Jamaa kaua mtoto baada ya kujua sio wake

Mtoto hana hatia.
Ila wote hao ni wameshiriki
mauaji.
Mama muuaji
Baba muuaji.
Mungu atusaidie kizazi
hiki.
 
wew unaongea tuu unadhani maisha ni mepesi kwa kila mtu wazazi wengine wanashindwa hata kununua sukari japo siafiki alichokifanya ila inaumaa sana kulea damu isiyikuwa yako huku ukidanganywa ni yako
Mara Mia mwanamke angesema ukweli
Ili jamaa aamue kulea au kutolea
 
Unamaanisha ujasiri huo wa kuua ila ukanusurika na kifungo gerezani uliutoa wapi la sivyo usingenusurika kushuhudiwa ukiua ungekua jela leo hii au?
 
Hasira kuliliwa usiku kucha na toto lililotoka kwenye mauno ya mchepuko wa mke wako
Wewe ni shetani .samahani kukuita hivyo .mtoto ana miaka 1 au 2 anajuwa nini huku duniani? Jitafakari brother
 
Na hiyo ndo sababu wanaume wengi wanakataa watoto ila wale haki za binadamu hawaelewi hlo
 
Huyo jamaa hana tofauti na Simba dume , nikisema huyo jamaa ni binadamu mwenye tabia ya simba sijakosea.
 
Kwa biologia ilivyo inabidi mwanaume uzae watoto wengi sana Ili pamoja na kudanganywa walau upate na WA kwako humo,
Tuna tabu sanaa
 
Safi kabisa....jamaa kamaliza machungu yake na kamtia machumngu mwanamke
 
Japo jamaa kazingua sana ila Wanawake nao wapunguze upumbavu
Jamaa hajazingua kafanya sahihi kabisa...piga pale mtu anapojali. Mwanamke upendo wake wa kwanza upo kwa mtoto sasa jamaa kapiga pale pale panapo uma most
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…