Januari Makamba adai uchaguzi wa 2020 ulitugawa, watu walifungwa, walinyang'anywa pesa, na waliharibiwa biashara zao

Wakiguswa wao wanasema watu tukiguswa sisi wanasema waalifu au wezi wao wanajiita wafanyabiashara ila sisi wanatuita vibaka. Sisi kinachotugawa ni haya matatizo na shida tunazopitia ambazo enzi ya mwamba hazikuwepo na sio maswala ya watu walipororwa hela zao ambazo nao waliwapora masikini kupitia kukwepa kodi.
 
..Ni kweli alikuwa na uwezo wa kushinda.

..sasa kwanini alicheza RAFU za kiwango kile?

..kwanini walienguliwa wagombea wengi kuzidi kipindi chochote kile?
Yaliyo pita si ndwele, tugange yajayo.

Kwa sababu huyu mama ni mwema sana anapenda maridhiano amekuja na 4R. Ongezea na viongozi wa wajuu wa CCM wanakiri hadharani kupitia makamu mwenyekiti wa CCM na katibu wa UWT na kuna mawaziri kadhaa pia wamesikika wakitoa kauli hizi Nape na Makamba.

Haki itendeke haraka sana, mwambieni raisi aitishe uchaguzi mkuu haraka sana mwaka huu, kuondoa dhulma iliyofanyika 2020 si anataka maradhiano na ana amini haki aikutendeka maana hizo kauli zimeongelewa mara kadhaa mbele yake na Kinana, Nchimbi na Makamba; hata yeye mwenyewe anaamini hivyo ndio maana akaja na hizo 4R.

Kwa hivyo hakuna namna zaidi ya kuitisha uchaguzi mkuu mwingine haraka sana kuondoa dhulma ya 2020.

Kama wapo kwa dhulma na CCM uongozi wa juu wa CCM mwenyekiti, makamu na katibu na baadhi ya mawaziri wao wanakubali waitishe uchaguzi kuwapa wananchi haki.

Kunufaika na dhulma maana yake na wewe ni sehemu ya dhulma na uhalifu uliotendeka. Mama aitishe uchaguzi haraka sana hakuna namna nchi aiwezi ongozwa na raisi anaekiri yupo pale kutokana na dhulma.

Credit ya wazo kwa mchangiaji wa JF nimeokota kwenye mada nyingine
Kambi ya Fisi
 
Ukifa hauozi bwasheee.
.......
 
Ooh ok. Kwani bado yupo kwenye hiyo wizara? Si alishaondolewa? Vipi bei ya kuunganisha umeme imeshuka?
 
Acha kumsingizia Makamba mambo makubwa. Makamba ana akili? Wewe unafikiri akili ni kama arsehole kila mtu analo? Mtu kilaza kabisa kama huyo unasema ana akili.... Wewe kwenu utakuaje?
 
..Januari anasema kuna viongozi walikuwa wanaidharau Wizara na watendaji wa Ofisi ya Makamu wa Raisi kiasi cha kufikia kutowasalimia.
Na hao ndiyo hawa wanaolalamika sasa.
Baada kuipuuza ofisi ya Makamo wa rais na Wizara zilizokuwa chini yake, wakajikuta kwenye taharuki isiyo kifani baada kipenzi chao kufariki Dunia.
Walisahau kwamba binadamu hufa.
 

..waliodhulumiwa watambuliwe, waombwe radhi, na watendewe haki. Baada ya hayo kufanyika ndipo tutaweza kusema waliyopitia si ndwele...
 
Makamba amepewa shinikizo ili CCM kuendelea wanabidi waendekeze propaganda za magharibi.

Ni aibu.

Hii ni vita ya Kisakilojia tu, kwamba asitokee mwingine kuja kudai Rasilimali ni za Waafrika pekee. Kwmba MWafrika anajiweza kisiasa na kiuchumi.

Makamba ni mnafiki. Yeye alihusika 2000%

Kitaeleweka 2900's msisahau, mpitie hapa.
 
Ma+vi
Ndio maana nasema sisi ngozi nyeusi tumelaaniwa
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…