Tlaatlaah
JF-Expert Member
- May 18, 2023
- 24,665
- 25,388
sure,Ukisoma comments za pro Hamas kisha ukasoma na utitiri wa Threads za muanziasha mada utapata picha kamili kuwa hawa wamechanganyikiwa na hii vita.Sina uhakika kama wanapata hata muda wa kunywa maji.
Watu wanakufa kama nzige huko Gaza wao wapo hapa kupigana vita na kujipa matumaini/ ushindi kwa comments
you are very right