gallow bird
JF-Expert Member
- Aug 10, 2024
- 3,915
- 6,272
Hapohapo kwao wapi wewe,mtu kahamia hapo 1945, unaleta uwongo hapaMbona unanilisha maneno mkuu? Nani kasema huyo mtu kazaliwa mwaka 1945? Umepaniki mapema hivo? Narudia tu, mzee Netanyahu alikua RABI wa Kiyahudi, kazi yake ilikua kufundisha dini hapo hapo kwao na alikua anasafiri mataifa mbalimbali kwenda kuwafundisha Wayahudi walioko huko kuhusu mambo ya dini yao, moja kati ya watoto wake yaani Benjamin na Jonathan amezaliwa USA na mwingine hapo hapo Israeli. Anyway, labda point yako hapa ni ipi? Kwamba kina Netanyahu sio Wayahudi, right? Wayahudi halisi wako wapi?
Bila shaka kabisa.Are you sure?
Haswaa. Watu hawafatilii haya mambo.Kwahiyo hapo mtu kauliwa na ndugu yake. Dhalimu amefyekwa kichwa na dhalimu mwenzie
Duuh***** wamefumua hadi pete ya kufugia majini
Umeamua kukejeli kifo chake. Allahu almustaanu.Nawaza kama hali ipo hivi. Itakuwa kazi sana kuunganisha mwili wake aweze enjoy na 72 Virgins. Nimesikitika. Ina maana hata akhera hatapata kitu. Yes, hatopata kitu maana hajabakiwa na kitu kabisa. Mwili umesagwa sagwa. Kafa vibaya sana.
View attachment 3109625
Israel waliwawekea mtego Hezbollah na wakaingia kichwa kichwa. Amid yale mashinikizo ya ceasefire kule UN kutoka viongozi mbali mbali, wakaiweka safari ya Netanyahu very close na siku anatakiwa kutoa hotuba. Nasrallah na wenzie walipoona ameondoka wakajua Israel wako occupied na kinachoendelea UN, hivyo wakajiamisha na kurudi kwenye bunker la HQ kufanya kikao cha kupanga maangamizi kwa Israel. Nasrallah hata akaangalia hotuba ya Netanyahu. But hakujua kuwa tayari ndege za Maangamizi zilikuwa njiani. Picha hiyo akiangalia TV kwa mara ya mwishoNawaza kama hali ipo hivi. Itakuwa kazi sana kuunganisha mwili wake aweze enjoy na 72 Virgins. Nimesikitika. Ina maana hata akhera hatapata kitu. Yes, hatopata kitu maana hajabakiwa na kitu kabisa. Mwili umesagwa sagwa. Kafa vibaya sana.
View attachment 3109625
wajukuu wa Rebecca walitumia BCU-13 bunker buster bomb. Bomu ambalo linaweza penya ukuta wowote wenye unnen saizi ya mbuyu au muungano wa mibuyu minne.Hassan alijificha chini ya handaki urafu wa minazi ya kiarabu ile ionekanayo kisiju kwa ngalambe.bomu lilipenya mpaka kufikia alipo ndipo likalipuka vibaya sana kumpasua pasua vipande yeye Hassan na wakuu wake wa jeshi sita. maiti zao hazijai kibiliti. Viva wana Jacobo! Viva Mashabiki wa Israel!Salute kwa Wayahudi
Naona mpaka pete lake la majini 70 limesambaratishwa
Unqogopa nini kijana?Nawaza kama hali ipo hivi. Itakuwa kazi sana kuunganisha mwili wake aweze enjoy na 72 Virgins. Nimesikitika. Ina maana hata akhera hatapata kitu. Yes, hatopata kitu maana hajabakiwa na kitu kabisa. Mwili umesagwa sagwa. Kafa vibaya sana.
View attachment 3109625
usicheze na bomu liitwa BCU-13 Bunker buster. lilimfuata katika handaki alikojificha chini sana urefu wa minazi ya kiarabu uionayo zanzibar kiembe samaki. Hassan kachanwachanwa vibaya sana hata sura yake haionekani. Viongozi wa Iran sijui watajificha wapi.Nawaza kama hali ipo hivi. Itakuwa kazi sana kuunganisha mwili wake aweze enjoy na 72 Virgins. Nimesikitika. Ina maana hata akhera hatapata kitu. Yes, hatopata kitu maana hajabakiwa na kitu kabisa. Mwili umesagwa sagwa. Kafa vibaya sana.
View attachment 3109625
Nawaza kama hali ipo hivi. Itakuwa kazi sana kuunganisha mwili wake aweze enjoy na 72 Virgins. Nimesikitika. Ina maana hata akhera hatapata kitu. Yes, hatopata kitu maana hajabakiwa na kitu kabisa. Mwili umesagwa sagwa. Kafa vibaya sana.
View attachment 3109625
utaenda lini katika mazishi yake? ushachelewa. alijitakia mwenyewe akionywa asipigane na mtu aliyemzidi akili hakusikia. BCU-13 bunker buster lilimlipukia akiwa chini ya handaki lenye mizege ya nguvu unenen wa muungano ya mibuyu sabini bomu lilimfuata huko huko na kumtafutia ajira mpya.Israel amemtafutia ajira mpya nasrallah Hassan ya kuwa ofisa habari mkimnyaaa . hutamsikia tenaUnqogopa nini kijana?
Kifo ni kifo tu.
Inna li Llahi wa inna Ilayhi rajiun.
Sasa wataosha niniNawaza kama hali ipo hivi. Itakuwa kazi sana kuunganisha mwili wake aweze enjoy na 72 Virgins. Nimesikitika. Ina maana hata akhera hatapata kitu. Yes, hatopata kitu maana hajabakiwa na kitu kabisa. Mwili umesagwa sagwa. Kafa vibaya sana.
View attachment 3109625
Hata hii habar ya pombe cjui mabikira cjui Muhammad na Allah cjui majini kwa wayahud ni upuuzi bro. Hata kuabudu jiwe la maka kwao ni story. Dini zote zinakubaliana kuna Mungu na yapo maisha baada ya kifo lakin namna ya kumfikia kila Dini ina njia zake. Ndio maana zinaitwa Abraham's.Haviendani babu, uyahudi ni monotheistic wakati ukristu ni utatu mtakatifu,hiyo ni kufuru kubwa kwa waislam na wayahudi
Njaa wakati wa ramadhani.😂 hivi kobazi waliwahi kushinda nini?
Litukuzwe na lihimidiwe Milele na milele jina la MUNGU wa IsraelNawaza kama hali ipo hivi. Itakuwa kazi sana kuunganisha mwili wake aweze enjoy na 72 Virgins. Nimesikitika. Ina maana hata akhera hatapata kitu. Yes, hatopata kitu maana hajabakiwa na kitu kabisa. Mwili umesagwa sagwa. Kafa vibaya sana.
View attachment 3109625
Wanakuwa madiddy sioWeeee Mtuu mbaya sana nimecheka sanaa
Eti kuunganisha aweze kuridhi mabikira 72.
Mkuu wanasemaga wanapewa miili mipya mkuuu huko wanakoenda kukutana na mabikira 72
Netanyau..hapa analipungia mkono wakwaheri .. kobasi limekazana kuangalia kwa makn dakika 2 mbele kilemba kika lipukaIsrael waliwawekea mtego Hezbollah na wakaingia kichwa kichwa. Amid yale mashinikizo ya ceasefire kule UN kutoka viongozi mbali mbali, wakaiweka safari ya Netanyahu very close na siku anatakiwa kutoa hotuba. Nasrallah na wenzie walipoona ameondoka wakajua Israel wako occupied na kinachoendelea UN, hivyo wakajiamisha na kurudi kwenye bunker la HQ kufanya kikao cha kupanga maangamizi kwa Israel. Nasrallah hata akaangalia hotuba ya Netanyahu. But hakujua kuwa tayari ndege za Maangamizi zilikuwa njiani. Picha hiyo akiangalia TV kwa mara ya mwisho
View attachment 3109843
Safari nyingine ni za kujitakia, labda ili kuwahi mito ya pombeSawa mkuu....ila wote safari yetu ni moja