ujulikane mkuu.
 
Mkuu fatilia Channel ya Al Jazeera hao ndio wanaonyesha kila kitu live, sitashangaa iwapo jeshi la Israel litapiga mabomu broadcasting systems zao huko Gaza na Israel - hawataki ukweli ujulikane mkuu.
Wayahud wamekataa maelezo kutoka UN kusitisha mapigano
 
Inashangaza wanaposema rocket zaid ya mia tat zimepenya kwa myahud na bomba LA mafuta limelipuliwa lkn vifo ni vitano tu
Mkuu karibu nyumba zote nchini Israel kuna mahandaki yamejengwa mahususi kujikinga dhidi ya makombora. Raia wakisha sikia vingora wanakimbilia kwenye mahandaki.
 
Kutokana na ukorof wao wameandaa pa kukimbilia kabisa
Mkuu, lakini hii mpaka lini? Taifa linalo support blindly ufedhuri wa Wayahudi ni Wamerikani hao ndio wanawashikiza washirika wao wasiiseme seme sana Israel - wanafikiri Israel itaendeleza ubabe wake wa kuwaonea Wapalestina miaka nenda rudi - Wayahudi wamesahau kwamba Umoja wa jmataifa ndio uliwapatia nchi kwa kuimega eneo la Taifa la Palestine mwaka 1949 - Churchill alipendekeza nchi ya Uganda ndio Wakoloni wa Uingereza watenge eneo la ku-create Taifa la Israel - Wayahudi walikataa pendekezo hilo na kupendelea eneo la Palestine,swali ni, je, kama Wayahudi wangekubali pendekezo la Churchill saa hizi Wahaya wote tungekuwa kwenye makambi ya wakimbizi au tuneisha uwawa wote, mkoa wote wa Kagera ungeporwa na Wayahudi!!
 
Kitu ambacho wao wenyewe wayahudi kinachowaumiza kichwa ni kitendo cha kadr muda unavyokwenda ndivyo nguvu ya wapalestina inavyoongezeka walianza kurusha mawe mpaka sasa wanarusha rocket ndan ya telaviv na miji mingine
 
Hawa waarabu wanaojificha nyuma ya wananchi wanasababisha raia wafe?? angalia wanavyopukutishwa
Sipendi kinachoendelea lakini Israel ana msimamo sana. Akisema watalipa gharama anafanya kweli. Nilihisi hatafanya kitu lakini kwa yanayoendelea hadi naogopa.
 
Unataka kuniambia ATGM ambayo ni Russian Made Ant-Tank Missile Luncher ni Siraha duni? Make ndio imetumiwa na Hammas Kutungua gari la jeshi la Israel. Acheni kuongopa, kwenye hiyo Vita ya Hammas Na Israel,ukweli ni kwamba Israel anapigana pekee yake kwa kutumia Siraha zake na Zile alizonunua kutoka USA,Wakati Hammas Wakishirikiana na Mamluki kutoka Yemen plus Wapiganaji na Hizzibollah kutoka Lebano plus Siraha za Urusi na Makombora Kutoka Iran. Usijidanganye eti Hammas anatumia Siraha duni hata siku moja.Siraha duni isafiri kutoka Gazza Strip mpaka Tel Aviv umbali wa karibu 100Km? Impossible. Israel anapambana na Vikosi vingi sana pale Gaza plus Siraha kutoka kila Hasimu wa Israel.
 
Ww mani kakwambia, Hamas wako kama wao tu mpka sasa, niliskia wakiamua kuomba msaada wataomba but sio kwa sasa
 
Kitu ambacho wao wenyewe wayahudi kinachowaumiza kichwa ni kitendo cha kadr muda unavyokwenda ndivyo nguvu ya wapalestina inavyoongezeka walianza kurusha mawe mpaka sasa wanarusha rocket ndan ya telaviv na miji mingine
Hapa Unapotosha. Lini Hammas walirusha Mawe? Wanaorusha Mawe ni raia wa kawaida wa Palestina ambao wamechoshwa na uonevu wa Israel,Hammas tangu mwanzo amekuwa akirusha Makombora sio mawe,na Makombora yanatoka Iran na Urus. Hammas hajawahi kutumia Siraha duni,Rocket inayosafiri umbali wa zaidi ya 100km haiwezi kuitwa duni hata siku moja.
 
Eneo LA ukanda wa Gaza ni eneo lililofungwa hakiingii kitu wala MTU mpaka Israel iridhie na na hata upande wa baharin kuna umbali ambao ndio mwisho wa kwenda ukizid chombo kinazamishwa na ndio maana hawa jamaa hawapat silaha kutoka kwa wale wanaowasapot kule zinapelekwa fomla wanadizain wenyewe kienyej
 
Wazungu hawa waliwauwa sana, waliwapiga sumu wafe wamalizike kwa bahati wakabaki wacheche kila nchi ilikua inawakataa so waliobakia ndio wakachukuliwa wakapelekwa kwenye ardhi ya Palestina na kupewa silaha, yaani ni kama kikundi kimepewa silaha ndio wakaanza kupora maeneo kwa huku kukiwa na support ya wakubwa zake Us na uk, Yaani walitawanyika na unapowakaribisha kwenye nchi yako wamejaa ufisadi
 
Haya mapambano yalianza tangu karne ya ishirin mnama haya maroket hamas wameanza kutumia miaka ya elf mbili
 
Nimekuuliza hiyo ATGM Ant-tank Missile Luncher ambayo imetumiwa na Hammas kutungua Gari la jeshi la Israel imetengenezwa hapo hapo Gaza? Au hata Specification zake huzijui?
 
Nimekuuliza hiyo ATGM Ant-tank Missile Luncher ambayo imetumiwa na Hammas kutungua Gari la jeshi la Israel imetengenezwa hapo hapo Gaza? Au hata Specification zake huzijui?
Nimejaribu kuangalia sehemu ambayo nimedokeza kuwa aina hiyo ya silaha ndio iliyotumika sijapaona lkn kitu ambacho Nina uhakika nacho ni HAMAS wanatumia viwanda vyao ambavyo vipo ndani ya ukanda wa Gaza kutengeneza silaha zao kwa sabab hilo eneo lipo kwenye mzingiro wa pande zote hakiingii kitu wala kutoka bila ridhaa ya myahud
 
Kwa wale ambao hawajui ni kwamba,Siraha iliyotumiwa na Hammas kuua wanajeshi 3 wa Israel baada ya kutungua gari la jeshi la Israel ni Aina ya ATGM ambayo ni RUSSIAN Made Ant-Tank Missile ambayo inabebwa Begani,hii inatumia Guided Missiles ndani yake ambayo inalenga shabaha kwa 95%.

Marekani wanayo ya kwao ya Muundo huohuo lakini inaitwa FGM-148.
 
#IDF Military Jeep targeted in the ATGM attack by #Hamas Al-Qassam Brigades.
Ni Lini Hammas wameanza kutengeneza Siraha aina hiyo ya ATGM? Nijuavyo mimi ni kwamba ATGM ni Russian Guided Ant-Tank Missile ambayo inatengenezwa nchini Urusi. Pia Marekani anayo japo wao inaitwa FGM-148 Javelin Ant-Tank Missile.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…