Israel anajivunia akili na technologies anazouzia nchi nyingine. Ni ajabu kusema Israel haina nguvu bila Marekani

Israel anajivunia akili na technologies anazouzia nchi nyingine. Ni ajabu kusema Israel haina nguvu bila Marekani

Sasa kwa nini kila mwaka Israel wanapewa mabilioni ya mapesa na Marekani?

Silaha karibu za Israel ni za Kimarekani.

Hayo mabomu ynayodondoshwa huko Gaza na Lebanon, yanadondoshwa na ndege za Kimarekani.

Watu mna fantasies za ajabu kweli.
 
Ukitaka nchi yako ibarikiwe usiruhusu ushoga.muabudu Mungu wa kweli Nk.hicho inachoongea unaonesha upungufu wa akili.
Wewe ndiye unayeonyesha upungufu wa akili kwa kuandika mambo ya kutoka kichwani mwako.

Soma kitabu cha Mwanzo 12:3 utaona nilicho kiandika na aliyesema hivyo ndiye Mungu wa kweli.
 
Big No hawezi.
Watakudanganya eti yule aliyegundua Boeing ni Myahudi Mjerumani THAT IS BIG NO.
Jamaa mjerumani pure anautwa Wilhelm Boeing.
We niambie kuna ndege ipi ya vita Israel kaunda!?
Hakuna yeye anafanyaga modification za ndege za Marekani tu.
Tena ndege ya abiria ndio kabisa hawezi.
Sio boeing tu ni myahudi... hata waliotengeneza ndege maarufu za soviet union yani urusi MiGs (Micoyan and Gurevich) ni wayahudi...
 
Sio boeing tu ni myahudi... hata waliotengeneza ndege maarufu za soviet union yani urusi MiGs (Micoyan and Gurevich) ni wayahudi...
Ndivyo propaganda zinavyowaharibu.
Uliza kama waliunda zamani je mbona sasa hivi hawawezi kuunda!?
Myahudi ni mtu wa kutrend kwa propaganda but nothing he has.
 
Uliza sababu ya Hitler kuwaua kaka. Walikuwa sekta zote za uchumi wameshikilia halafu hapo hapo wanashirikiana na Uingereza adui wa ujerman by then kutaka kurudishiwa ardhi ya mababu zao kule british palestine. Hata Spain tatizo ni hilo hilo.
Ndio nasema hizo akili zao mbona hazikuwasaidia kuepuka mkono wa Hitler? Hao ni nothing bila Western
 
Ndio nasema hizo akili zao mbona hazikuwasaidia kuepuka mkono wa Hitler? Hao ni nothing bila Western
Kwani wayahud waliouwawa walikuwa ni wa dunia yote mzee. Si ni wale wa maeneo yaliyokuwa chini ya utawala wa Hitler. Wenzao ndio wakatumia akili ya kutengeneza mazingira ya vita vikapiganwa na Germany akashindwa na wakapata sababu ya kuanzisha taifa lao. We unaona hiyo sio akili sio?
 
Kwani wayahud waliouwawa walikuwa ni wa dunia yote mzee. Si ni wale wa maeneo yaliyokuwa chini ya utawala wa Hitler. Wenzao ndio wakatumia akili ya kutengeneza mazingira ya vita vikapiganwa na Germany akashindwa na wakapata sababu ya kuanzisha taifa lao. We unaona hiyo sio akili sio?
Yaani mpoteze watu million 6 ili mpate nchi? Hiyo ni akili au matope. Kuhusu kupata nchi wala haikua na uhusiano na Hitler walishaanza kujadiliwa tokea Vienna conference miaka ya 1800, na hata mwisho wa Karne ya 19 walishauriwa waende Uganda wakaanzishe taifa lao. So Hitler awaue au awaache bado wangepewa eneo tu na vibaraka wao wa US na UK.

Ngoja siku US na UK iwaache ndio utagundua wao sio lolote sio chochote.
 
Wayahudu ndio brain kubwa zinazofanya mambo makubwa huko US , Russia, Ukraine,Iran na nchi nyingine

Hivyo sioni ajabu kwa US kumpa silaha Israel ,na ni lazima Israel ilindwe kwa manufaa ya wengi
Kwanza mkuu ufahamu asilimia kubwa ya hizo brain za wayahudi ni Against na Taifa la Israel, wengi wao wanajitenga nalo sababu mtu ukisha kua na Akili most of time huwezi shabikia vitu kama mauaji ya watoto na wanawake.
 
Kwani wayahud waliouwawa walikuwa ni wa dunia yote mzee. Si ni wale wa maeneo yaliyokuwa chini ya utawala wa Hitler. Wenzao ndio wakatumia akili ya kutengeneza mazingira ya vita vikapiganwa na Germany akashindwa na wakapata sababu ya kuanzisha taifa lao. We unaona hiyo sio akili sio?
Zionist (ambao ndio walioanzisha taifa la Israel) wana mkataba na Hitler, tofauti Sha wayahudi na Zionist, si kila myahudi ana support Israel.
 
Yaani mpoteze watu million 6 ili mpate nchi? Hiyo ni akili au matope. Kuhusu kupata nchi wala haikua na uhusiano na Hitler walishaanza kujadiliwa tokea Vienna conference miaka ya 1800, na hata mwisho wa Karne ya 19 walishauriwa waende Uganda wakaanzishe taifa lao. So Hitler awaue au awaache bado wangepewa eneo tu na vibaraka wao wa US na UK.

Ngoja siku US na UK iwaache ndio utagundua wao sio lolote sio chochote.
Eneo hupewi kama nyama wewe soma historia. Walishaanzisha mipango siku nyingi pamoja na kununua ardhi kwa wingi na ishu ni kuwa jews walikuwa wanachanga pesa ili kusaidia vuguvugu lao kusapoti mipango yao. We kweli kamasi hiv unajua ujeruman vita ya tatu aliyoanzisha kutaka kuitawala dunia imeua watu wangapi? Watu wanaangalia mafanikio au maumivu. Kwahiyo hamas walivyoua watu 1200 na wao kufa 41000 utasema matope sio?
 
hupewi kama nyama wewe soma historia.
Sio nikasome wewe ndio ukasome Vienna conference walishaanza jadili Jewish question.
hiv unajua ujeruman vita ya tatu
Vita ya tatu ndio ipi? Tatizo jf mmejaa watoto wa 2000s.
Watu wanaangalia mafanikio au maumivu.
Kwahiyo unakubali mfe million 6 ulaya ili mpewe ardhi uarabuni? Mbona unaongea ujinga dogo? Hao walizidiwa uwezo na Hitler, na kama sio Mrusi kuingilia kati wangefutwa kizazi chote.
 
Back
Top Bottom