Ruzuku ilio muhimu ni ya kumsimamia mgombea kuhakikisha anapata haki yake wakati wa kuhesabu kura.Ingegawiwa kwa kila mgombea kumlipia gharama za observer wake.Na vituo vya kupigia kura nchi nzima tangu 2015 viliongezwa kufikia 72,000 nchi nzima, Kuna mtu wa upinzani aliwahi kuvihesabu?, hao wapiga kura milioni 29 unaweza kunionyesha majina yao na kujua Kama kweli Wana exist?,je CHADEMA ina ubavu kusimamisha wasimamizi wawili wawili na makini vituo vyote 72,000 nchi nzima na kuwalipa per DM?...
Mwenyekiti wa Tume ya Uchaguzi ( NEC) mh Jaji Kaijage amesema baada ya kuhakiki daftari na kuondoa majina yanayojirudia sasa wamebakia wapiga kura 29,188,347
Source East africa radio...
Wewe ulijiandikisha?! You sound like one with unsound mind.Idadi ndogo hata nusu ya watanzania tume wameshindwa kabla ya kuanza nilitegea watanzania wote wajiandikishe tuko zaidi ya milioni 60 kazi ya tume ni hipi
Uchambuzi mzuri sanaHuna ujualo zaidi ya kupiga propaganda mfu hapa jukwaani. Haijawahi na haitakaa itokee wapiga kura wa nchi hii kujitokeza kupiga kura kwa 100%. Kwa taarifa yako kutokana na ushenzi uliofanywa na awamu hii ya tano kwenye chaguzi zetu, hakuna uwezekano wa wapiga kura kufika 20m.
Na hata hiyo 20m nimesema iwapo Lissu hatakatwa kutokana na maagizo ya Magufuli kwa tume ya uchaguzi. Ni iwapo tume ya uchaguzi itatekeleza maagizo ya Magufuli ya kumkata Lisu, wapiga kura hawatavuka 5m. Take it or leave it, that's the story.
Wanataka kutudanganyaHizi data zipitiwe na vyombo vya nje
Walijiandikisha wachache,watoto ni wengi kuliko watu wazima alaf m29 inaingia kweli??
Huyo ni zwazwa tuAcha bange, Lissu anaingiaje sasa hapo??
Majizi haokumbe matokeo mnayo tayari?
Hajasusia mtu msianze kutengeneza mazingira ya wizi tumejipanga hata wenye chama wanajua hilo ndiyo maana sarakasi kama zote,mara wasani mara viongozi wa dini,mtakoma safari hii.CCM imeshakuwa ufalme uliofitinika, hii mbungi inaanza kuchezwa huko huko ndani ya nyumba yenu.Dogo nilikua nawakumbusha tu. Kususia mliona munamkomoa Magufuli, kumbe munajiumiza wenyewe.
Na wewe utarudi Msumbiji!Tushawaambia kuwa nyinyi wahamiaji haramu mjiandae kurudi kwenu Burundi
Mimi muda huu nipo hapa NangadiNa wewe utarudi Msumbiji!
Mkuu acha wapige marufuku vyombo vyao vya habari kutangaza. Sisi tutaendelea kuhabarishana wenyewe kwa wenyewe. Ukipata habari unahakikisha inawafikia wengine mia kama nifanyavyo hiiView attachment 1541030
Hata hivyo hakusema kama vile ambavyo vitakaidi agizo lake vitachukuliwa hatua gani , na wala haifahamiki kama anayo mamlaka ya kushughulikia vyombo vya habari vitakavyotoa habari za upendeleo , maana tayari hapa kibindoni ninayo orodha ya vyombo vya habari vinavyopendelea mgombea mmoja na kutelekeza wengine
Ngoja tuone mkuu.Hajasusia mtu msianze kutengeneza mazingira ya wizi tumejipanga hata wenye chama wanajua hilo ndiyo maana sarakasi kama zote,mara wasani mara viongozi wa dini,mtakoma safari hii.CCM imeshakuwa ufalme uliofitinika, hii mbungi inaanza kuchezwa huko huko ndani ya nyumba yenu.
💩💩💩💩Safari hii gharama zote za uchaguzi shilingi bilioni 331 tutagharimia wenyewe hatuhitaji pesa za wafadhili
mkurugenzi mkuu wa Time ya uchaguzi aliongea na vyombo vya habari kasema pesa zote Ni zetu wenyewe
Hi ni Mara ya kwanza toka Tanzania ipate Uhuru kugharimia uchaguzi Bila kutegemea ufadhili wa n
Waangalizi wa kimataifa wamealikwa wa nje
Hongera Raisi Magufuli