Umedhihirisha uduni wako wa akili. Jibu hoja ya Warioba, siyo huu upuuzi uliouandika. Hata akili ya kutambua tu hoja, nayo umeikosa?Mzee maisha yamempiga, anahaha tu kutafuta ajira kupitia wapiga debe wa katiba mpya.
Huyu alikaa na Nyerere kwa miongo kadhaa, hakumshauri kuhusu katiba, na aliiacha nchi imefilisika, kwa Sasa hivi hana la kutushauri, ni mtu wa hovyo tu, na pia alikula Hela katika kashfa ya meremeta.
Matapeli wa kisiasa waliobaki
mkuu wakati unaandika ulikuwa wawaza unajibu hoja kwa hoja ama wale wale kina lusindeMzee maisha yamempiga, anahaha tu kutafuta ajira kupitia wapiga debe wa katiba mpya.
Huyu alikaa na Nyerere kwa miongo kadhaa, hakumshauri kuhusu katiba, na aliiacha nchi imefilisika, kwa Sasa hivi hana la kutushauri, ni mtu wa hovyo tu, na pia alikula Hela katika kashfa ya meremeta.
Matapeli wa kisiasa waliobaki
Mzee Warioba ni super intelligent. Wenye akili wote wanamwelewa. Lakini wale mentally retarded, hawawezi kumwelewa.Yaani amekuwa kama kichaa, hakuna wa kumsikiliza siku hizi
Chinembe anaweza kuwaelewa wenzake wenye akili kibaba kama yeye.Vilaza na Chawa kama wewe huwezi msikiliza na kumuelewa. Wewe endekelea kumsikiliza Kihongosi na Shaka.
Mzee Warioba ni super intelligent. Wenye akili wote wanamwelewa. Lakini wale mentally retarded, hawawezi kumwelewa.
"Unadhani" niko kinadharia zaidi, naishia hapo...Nadhani uko kinadharia zaidi.
..You are dealing with human beings, not stones.
..kwamba watu wana kumbukumbu, wana hisia, na wana akili zinazofanya tafakuri.
..Wanamkumbuka Dr.Bashiru jinsi alivyokuwa fedhuli na mwenye kiburi cha madaraka wakati akiwa Katibu Mkuu wa Ccm.
..Leo amefikwa na nini kiasi cha kiasi cha kuanza kuwazodoa watawala, na kutetea wanyonge?
..Je, tumuamini tu bila ya kumdadisi? Je, atetewe tu bila kwanza kukiri makosa yake, na kuwaomba radhi waliodhulumiwa wakati akiwa sehemu ya genge la watawala?
..Kuielewa hoja yangu labda nitoe mfano huu mdogo. Hivi mtu ambaye anajulikana kwa kumkashifu Mtume Muhammad, je ana uhalali siku yoyote ile atakayoamua aingie Msikitini?
..Je, waumini hawana haki ya kumhoji kama ame Silimu? Je, hatakiwi kuulizwa kama ametawadha kabla hajaingia Msikitini? Je, aachwe tu aingie Msikitini na viatu?
..Narudia tena, Dr.Bashiru atubu, aombe radhi, ajitenge na ufedhuli na unyanyasaji wa awamu ya 5. Baada ya hapo atakuwa na uhalali wa kutetea uhuru wa maoni.
Kwamba platinum credit imefilisika?Mzee maisha yamempiga, anahaha tu kutafuta ajira kupitia wapiga debe wa katiba mpya.
Huyu alikaa na Nyerere kwa miongo kadhaa, hakumshauri kuhusu katiba, na aliiacha nchi imefilisika, kwa Sasa hivi hana la kutushauri, ni mtu wa hovyo tu, na pia alikula Hela katika kashfa ya meremeta.
Matapeli wa kisiasa waliobaki
Kivipi mkuuUmesomeka mzee....maana CCM imeshatufanya kichwa cha mwendawazimu...
Tanzania si masikini, wananchi ndo masikiniUkimsikiliza Msukuma,Kibajaji & Kigwangallah unajikuta unapata majibu mazuri ni kwanini Tanzania bado ni masikini.
CCM ni chama cha kidemokrasia ndio maana watu wanatofautiana na mwisho wanaelewana.
Wewe na Msukuma jahazi moja la wapuuzi.Mzee maisha yamempiga, anahaha tu kutafuta ajira kupitia wapiga debe wa katiba mpya.
Huyu alikaa na Nyerere kwa miongo kadhaa, hakumshauri kuhusu katiba, na aliiacha nchi imefilisika, kwa Sasa hivi hana la kutushauri, ni mtu wa hovyo tu, na pia alikula Hela katika kashfa ya meremeta.
Matapeli wa kisiasa waliobaki
"Unadhani" niko kinadharia zaidi, naishia hapo.
Mengine yote uliyoandika hapo umejaza hisia tu, wakati nimeshakwambia hapa ni suala la kisheria na haki za mtu, naona hatuelewani,
Nakubaliana kabisa na Mzee Warioba. Tutaiharibu nchi yetu endapo tutafanya kila mtu na kila chombo kuwa cha kuimba mapambio na kusifu. Chombo cha kuwatetea wakulima kifanye kazi yake ya utetezi, siyo kusifu.“Hawa ni viongozi wa nchi, mimi nilifikiri watakuwa wanatetea wananchi zaidi. Naona kama wanatetea Serikali zaidi. Mimi nadhani kama wanatofauti zao huko wasizifanye ni tofauti za kitaifa. [..] Mimi sioni kama tunasaidia nchi kuanza kusema huyu awajibike kwa sababu ya mawazo aliyotoa, hivi mtu akitoa mawazo yake imekuwa ni kosa?” amehoji Warioba.
kama kuna kiongozi anayeheshimika nakuaminiwa na Watanzania basi ni pamoja na Jaji Joseph Sinde Warioba,,,,,jibuni hoja achana na jaji...Vilaza na Chawa kama wewe huwezi msikiliza na kumuelewa. Wewe endekelea kumsikiliza Kihongosi na Shaka.
Bashiru yeye katoa maoni yake kanyamaza, ukitaka yachukue hutaki acha ila yeye hahitajiki kufanya lolote juu ya maoni yake...Nadhani uko kinadharia zaidi.
..You are dealing with human beings, not stones.
..kwamba watu wana kumbukumbu, wana hisia, na wana akili zinazofanya tafakuri.
..Wanamkumbuka Dr.Bashiru jinsi alivyokuwa fedhuli na mwenye kiburi cha madaraka wakati akiwa Katibu Mkuu wa Ccm.
..Leo amefikwa na nini kiasi cha kiasi cha kuanza kuwazodoa watawala, na kutetea wanyonge?
..Je, tumuamini tu bila ya kumdadisi? Je, atetewe tu bila kwanza kukiri makosa yake, na kuwaomba radhi waliodhulumiwa wakati akiwa sehemu ya genge la watawala?
..Kuielewa hoja yangu labda nitoe mfano huu mdogo. Hivi mtu ambaye anajulikana kwa kumkashifu Mtume Muhammad, je ana uhalali siku yoyote ile atakayoamua aingie Msikitini?
..Je, waumini hawana haki ya kumhoji kama ame Silimu? Je, hatakiwi kuulizwa kama ametawadha kabla hajaingia Msikitini? Je, aachwe tu aingie Msikitini na viatu?
..Narudia tena, Dr.Bashiru atubu, aombe radhi, ajitenge na ufedhuli na unyanyasaji wa awamu ya 5. Baada ya hapo atakuwa na uhalali wa kutetea uhuru wa maoni.
Inawezekana hajawatuma lakini anafurahia.Kawatuma au wanajipendekeza?
Warioba amesema mjibu hoja si kushambulia watu .Mzee maisha yamempiga, anahaha tu kutafuta ajira kupitia wapiga debe wa katiba mpya.
Huyu alikaa na Nyerere kwa miongo kadhaa, hakumshauri kuhusu katiba, na aliiacha nchi imefilisika, kwa Sasa hivi hana la kutushauri, ni mtu wa hovyo tu, na pia alikula Hela katika kashfa ya meremeta.
Matapeli wa kisiasa waliobaki