Mtoa hoja hii be honest, wewe unaamini kuwa nchi hii tumekuwa tunafanya chaguzi za huru na haki toka tuwe huru? Nijibu hili maana ndio tutapata the way forward na mada yako, ccm inashinda uchaguzi kihalali kabisa, yaani watanzania wanakipa mandate ya kutawala nchi, sidhani kama CDM hata wakiitisha mikutano yao watafanikiwa na pia elewa ni wajibu wa political parties kujitahidi kunadi Sera zao, hii ni haki yao maana huwezi kusikia mtihani ni next week eti uanze kujisomea now!mitihani ni maandalizi ya muda mrefu, sawa na vyama vya siasa na chaguzi, yaani mkuu ungetembelea zambia/Botswana now uone demokrasia in the making kwenye hizo nchi.