permanides
JF-Expert Member
- May 18, 2013
- 11,682
- 14,241
Ayattollah rasmi nae kakimbilia kwenye mahandaki. Ile kauli ya Netanyahu kuwa mkono wa Israel unafika popote ndani ya Iran imemshtua sana Ayyatollah.Bado Hezbollah hawajathibitisha taariza hii. Lakini hili nilijua tu litatokea baada ya mashambulizi mawili ya kwanza kufanywa na Israel.
Yemen wajiandae sasa, wao ndio wanaofuatia.
Hakuna wakuwaokoa hapo middle east.
Hawa si ndio waliompiga,kumvqlisha nepi,kumsulubu Yesu?Hawa ni magaid waisrael.Inaumaa Allah the Arab God kala kona na kuzama chaka baada ya kuwaingiza mkenge.
Aibu kubwa Allah anawaogopa wayahudi
Aisee sisi dini yetu haija-base kweny uongo na porojo, we work with evidence and proof, Paulo mwenyew alisema yeye ni myahudi, kwaio unataka kusema wewe unamjua vizur paulo kuliko yeye mwenyew??Paulo hakuwa myahudi bali alikuwa ni mtu mwenye asili ya kituruki.
Kwa hiyo hata Yesu,,alikuwa hivyo,ndio magaidi wa Israel,wakmsulubu na kumuua.
Pagers zimewacostHadi mtangazaji anashangaa inawezekana vipi viongozi wakuu wanaliwa kirahisi hivi!?
Yesu.pia aliuliwa na hawa magaidi wa Israel,naye pia atakuwa huko peponi.Kadinywa, huyu ndie aliapa kuwaondoa wayahudi 2040 kwa mpango wao wa pamoja na Iran.
Yupo zake na mabikra anachakata mbususu huko peponi.
Unamkumbuka Al Saaf? Waarabu wachofanya ni kuhadaa ila ni wa kawaida sana.Sema hawa wajamaa huwa wana mikwala sana.....
Ukisikiliza hotuba zao kama wewe unaishi Israel unaweza usitoke nje Daima.......
Hotuba zao zimejaa ushujaa na maneno magumu Sana.........
Kwa kweli japokuwa wanauwawa lakini nawapongeza wanakufa wakiwa wanapigania wanachokiamini.......
Alale anapostahili kiongozi wa Hezbollah's
Lakini hao hao wayahudi ndo walikuwa wakristo wa kwanza na wa kwanza kueneza ukristo kina Paulo, stephano, maria, magdalena, suzana, mathayo etc. Ni phillipo tu ndo alikuwa myunani.Wayahudi hawamwamini Yesu usipotoshe. Mwokozi wao hajashuka
Kuna Baadhi ya Mods ni Pro hiyo Block (iran na Mrusi) yaani kama hajafuta basi anaunganisha kwenye uzi mingine.Jana jioni Niliweka Uzi hapa " Hassan Nassralla kwaheri" ukafutwa na mods!!!
Nyeti za nyau,ndio waliomuua Yesu Kristo,magaidi hawa Waisrael.Ndio na tunaona fahari. Hongera wewe jitu jeusi unaeliabudu Jiwe moja jeusi mliolipa uungu kujiamini ukifa kwenye uislamu utabadilika kuwa liarabu.
NETANYAHU SASA HIVI NI MUNGU WA WAISLAM
NETANYAHU AKBAR
hapana ndio alivyokua mudi akafumulima marinda na binamu yakeKwa hiyo hata Yesu,,alikuwa hivyo,ndio magaidi wa Israel,wakmsulubu na kumuua.
Nanukuu: "Kikubwa ni kuwa Hezboullah wajitathimini sana, wana snitches miongoni mwao na walikuwa wamejisahau sana, walikuwa wanaishi kimazoea".Hata mtangulizi wa Nasrallah, aliuawa pia, hakuna jipya hapo. Kwahiyo hawa watu ni replaceable. Kama vile kaondoka Haniyeh, kaingia Sinwar, wakimuondoa mmoja anaingia mwingine. Hata bongo, alivyoondoka mpendwa wetu Jiwe, akaingia Chura Kiziwi. Hakuna binadamu ambaye siyo replaceable.
Kikubwa ni kuwa Hezboullah wajitathimini sana, wana snitches miongoni mwao na walikuwa wamejisahau sana, walikuwa wanaishi kimazoea.
Nasrallah naye alikuwa anaongea sana, kama speech yake ya mwisho juzi, hakutakiwa kuongea, Israel forced his hand, akaingia kingi! Katikati ya speech kuna ndege za kivita za Israel zilipita na ile wanaita “sonic boom,” Nasrallah akastuka flani na kuyeyusha kama vile siyo big deal, nikajua tayari muheshimiwa achomoki safari hii.
Ila tusubiri uthibitisho toka kwa Hezboullah.
Kwa moto ule,atakuwa majivu au masizi. Nimemsikiliza mchambuzi mmoja CNN anasema bomu lililotumika ni la kipekee, na ni mara ya kwanza kutumika. Yawezekana lilikuwa mahsusi[ guided] kwake.Inawezekana Scanning ya maana imeshafanyika kwenye maficho yao yote hao magaidi na jamaa hajaonekana. Ndo maana wamesema anaweza hataasionekane wapate kumzika.