Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mmh, ila 300k ni pesa ya kuingiza nusu sikuHabari wadau!
Ebu nisaidieni hivi kweli 310,000/= inatosha mtu kufanya kazi na kuishi DAR au unatakiwa kuwa na miundombinu mingine?
Mishe gani boss unayopiga inayokuingizia 300k kwa nusu siku??Mmh, ila 300k ni pesa ya kuingiza nusu siku
Huamini niweke salary slip yangu?Acha kutufanya sisi watoto wadogo wewe[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Unaleta gas tena hapo nivurumai hadi vifuu vya nazi vinapika40 kwa mwezi anko....
Gas kwa mwezi ni 50000
Maji 50000 (hapa nimepunguza)
Umeme 30000
Nyingine najaziaje
Kaka hongera bhana 😀😂Mimi kama Taxi Driver kipato changu ni 250,000/= kwa mwezi na bado nipo Dar hii hii mkuu
Muwe mnatembea nje ya mji unaweza pata kisehem chakujenga hata room tatu kwalaki tano hadi sita halafu anaweza sema mpe kidogokidogoNa kodi nalipa, mi sina nyumba anko nadhani ndio mwanajf pekee nisie na nyumba [emoji23][emoji23][emoji23] nijengewe sanamu
We njoo dar watu wana mshahara wa 210000 na wanaishi na familia zao kabisa[emoji847]Habari wadau!
Ebu nisaidieni hivi kweli 310,000/= inatosha mtu kufanya kazi na kuishi DAR au unatakiwa kuwa na miundombinu mingine?
Hicho kiwanja cha laki sita ndugu yangu, kutoka huko hadi niingie mjini kazini si itanichukua siku mbili 😁Muwe mnatembea nje ya mji unaweza pata kisehem chakujenga hata room tatu kwalaki tano hadi sita halafu anaweza sema mpe kidogokidogo
Yani hela ikiwa nyingi matumizi yanazidi hiyo ninyingi2014 nilikua nalipwa 250,000/= kwa mwez nikawa naish tu nina mke na mtoto hata sijui nilikua naishije...Leo hii nalipwa 2,500,000/= hata bado sijui naishije yan naona siku zinaenda tu.Nadhan Mungu ndio wa kunisaidia nitoke hapa
Mwandishi wa vitabuMkuu una kazi ngapi maana toka nikujue zinafika 20
Maji 50000 umeme 30000🤔40 kwa mwezi anko....
Gas kwa mwezi ni 50000
Maji 50000 (hapa nimepunguza)
Umeme 30000
Nyingine najaziaje
Dereva TaxMwandishi wa vitabu
Ndio.....Maji 50000 umeme 30000🤔
Umeoa...?Habari wadau!
Ebu nisaidieni hivi kweli 310,000/= inatosha mtu kufanya kazi na kuishi DAR au unatakiwa kuwa na miundombinu mmin
Mmh wewe ni Soldier salary yako 7M hivi, si taxi driver 🤔Mimi kama Taxi Driver kipato changu ni 250,000/= kwa mwezi na bado nipo Dar hii hii mkuu
Wow ulianza na mshahara huo na ukagrow? Ama uliridhika hivo hivo for 10 yrs mkuu?Watu tumekaa dar tukiwa hatuna kazi maalumu ya kutulipa mshahara, sasa hapo kwenye kilo 3 na sunu, mbona Mangi nitaishi naye vzr tu.
Kusa sehemu niliambiwa mshahara ni 120k ilikuwa mwaka 2007, nilitaka nikimbie kazi, wenyeji/ wafanyakazi wenzangu waliniambia nitulie nisome mazingira kwanza. Huwezi amini katika hiyo kazi nilifanya miaka 10, na namshukuru sana Mungu maana aliweza kunipa heshima kubwa mtaani.
Extrovert mwambie jamaa apitie uzi wetu wa mikeka 😅😅ntakusaidia kutengeneza odd ya 1.5kila siku asbh ushinde ishirini elf na sintokutoza hata elfu 1 pole sana