Je, kuna faida gani ya kuwa na mikutano ya vyama vya siasa baada ya uchaguzi?

Je, kuna faida gani ya kuwa na mikutano ya vyama vya siasa baada ya uchaguzi?

Viongozi wasio na uwezo ndio wataona usumbufu, huenda ww ni kiongozi mwenye uwezo mdogo, hivyo unahofia hii changamoto. Nina hakika ww ulikuwa ni mmoja ya walioshauri kuzuia hiyo mikutano. Mbona kila siku tunaona mikutano ya hadhara viongozi wa dini, na hatuoni viongozi wa dini nyingine wakishindwa kufanya kazi zao kisa kuna mikutano ya hadhara ya kidini?
mimi ni Raia wa kawaida ambae sijaona umuhimu wa hiyo mikutano
 
Umenena vyema mkuu, hawa wanasiasa wanaturudisha nyuma
Wewe inaonekana hata ukilala njaa utasema ni wanasiasa wamesababisha ilhali ni uzembe wako.

Kwani Kuna mwanasiasa amewahi kukufunga kamba shingoni na kulazimisha kwenda kwenye mkutano wake?

Sent from my TECNO F1 using JamiiForums mobile app
 
Mikutano ya kisiasa ni ya MUHIMU Sana nchini.

(1) Ni chanzo kizuri cha kuamsha bongo za watu .Yaani kupitia mikutano hiyo watu huelimishwa mambo mbalimbali yahusuyo demokrasia na uchumi wa nchi hasa ambao hawakwenda shule madarasa ya ju .

(2) Mikutano husaidia watu kushare changamoto kiulahisi. Watu wanapo kutana wanawezesha kuzijua changamoto za mitaa au maeneo yao kiulahisi na kuziweka wazi mbele ya hadhira na kuwezesha serikali husika kuzijua na kuzifanyia kazi.

(3) Mikutano hiyo inasaidia watu kutua vihoro vyao ju ya changamoto na matatizo yaliyopo kwenye jamii. Vinginevyo watu watakaa na changamoto zao mioyoni na baadaye wanaweza kupandwa jazbaa na kuchukua hatua zisizo faa kwa serikali yao.

(4) Mikutano hiyo inasaidia vyama kueneza Sera na mipango yao . Ili wananchi wavijue vyama hivyo vizuri hasa Sera zao,Maona ,Mipango,na dhamira zso lazima kuwe na mahala pa kukutana na wananchi hadharani.

(5) Mikutano inatengeneza integration kwenye jamii .Watu wanajuana na kuaminiana zaidi wanapo kutana marakwamara.

Nk
Hawezi kukuelewa, kumuelewesha chizi ni kujipa kazi

Sent from my TECNO F1 using JamiiForums mobile app
 
Faida ni kubwa sana kama mikutano hiyo italenga kuikumbusha serikali iliyoundwa na chama kilichoshinda uchaguzi kuhusu utekelezaji wa ahadi ilizoahidi kwa wananchi na kukikosoa pale kinapokwenda kinyume na maslahi mapana ya taifa na haki za raia. Lakini kama vyama vya siasa vitakuwa na agenda binafsi kwa maslahi yao binafsi na vyama vyao sioni umuhimu wa mikutano ya siasa baada ya uchaguzi.
 
Habari JF, Tuweke mbali uhalisia wa namna CCM inavyoingia madarakani.

Hivi kuna faida gani baada ya chama kimoja kushinda uchaguzi kwa mikutano ya vyama vya siasa kuendelea?

Uchaguzi umeisha kwanini chama kilichoshinda kisiachwe kitekeleze ilani yake na kuongoza nchi tuje tuwa hukumu kwenye uchaguzi unaofuata?

Chama kishashinda kwanini hiyo mivutano isiachwe Bungeni na kwenye mabaraza ya Madiwani badala ya kuendelea kutuchanganya wananchi?

Uchaguzi ushaisha kwanini wananchi tukaachwa kusumbuliwa vichwa na tukatekeleza malengo na matakwa ya Chama kinachotawala?

Hivi mama yuko bize na majukumu ya kazi anasikia CHADEMA au chama chochote wanaandaa mkutano na maandamano kuhusu katiba mpya au mfumko wa bei au ugumu wa maisha au safari za Mama au mikopo kwa Maneno makali mengine ya kweli na mengine uzushi kama tulivyo zoea mikutanoni. Je, haiathiri utendaji wa serikali?

Je, ni mikutano pekee wanaweza tumia kufikisha ujumbe kwa wananchi? Magazeti, televisheni, mitandao ya kijamii?

Mi nadhani kuna haja ya hili jambo kuangaliwa upya ,Mikutano ifanyike mwaka mmoja kabla ya uchaguzi au kipindi cha I

Watanzania ni lazima tujiepushe na maswali ya kivivu maana yanaleta tabia za kivivu

Kuuliza “ kuna faida gani” ni misemo ya kivivu sana. Ni misemo ya kulalama na sio kujenga

Maswali ni kama

Je tufanye nini kusaida taifa?

Toa mbinu?

Yaani Watanzania kukutana na wananchi kujadili nchi yao unauliza kuna faida gani kweli? Hivi tuna watu wa type gani sikuhizi hapa?
 
Habari JF, Tuweke mbali uhalisia wa namna CCM inavyoingia madarakani.

Hivi kuna faida gani baada ya chama kimoja kushinda uchaguzi kwa mikutano ya vyama vya siasa kuendelea?

Uchaguzi umeisha kwanini chama kilichoshinda kisiachwe kitekeleze ilani yake na kuongoza nchi tuje tuwa hukumu kwenye uchaguzi unaofuata?

Chama kishashinda kwanini hiyo mivutano isiachwe Bungeni na kwenye mabaraza ya Madiwani badala ya kuendelea kutuchanganya wananchi?

Uchaguzi ushaisha kwanini wananchi tukaachwa kusumbuliwa vichwa na tukatekeleza malengo na matakwa ya Chama kinachotawala?

Hivi mama yuko bize na majukumu ya kazi anasikia CHADEMA au chama chochote wanaandaa mkutano na maandamano kuhusu katiba mpya au mfumko wa bei au ugumu wa maisha au safari za Mama au mikopo kwa Maneno makali mengine ya kweli na mengine uzushi kama tulivyo zoea mikutanoni. Je, haiathiri utendaji wa serikali?

Je, ni mikutano pekee wanaweza tumia kufikisha ujumbe kwa wananchi? Magazeti, televisheni, mitandao ya kijamii?

Mi nadhani kuna haja ya hili jambo kuangaliwa upya ,Mikutano ifanyike mwaka mmoja kabla ya uchaguzi au kipindi cha uchaguzi.
Kwan katiba inasemaje? Na nn kinawakera kuwepo kwa mikutano ya kisiasa? Maana hawazuii utawala kufanya kaz zao! Kila mmoja atakula alikopeleka mboga!!
 
Habari JF, Tuweke mbali uhalisia wa namna CCM inavyoingia madarakani.

Hivi kuna faida gani baada ya chama kimoja kushinda uchaguzi kwa mikutano ya vyama vya siasa kuendelea?

Uchaguzi umeisha kwanini chama kilichoshinda kisiachwe kitekeleze ilani yake na kuongoza nchi tuje tuwa hukumu kwenye uchaguzi unaofuata?

Chama kishashinda kwanini hiyo mivutano isiachwe Bungeni na kwenye mabaraza ya Madiwani badala ya kuendelea kutuchanganya wananchi?

Uchaguzi ushaisha kwanini wananchi tukaachwa kusumbuliwa vichwa na tukatekeleza malengo na matakwa ya Chama kinachotawala?

Hivi mama yuko bize na majukumu ya kazi anasikia CHADEMA au chama chochote wanaandaa mkutano na maandamano kuhusu katiba mpya au mfumko wa bei au ugumu wa maisha au safari za Mama au mikopo kwa Maneno makali mengine ya kweli na mengine uzushi kama tulivyo zoea mikutanoni. Je, haiathiri utendaji wa serikali?

Je, ni mikutano pekee wanaweza tumia kufikisha ujumbe kwa wananchi? Magazeti, televisheni, mitandao ya kijamii?

Mi nadhani kuna haja ya hili jambo kuangaliwa upya ,Mikutano ifanyike mwaka mmoja kabla ya uchaguzi au kipindi cha uchaguzi.
Je, kuna faida gani kutawadha baada ya kwenda haja kubwa?
 
Ni mjinga tu ndo anayeweza kuona mikutano ya hadhara inaweza kumzuia aliyeko madarakani ashindwe kutekeleza majukumu yake ...
 
mikutano ya dini imengiaje ? wao hufanya mikutano kwa nia ya kutangaza habri za yesu au mtume

Vyama vya siasa hufanya mikutano ya hadhara kwanza kwa mujibu wa katiba, pili ni kuhubiri sera za, na tatu mikutano ya hadhara ni fursa ya wao kuvutia wanachama wapya kupitia sera zao. Usipoelewa uliza.
 
Habari JF, Tuweke mbali uhalisia wa namna CCM inavyoingia madarakani.

Hivi kuna faida gani baada ya chama kimoja kushinda uchaguzi kwa mikutano ya vyama vya siasa kuendelea?

Uchaguzi umeisha kwanini chama kilichoshinda kisiachwe kitekeleze ilani yake na kuongoza nchi tuje tuwa hukumu kwenye uchaguzi unaofuata?

Chama kishashinda kwanini hiyo mivutano isiachwe Bungeni na kwenye mabaraza ya Madiwani badala ya kuendelea kutuchanganya wananchi?

Uchaguzi ushaisha kwanini wananchi tukaachwa kusumbuliwa vichwa na tukatekeleza malengo na matakwa ya Chama kinachotawala?

Hivi mama yuko bize na majukumu ya kazi anasikia CHADEMA au chama chochote wanaandaa mkutano na maandamano kuhusu katiba mpya au mfumko wa bei au ugumu wa maisha au safari za Mama au mikopo kwa Maneno makali mengine ya kweli na mengine uzushi kama tulivyo zoea mikutanoni. Je, haiathiri utendaji wa serikali?

Je, ni mikutano pekee wanaweza tumia kufikisha ujumbe kwa wananchi? Magazeti, televisheni, mitandao ya kijamii?

Mi nadhani kuna haja ya hili jambo kuangaliwa upya ,Mikutano ifanyike mwaka mmoja kabla ya uchaguzi au kipindi cha uchaguzi.
Swali la kujiuliza, Kwa Nini kuwe na upinzani kama mnatekeleza majukumu yenu? nyie chama Cha mambuzi
 
Vyama vya siasa hufanya mikutano ya hadhara kwanza kwa mujibu wa katiba, pili ni kuhubiri sera za, na tatu mikutano ya hadhara ni fursa ya wao kuvutia wanachama wapya kupitia sera zao. Usipoelewa uliza.
Wewe ni mgumu kuelewa mikutano ya dini na siasa wapi na wapi
 
Kwani mikutano ya siasa inazua vipi chama kilichopo madarakani kutekeleza sera zake
 
Mswahili bila fimbo aendi, chama tawala bila amsha amsha hakiwezi leta maendeleo
 
Back
Top Bottom