Uchaguzi 2020 Jaji Kaijage: Baada ya uhakiki, sasa tuna jumla ya wapiga kura 29,188,347. Vyombo vya Habari vitende haki kwa vyama vyote

Uchaguzi 2020 Jaji Kaijage: Baada ya uhakiki, sasa tuna jumla ya wapiga kura 29,188,347. Vyombo vya Habari vitende haki kwa vyama vyote

Na vituo vya kupigia kura nchi nzima tangu 2015 viliongezwa kufikia 72,000 nchi nzima, Kuna mtu wa upinzani aliwahi kuvihesabu?, hao wapiga kura milioni 29 unaweza kunionyesha majina yao na kujua Kama kweli Wana exist?,je CHADEMA ina ubavu kusimamisha wasimamizi wawili wawili na makini vituo vyote 72,000 nchi nzima na kuwalipa per DM?...
Ruzuku ilio muhimu ni ya kumsimamia mgombea kuhakikisha anapata haki yake wakati wa kuhesabu kura.Ingegawiwa kwa kila mgombea kumlipia gharama za observer wake.
 
Gharama za wagombea wanazotakiwa watumie katika kampeni je! wamezitaja??

Mwenyekiti wa Tume ya Uchaguzi ( NEC) mh Jaji Kaijage amesema baada ya kuhakiki daftari na kuondoa majina yanayojirudia sasa wamebakia wapiga kura 29,188,347

Source East africa radio...
 
Kuna Wagombea wanaleta maandamano na kejeli hao wapigwe spana tu
 
Idadi ndogo hata nusu ya watanzania tume wameshindwa kabla ya kuanza nilitegea watanzania wote wajiandikishe tuko zaidi ya milioni 60 kazi ya tume ni hipi
Wewe ulijiandikisha?! You sound like one with unsound mind.
 
Huna ujualo zaidi ya kupiga propaganda mfu hapa jukwaani. Haijawahi na haitakaa itokee wapiga kura wa nchi hii kujitokeza kupiga kura kwa 100%. Kwa taarifa yako kutokana na ushenzi uliofanywa na awamu hii ya tano kwenye chaguzi zetu, hakuna uwezekano wa wapiga kura kufika 20m.

Na hata hiyo 20m nimesema iwapo Lissu hatakatwa kutokana na maagizo ya Magufuli kwa tume ya uchaguzi. Ni iwapo tume ya uchaguzi itatekeleza maagizo ya Magufuli ya kumkata Lisu, wapiga kura hawatavuka 5m. Take it or leave it, that's the story.
Uchambuzi mzuri sana
 
Dogo nilikua nawakumbusha tu. Kususia mliona munamkomoa Magufuli, kumbe munajiumiza wenyewe.
Hajasusia mtu msianze kutengeneza mazingira ya wizi tumejipanga hata wenye chama wanajua hilo ndiyo maana sarakasi kama zote,mara wasani mara viongozi wa dini,mtakoma safari hii.CCM imeshakuwa ufalme uliofitinika, hii mbungi inaanza kuchezwa huko huko ndani ya nyumba yenu.
 
View attachment 1541030

Hata hivyo hakusema kama vile ambavyo vitakaidi agizo lake vitachukuliwa hatua gani , na wala haifahamiki kama anayo mamlaka ya kushughulikia vyombo vya habari vitakavyotoa habari za upendeleo , maana tayari hapa kibindoni ninayo orodha ya vyombo vya habari vinavyopendelea mgombea mmoja na kutelekeza wengine
Mkuu acha wapige marufuku vyombo vyao vya habari kutangaza. Sisi tutaendelea kuhabarishana wenyewe kwa wenyewe. Ukipata habari unahakikisha inawafikia wengine mia kama nifanyavyo hii

 
Hajasusia mtu msianze kutengeneza mazingira ya wizi tumejipanga hata wenye chama wanajua hilo ndiyo maana sarakasi kama zote,mara wasani mara viongozi wa dini,mtakoma safari hii.CCM imeshakuwa ufalme uliofitinika, hii mbungi inaanza kuchezwa huko huko ndani ya nyumba yenu.
Ngoja tuone mkuu.
 
Hivi kweli inaingia akilini yaani Watanzania milioni 60; halafu wapiga kura milioni 29.

Hivi inawezekana kweli au fix tu.
 
Safari hii gharama zote za uchaguzi shilingi bilioni 331 tutagharimia wenyewe hatuhitaji pesa za wafadhili

mkurugenzi mkuu wa Time ya uchaguzi aliongea na vyombo vya habari kasema pesa zote Ni zetu wenyewe

Hi ni Mara ya kwanza toka Tanzania ipate Uhuru kugharimia uchaguzi Bila kutegemea ufadhili wa n

Waangalizi wa kimataifa wamealikwa wa nje

Hongera Raisi Magufuli
 
Safari hii gharama zote za uchaguzi shilingi bilioni 331 tutagharimia wenyewe hatuhitaji pesa za wafadhili

mkurugenzi mkuu wa Time ya uchaguzi aliongea na vyombo vya habari kasema pesa zote Ni zetu wenyewe


Hi ni Mara ya kwanza toka Tanzania ipate Uhuru kugharimia uchaguzi Bila kutegemea ufadhili wa n


Waangalizi wa kimataifa wamealikwa wa nje

Hongera Raisi Magufuli
💩💩💩💩
 
Back
Top Bottom