Wewe unajua nini! Bata mkubwa.Hujui kitu wewe, Israel ni zaidi ya wote hao na uzuri hata wenyewe wanakiri sasa wewe mla ugali na kisamvu unabisha kama nani.
Wao wanasaidiwa kila kitu na bila hao wafadhili wao hawana lolote.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wewe unajua nini! Bata mkubwa.Hujui kitu wewe, Israel ni zaidi ya wote hao na uzuri hata wenyewe wanakiri sasa wewe mla ugali na kisamvu unabisha kama nani.
Maana yake mauti ni kwa kila mtu,tofauti tu wewe utakufa kizembe kwa kuzidisha k vantMimi nimeongelea Misalaba?!
Haviendani babu, uyahudi ni monotheistic wakati ukristu ni utatu mtakatifu,hiyo ni kufuru kubwa kwa waislam na wayahudiHata ukristo uyahud vinaendana mbona.
Ungejua nina zaidi ya miaka 20 sijakanyaga kanisa ungenyamaza tu, nasali popote pale nilipo kwa sababu Mungu yupo popote na Mungu hajasema ni dhambi usipoenda kanisani.Leo namuona Imeloa akikesha kanisani Leo mpaka asubuhi 😂
Waap! Usitudanganye bhana. Huyo njemba amesababisha maumivu makali sana kwa raia wa Lebanon na Israel. Malipo ni hapa hapa duniani.Sawa mkuu....ila wote safari yetu ni moja
mzozo wa isrsael na palestina ni al aqsaHivi unajua kisa cha mzozo wa Israel na waarabu sio dini!?
Hivi unajua wakristo wenzako Israel wananyanyasika kuliko waislam wa kiarabu!?
Kuwa rabbi siyo issue,mbona kipozeo ni sheikh lakini siyo msaudia!?..historia haianzii kwa benzion,baba yake netanyahu bali kwa babu yake mileikowsky mzaliwa wa ukraine, benzion hakuzaliwa israel,na aliweka ubin wa netanyahu baada ya kuvamia palestine 1940s, israel kuna sehemu inaitwa netanyaNimesoma uzi wote pamoja na kusoma michango kadhaa ya watu mstari kwa mstari, wengine wana mahaba ya dini, wengine chuki, wengine nimeona wana andika wasivo viamini nk, nimejikuta na comment kwako. Sio kweli kwamba baba yake Netanyahu sio Mu Israeli, baba yao mzee Netanyahu ni mzaliwa wa hapo hapo mashariki ya kati na alikua moja ya marabi wa Kiyahudi (kwa huku kwetu RABI tungemwita askofu au kadhi kwa Waislam) Rabi huyu alikua anasafiri kwenda mataifa mbalimbali yenye Wayahudi wengi including hiyo Poland ulioitaja, alikua anakwenda sana USA kwa kazi hiyo ya kuwafundisha Wayahudi kuhusu dini yao ya Judaism ✡️, alibarikiwa kuzaa watoto kadhaa, maarufu wapo 2, huyu waziri mkuu wa sasa na kaka yake aliyekua anaitwa Jonathan ambaye aliongoza ile the 90 minutes in Entebbe Uganda mwanzoni mwa miaka ya 70; kama kawaida ya wazee wa Kiyahudi wa miaka hiyo walikua wanaona fahari sana moja kati ya watoto wao wa kiume kua mwana jeshi, kama ilivokua hapa kwenye miaka ya nyuma kwa Wakulya wa mkoa wa Mara. Nimesahau kidogo, kati ya Benjamin na Jonathan mmoja wao kazaliwa hapo hapo mashariki ya kati while mwingine alizaliwa USA baba yao akiwa ziarani kwa mafundisho ya kidini. I just wanted to put clear history of this family.
Sasa wamuwahishe na bwana yahaya naye aende kwa mabikira wapatao 72Israel imethitibisha kumuua kiongozi mkuu wa kundi la kishia la Lebanon Hassan nasralaah wa Hezbollah kufuatia mashambulizi makali ya ndege za kivita za Israel apo Jana jijini Beirut Lebanon,
Apo Jana Israel ilishambulia target zaidi ya 140 apo Beirut Kwa ndege zake za jet za kivita,
Hezbollah leo jioni IMESEMA ni kweli kiongozi wao wa muda mrefu Hassan nasralaah ameuwawa apo Jana,
Hezbollah pia IMESEMA ipo tayari kuingia vitani vita vya ardhini na Israel kujibu mapigo.
Nawaza kama hali ipo hivi. Itakuwa kazi sana kuunganisha mwili wake aweze enjoy na 72 Virgins. Nimesikitika. Ina maana hata akhera hatapata kitu. Yes, hatopata kitu maana hajabakiwa na kitu kabisa. Mwili umesagwa sagwa. Kafa vibaya sana.
View attachment 3109625
Ujinga ndio huwa unawaponza, katunguliwa mtu Iran huko nako kuna ukristo mwingi??Kwenye usaliti huo hawakosekani walebanon wakiristo
Ukisikia ubishi ndio hu sasa; sheikh anaweza kua mtu wa taifa lolote duniani, hata Mchina same as askofu BUT kuna RABI au mwalimu wa Judaism ambaye sio Myahudi/Muisrael hapa duniani? Nitajie mmoja bro tofauti na mzee Netanyahu.Kuwa rabbi siyo issue,mbona kipozeo ni sheikh lakini siyo msaudia!?..historia haianzii kwa benzion,baba yake netanyahu bali kwa babu yake mileikowsky mzaliwa wa ukraine, benzion hakuzaliwa israel,na aliweka ubin wa netanyahu baada ya kuvamia palestine 1940s, israel kuna sehemu inaitwa netanya
🖕 The Walking Corpse and living on a borrowed time.Kichwa huyo hapo anatangazwa muda wowote kuanzia sasa anaitwa Hashim Safi Al din. Second in command. Moto juu ya moto
View attachment 3109633
Wewe unajua nini! Bata mkubwa.
Wao wanasaidiwa kila kitu na bila hao wafadhili wao hawana lolot
sasa kwa nini na waarabu nao wasisaidiwe ili wawe na lolote?Wewe unajua nini! Bata mkubwa.
Wao wanasaidiwa kila kitu na bila hao wafadhili wao hawana lolote.
Mbona hapa unaonekana wazi mpuuzi ni wewe!Acha upumbavu weka proof
🖕🖕🖕🖕 The Walking Corpse and living on a borrowed time.
Wewe ni mpuuzi zaidi.Mbona hapa unaonekana wazi mpuuzi ni wewe!
Google vyombo vyote vikubwa habari, vimeripoti, na hezbollah wamethibitisha kuwa kiongozi wao mkuu ameteketezwa. Na hakuwa pekee yake, bali pia makamanda baadhi wa Hezbollah na jeshi la Iran.
Lakini Mauti kwa Gaidi anasema anaenda kupewa Wanawake na Mito ya Pombe.Maana yake mauti ni kwa kila mtu,tofauti tu wewe utakufa kizembe kwa kuzidisha k vant