Je, kuna faida gani ya kuwa na mikutano ya vyama vya siasa baada ya uchaguzi?

Je, kuna faida gani ya kuwa na mikutano ya vyama vya siasa baada ya uchaguzi?

Habari Jf, Tuweke mbali uhalisia wa namna CCM inavyoingia madarakani.

Hivi kuna faida gani baada ya chama kimoja kushinda uchaguzi kwa mikutano ya vyama vya siasa kuendelea?

Uchaguzi umeisha kwanini chama kilichoshinda kisiachwe kitekeleze ilani yake na kuongoza nchi tuje tuwa hukumu kwenye uchaguzi unaofuata?

Chama kishashinda kwanini hiyo mivutano isiachwe Bungeni na kwenye mabaraza ya Madiwani badala ya kuendelea kutuchanganya wananchi?

Uchaguzi ushaisha kwanini wananchi tukaachwa kusumbuliwa vichwa na tukatekeleza malengo na matakwa ya Chama kinachotawala?

Hivi mama yuko bize na majukumu ya kazi anasikia CHADEMA au chama chochote wanaandaa mkutano na maandamano kuhusu katiba mpya au mfumko wa bei au ugumu wa maisha au safari za Mama au mikopo kwa Maneno makali mengine ya kweli na mengine uzushi kama tulivyo zoea mikutanoni , Je haiathiri utendaji wa serikali?

Je ni mikutano pekee wanaweza tumia kufikisha ujumbe kwa wananchi ? magazeti ,televisheni ,mitandao ya kijamii????

Mi nadhani kuna haja ya hili jambo kuangaliwa upya ,Mikutano ifanyike mwaka mmoja kabla ya uchaguzi au kipindi cha uchaguzi.
Ila CCM ina vichwa jamani!! Hiki nacho ni kichwa cha CCM na kinaongoza vikao vya wilaya.
 
Habari JF, Tuweke mbali uhalisia wa namna CCM inavyoingia madarakani.

Hivi kuna faida gani baada ya chama kimoja kushinda uchaguzi kwa mikutano ya vyama vya siasa kuendelea?

Uchaguzi umeisha kwanini chama kilichoshinda kisiachwe kitekeleze ilani yake na kuongoza nchi tuje tuwa hukumu kwenye uchaguzi unaofuata?

Chama kishashinda kwanini hiyo mivutano isiachwe Bungeni na kwenye mabaraza ya Madiwani badala ya kuendelea kutuchanganya wananchi?

Uchaguzi ushaisha kwanini wananchi tukaachwa kusumbuliwa vichwa na tukatekeleza malengo na matakwa ya Chama kinachotawala?

Hivi mama yuko bize na majukumu ya kazi anasikia CHADEMA au chama chochote wanaandaa mkutano na maandamano kuhusu katiba mpya au mfumko wa bei au ugumu wa maisha au safari za Mama au mikopo kwa Maneno makali mengine ya kweli na mengine uzushi kama tulivyo zoea mikutanoni. Je, haiathiri utendaji wa serikali?

Je, ni mikutano pekee wanaweza tumia kufikisha ujumbe kwa wananchi? Magazeti, televisheni, mitandao ya kijamii?

Mi nadhani kuna haja ya hili jambo kuangaliwa upya ,Mikutano ifanyike mwaka mmoja kabla ya uchaguzi au kipindi cha uchaguzi.
We unadhan kuna hasara gani watu kufanyia mikutano?

Kwann uwapangie watu namna na wakati wa kuongea?
 
Habari JF, Tuweke mbali uhalisia wa namna CCM inavyoingia madarakani.

Hivi kuna faida gani baada ya chama kimoja kushinda uchaguzi kwa mikutano ya vyama vya siasa kuendelea?

Uchaguzi umeisha kwanini chama kilichoshinda kisiachwe kitekeleze ilani yake na kuongoza nchi tuje tuwa hukumu kwenye uchaguzi unaofuata?

Chama kishashinda kwanini hiyo mivutano isiachwe Bungeni na kwenye mabaraza ya Madiwani badala ya kuendelea kutuchanganya wananchi?

Uchaguzi ushaisha kwanini wananchi tukaachwa kusumbuliwa vichwa na tukatekeleza malengo na matakwa ya Chama kinachotawala?

Hivi mama yuko bize na majukumu ya kazi anasikia CHADEMA au chama chochote wanaandaa mkutano na maandamano kuhusu katiba mpya au mfumko wa bei au ugumu wa maisha au safari za Mama au mikopo kwa Maneno makali mengine ya kweli na mengine uzushi kama tulivyo zoea mikutanoni. Je, haiathiri utendaji wa serikali?

Je, ni mikutano pekee wanaweza tumia kufikisha ujumbe kwa wananchi? Magazeti, televisheni, mitandao ya kijamii?

Mi nadhani kuna haja ya hili jambo kuangaliwa upya ,Mikutano ifanyike mwaka mmoja kabla ya uchaguzi au kipindi cha uchaguzi.
Kwani walioibiwa kura wakifanya mikutano yao wanamzuia nini mwizi wa kura kufanya kazi zake?
 
Habari JF, Tuweke mbali uhalisia wa namna CCM inavyoingia madarakani.

Hivi kuna faida gani baada ya chama kimoja kushinda uchaguzi kwa mikutano ya vyama vya siasa kuendelea?

Uchaguzi umeisha kwanini chama kilichoshinda kisiachwe kitekeleze ilani yake na kuongoza nchi tuje tuwa hukumu kwenye uchaguzi unaofuata?

Chama kishashinda kwanini hiyo mivutano isiachwe Bungeni na kwenye mabaraza ya Madiwani badala ya kuendelea kutuchanganya wananchi?

Uchaguzi ushaisha kwanini wananchi tukaachwa kusumbuliwa vichwa na tukatekeleza malengo na matakwa ya Chama kinachotawala?

Hivi mama yuko bize na majukumu ya kazi anasikia CHADEMA au chama chochote wanaandaa mkutano na maandamano kuhusu katiba mpya au mfumko wa bei au ugumu wa maisha au safari za Mama au mikopo kwa Maneno makali mengine ya kweli na mengine uzushi kama tulivyo zoea mikutanoni. Je, haiathiri utendaji wa serikali?

Je, ni mikutano pekee wanaweza tumia kufikisha ujumbe kwa wananchi? Magazeti, televisheni, mitandao ya kijamii?

Mi nadhani kuna haja ya hili jambo kuangaliwa upya ,Mikutano ifanyike mwaka mmoja kabla ya uchaguzi au kipindi cha uchaguzi.
VICHAA tu WANAJUA UMUHIMU wa hiyo MIKUTANO sasa wewe sijui tukuweke kwenye kundi gani
 
Hapa Tanzania kuna mambo mengi ya kizamani sana ambayo tunayafanya kwa kweli tunapaswa kubadilika.
 
Hakuna namna nyingine ya kufanya zaidi ya mikutano
Kwa kifupi ni ujinga tu ndiyo unakusumbua kama siyo kuathirika na udikteta wa Magufuli wa kutaka kujimilikisha nchi na watu wake!
 
Kwa sababu ndio mwanzo wa kampeni za vyama Kwa ajiri ya chaguzi inayofuata...kimkakati zaidi...
 
Habari JF, Tuweke mbali uhalisia wa namna CCM inavyoingia madarakani.

Hivi kuna faida gani baada ya chama kimoja kushinda uchaguzi kwa mikutano ya vyama vya siasa kuendelea?

Uchaguzi umeisha kwanini chama kilichoshinda kisiachwe kitekeleze ilani yake na kuongoza nchi tuje tuwa hukumu kwenye uchaguzi unaofuata?

Chama kishashinda kwanini hiyo mivutano isiachwe Bungeni na kwenye mabaraza ya Madiwani badala ya kuendelea kutuchanganya wananchi?

Uchaguzi ushaisha kwanini wananchi tukaachwa kusumbuliwa vichwa na tukatekeleza malengo na matakwa ya Chama kinachotawala?

Hivi mama yuko bize na majukumu ya kazi anasikia CHADEMA au chama chochote wanaandaa mkutano na maandamano kuhusu katiba mpya au mfumko wa bei au ugumu wa maisha au safari za Mama au mikopo kwa Maneno makali mengine ya kweli na mengine uzushi kama tulivyo zoea mikutanoni. Je, haiathiri utendaji wa serikali?

Je, ni mikutano pekee wanaweza tumia kufikisha ujumbe kwa wananchi? Magazeti, televisheni, mitandao ya kijamii?

Mi nadhani kuna haja ya hili jambo kuangaliwa upya ,Mikutano ifanyike mwaka mmoja kabla ya uchaguzi au kipindi cha uchaguzi.
Mikutano ikizuiwa MIKOPO INAPIGWA ban,

Acha iendelee maana mtoa PESA ndo huchagua WIMBO.
 
Hiyo mikutano itachochea utekelezaji wa ilani ya chama tawala kwani miamba itakapopita maeneo mbalimbali mojawapo ni kuwakumbusha wananchi wa eneo hilo kwamba hao sisiyemu waliahidi hiki au kile na kuwaambia waachane nao hali hiyo itawachochea sisiyemu kufanya utekelezaji ili waendelee kuaminiwa na wananchi wa eneo husika.Kubwa zaidi wabunge waliokuwa wanahamia Dar immediately baada ya kushinda si tu watapungua ila wataisha.Ukaribu kati ya wabunge na wapiga kura utaimarika sana.Kwa ufupi atakayefaidika na maamuzi ya mh Rais kuruhusu hii mikutano ni mwananchi ambaye ni mpiga kura.
 
Kwa mitazamo wangu mimi hakuna ulazima wowote, mikutano ya vyama vya siasa iwe kipindi cha uchaguzi tu.
Ni kupotezeana muda tu.

Tatizo ni masheria mabovu uanyoruhusu maujingaujinga hayo. Hata mabendera ya vyama hayana maana.

Viongozi wa chama wa kata, wilaya na mikoani ni mavyeo ya kipuuzi
Umelaximishwa kwenda kwenye mikutatano wewe chawa?
 
Umelaximishwa kwenda kwenye mikutatano wewe chawa?
Ungekuwa inafatilia hata threads zangu za nyuma ungejua mitazamo wangu.
Hata ningekuwa mwana ccm nisingekubali kuwa chawa asilani
 
Habari JF, Tuweke mbali uhalisia wa namna CCM inavyoingia madarakani.

Hivi kuna faida gani baada ya chama kimoja kushinda uchaguzi kwa mikutano ya vyama vya siasa kuendelea?

Uchaguzi umeisha kwanini chama kilichoshinda kisiachwe kitekeleze ilani yake na kuongoza nchi tuje tuwa hukumu kwenye uchaguzi unaofuata?

Chama kishashinda kwanini hiyo mivutano isiachwe Bungeni na kwenye mabaraza ya Madiwani badala ya kuendelea kutuchanganya wananchi?

Uchaguzi ushaisha kwanini wananchi tukaachwa kusumbuliwa vichwa na tukatekeleza malengo na matakwa ya Chama kinachotawala?

Hivi mama yuko bize na majukumu ya kazi anasikia CHADEMA au chama chochote wanaandaa mkutano na maandamano kuhusu katiba mpya au mfumko wa bei au ugumu wa maisha au safari za Mama au mikopo kwa Maneno makali mengine ya kweli na mengine uzushi kama tulivyo zoea mikutanoni. Je, haiathiri utendaji wa serikali?

Je, ni mikutano pekee wanaweza tumia kufikisha ujumbe kwa wananchi? Magazeti, televisheni, mitandao ya kijamii?

Mi nadhani kuna haja ya hili jambo kuangaliwa upya ,Mikutano ifanyike mwaka mmoja kabla ya uchaguzi au kipindi cha uchaguzi.

Kungekuwa na uchaguzi wa kweli hoja yako wangalau ingekuwa na maana. Hii tabia ya chama kimoja kunajisi uchaguzi kisha tukae pembeni kusubiri kiharibu kitakavyo bila watu kusikia upande mwingine sio sawa. Vyama vingine vitakaa kimya, kisha ikifika uchaguzi mwingine hata kama wananchi hawaridhiki na hicho chama wanapora tena uchaguzi. Kwahiyo huko bungeni na kwenye mabaraza ya madiwani kunakuwa kumejaa watu wasio na uhalali wa umma.

Hiyo mikutano ya vyama vya siasa itaonyesha kile ambacho hakipatikani huko bungeni, na kwenye mabaraza ya madiwani. Uzuri wa mikutano ya hadhara ya vyama vya siasa hushurutishwi kuisikiliza, wala kuhudhuria. Huenda ww ni mfaidika wa vyeo vya wizi wa kura, hivyo hutaki wananchi kusikia mambo mbadala kutoka kwa vyama vingine, maana unajua wananchi watapata ufahamu.
 
Wanaleta usumbufu kwa viongozi tu
Viongozi wasio na uwezo ndio wataona usumbufu, huenda ww ni kiongozi mwenye uwezo mdogo, hivyo unahofia hii changamoto. Nina hakika ww ulikuwa ni mmoja ya walioshauri kuzuia hiyo mikutano. Mbona kila siku tunaona mikutano ya hadhara viongozi wa dini, na hatuoni viongozi wa dini nyingine wakishindwa kufanya kazi zao kisa kuna mikutano ya hadhara ya kidini?
 
Mtoa hoja hii be honest, wewe unaamini kuwa nchi hii tumekuwa tunafanya chaguzi za huru na haki toka tuwe huru? Nijibu hili maana ndio tutapata the way forward na mada yako, ccm inashinda uchaguzi kihalali kabisa, yaani watanzania wanakipa mandate ya kutawala nchi, sidhani kama CDM hata wakiitisha mikutano yao watafanikiwa na pia elewa ni wajibu wa political parties kujitahidi kunadi Sera zao, hii ni haki yao maana huwezi kusikia mtihani ni next week eti uanze kujisomea now!mitihani ni maandalizi ya muda mrefu, sawa na vyama vya siasa na chaguzi, yaani mkuu ungetembelea zambia/Botswana now uone demokrasia in the making kwenye hizo nchi.

Huko Botswana na Zambia viongozi wanaingia madarakani ndio maana hawaogopi mikutano ya vyama vya siasa. Hapa chama kimekaa madarakani zaidi ya miaka 50 kwa shuruti, hivyo kikisikia tu mikutano ya vyama vingine kinajua wazi udhaifu wake utafanikwa. Bila kuitoa CCM madarakani tena kwa machafuko wataendelea kufanya mambo ya ajabu, huku wakigoma kuhojiwa popote.
 
Hakuna namna nyingine ya kufanya zaidi ya mikutano
Hiyo mikutano sijui makongamano ya dini, wao hawana namna nyingine ya kupata waumini lazima mikutano ya hadhara? Au kwenye mikutano ya dini huna shida nayo maana haigusi maslahi ya walioko madarakani kwa wizi wa kura?
 
Hakuna namna nyingine ya kufanya zaidi ya mikutano
Katika nchi zetu mikutano ndio njia Bora pekee inyompa fursa mwananchi kukutana na wanasiasa ana kwa ana iliaweze kuuliza ,kueleza ,kuhoji,na kupata elimu inayohusiana na sera za chama husika.
 
Back
Top Bottom