ha kila kitu kwenu kibaya.
Kila mtu kwenu mbaya ila awe na akili za kushikiwa kama zenu.
Mnajiona wajuaji na watakatifu sana. Wakati lichama lenu limeshajifia lenyewe. Badala ya kukifufua mmebaki kutetea mapenzi ya jinsia moja(Fatma Karume) mkidhani mnajiimarisha kumbe ndio mnajizika
Toka Maktaba
15 October 2013
JK AONGEA NA VIONGOZI WA VYAMA VYA SIASA, ALIPOWAKARIBISHA IKULU
Rais Jakaya Kikwete akiongea na viongozi wa vyama vya upinzani alipowakaribisha Ikulu. Viongozi hao walikuwemo Prof. Ibrahim Lipumba, Freeman Mbowe, Mzee Cheyo, James Mbatia na wengineo wengi
Are you going to lift the absolute immunity and bring up a civil litigation for the acts undertaken during his tenure?!!!
Otherwise you are just throwing childish temper tantrums......
Hamna barakoa hata moja.LEO Desemba 05, 2021
NILIFUNDISHWA Kuishi na VIONGOZI Wenzangu, UPENDO Ndio KILA KITU"
LEO Desemba 05, Rais mstaafu wa awamu wa Nne, Jakaya Kikwete na viongozi wengine wa serikali wameshiriki katika kumbukumbu ya kifo cha baba mzazi wa Mbunge wa Mtama, Nape Nnauye, Hayati Brigedia Moses Nnauye..
Aaah Kabwili watu wanajitafunia tuWe utakua Tundu Lissu. Unafugwa
LEO Desemba 05, 2021
NILIFUNDISHWA Kuishi na VIONGOZI Wenzangu, UPENDO Ndio KILA KITU"
LEO Desemba 05, Rais mstaafu wa awamu wa Nne, Jakaya Kikwete na viongozi wengine wa serikali wameshiriki katika kumbukumbu ya kifo cha baba mzazi wa Mbunge wa Mtama, Nape Nnauye, Hayati Brigedia Moses Nnauye..
Angeweza kuwepo sana tu. China inaendeshwa kwa “selective justice”.Huyu Mzee hii nchi ngekuwa ni China, sijui kama leo angekuwepo
MaCCM yote ni minafiki mno, hili jitu hili nafikii namba moja. Silipendi kabisa kabisaHuyu Mzee hii nchi ngekuwa ni China, sijui kama leo angekuwepo
Promo!Kwann mwaka huu? Mbona sijawahi kuisikia kumbukumbu hii?
hivi ulishawahi tafakari usafi wako binafsi Kabla ya ku judge wengine?Huyu Mzee hii nchi ngekuwa ni China, sijui kama leo angekuwepo
hivi ulishawahi tafakari usafi wako binafsi Kabla ya ku judge wengine?Huyu Mzee hii nchi ngekuwa ni China, sijui kama leo angekuwepo
Ukisikiliza kwa makini bila ya kuweka ushabiki na chuki unaona kabisa hawa wazee waliwahi kupigania nchi kwa namna moja au nyingine hongera kwao.
Sikuwahi kujua kama ditopile alikuwa mjeshi!
Au baba yake nape nae alikua mjeshi, so hii hafla hata kama itaonekana kuna mengine ndani yake lakini kuna historia tumepata.
Capt. Ditopile Mzuzuri amefufuka kuja kushiriki kongomano la leo??? Andika vitu unavyovishuhudia na si unavyovifikiria.WAKUMBUSHANA NYIMBO ZA USHINDI VITA YA UGANDA
LEO Desemba 05,2021 wazee wa CCM walio wanajeshi akiwemo Rais mstaafu wa awamu wa Nne, Jakaya Kikwete Lt. (Colonel mstaafu) na viongozi Abdulrahman Kinana (Colonel mstaafu), Yusuf Makamba (Luteni mstaafu), Capt Ditopile Mzuzuri wengine wa serikali wameshiriki katika kumbukumbu ya kifo cha baba mzazi wa Mbunge wa Mtama, Nape Nnauye, Hayati Brigedia Moses Nnauye.. na kutoboa siri ya jinsi walivyoishi kwa ...