Yimakatso
JF-Expert Member
- Jul 11, 2015
- 7,060
- 9,468
Kwahiyo sasahivi Gaza ipo chini ya Israel?Yaani watumie ndege kudondosha chakula washindwe kuwafumua magaidi wa Hamas kwa hizo ndege,!! Hamas imekwisha pamoja na kujificha kwa kuvaa Burqa, Niqab na kujificha hospitali mashuleni wamekwisha, damu ya watanzania wasio na hatia waliowateka na kuwaua itawamaliza.
Ficha ujinga wako kwa kutazama taarifa ya habari ya Al Jazeera ndiyo utajionea uhalisia.