Mr Mlokozi
Member
- Jun 1, 2024
- 21
- 16
sote tunapaswa kukubaliana kwamba ili matokeo ya wanafunzi yawe mazuri panahiitajika ushirikiano uliotukuka katika mzazi, mwalimu na mwanafunzi huku kila mmoja akitimiza wajibu wake kadiri impasavyo kufanya na ikitokea mmoja au wawili kati yao hajatimiza majukumu yake daima matokeo yataendelea kuwa mabaya. Yaani ni kama mafiga matatu yanavyohitajika ili tu chakula kiweze kuiva vizuri bila figa moja chakula daima hakiwezi kuiva.
Jukumu kubwa la walimu ni kumfundisha mwanafunzi na jukumu kubwa la mzazi ni kuhakiksha mwanafunzi anapata mahitaji yote kwa kipindi cha masomo na Jukumu kubwa kabisa la mwanafunzi ni kuhakikisha anasoma kwa bidii.
Pamoja na majjukumu hayo mwalimu na mzazi majukumu mengine ya ziada katika kuhakikisha mtoto huyu anafauru ambayo ni pamoja na kumuhamasisha na kumtia moyo mtoto katika safari yake ya masomo laikini pia kumkanya pale ambapo hajafanya vizuri
Sasa kumekuwa na changamoto kwa wazazi hasa wale ambao wamewapeleka watoto wao katika shule binafsi ambapo wanalipa ada na michango ya shule kuishia kuwalaumu walimu pekee moja kwa moja kwa matokeo mabaya ya watoto wao kwa kudai kwamba wameshalipa ada inakuwaje mtoto anafel? bila kujali kwamba wao hawajatimiiza majukumu yao mengine kama wazazi
yaani unakuta mtoto akifeli wote wawili mtoto na mzazi wanaungana kumsema na kumlaumu mwalimu huku mtoto akilaumu kwamba kwa nini nimefeli na mzazi akilaumu kwamba kwa nn mwanganu kafeli.
huku lawama zote hizi zinapokuwa zikishuka kwa mwalimu unakuta yeye katimiza majukumu yake kikamilifu kafundisha vizuri kabisa kamaliza maada zote kadiri ya mtasali, katoa kazi nyingi sana kasahihisha na kufanya masihihisho katumia mda wa ziada kwa wanafunzi wenye kuelewa taratibu na pia katoa ushauri kwa kadiri alivyowe na matokeo chanya ya alichokifanya yanaonekana kwa wanafunzi wengine ndani ya darasa hilo
SASA JE NI SAHIHI MZAZI WA MWANAFUNZI HU ALIYEFEL;I KUMLAUMU MWALIMU MOJA KWA MOJA?
Jukumu kubwa la walimu ni kumfundisha mwanafunzi na jukumu kubwa la mzazi ni kuhakiksha mwanafunzi anapata mahitaji yote kwa kipindi cha masomo na Jukumu kubwa kabisa la mwanafunzi ni kuhakikisha anasoma kwa bidii.
Pamoja na majjukumu hayo mwalimu na mzazi majukumu mengine ya ziada katika kuhakikisha mtoto huyu anafauru ambayo ni pamoja na kumuhamasisha na kumtia moyo mtoto katika safari yake ya masomo laikini pia kumkanya pale ambapo hajafanya vizuri
Sasa kumekuwa na changamoto kwa wazazi hasa wale ambao wamewapeleka watoto wao katika shule binafsi ambapo wanalipa ada na michango ya shule kuishia kuwalaumu walimu pekee moja kwa moja kwa matokeo mabaya ya watoto wao kwa kudai kwamba wameshalipa ada inakuwaje mtoto anafel? bila kujali kwamba wao hawajatimiiza majukumu yao mengine kama wazazi
yaani unakuta mtoto akifeli wote wawili mtoto na mzazi wanaungana kumsema na kumlaumu mwalimu huku mtoto akilaumu kwamba kwa nini nimefeli na mzazi akilaumu kwamba kwa nn mwanganu kafeli.
huku lawama zote hizi zinapokuwa zikishuka kwa mwalimu unakuta yeye katimiza majukumu yake kikamilifu kafundisha vizuri kabisa kamaliza maada zote kadiri ya mtasali, katoa kazi nyingi sana kasahihisha na kufanya masihihisho katumia mda wa ziada kwa wanafunzi wenye kuelewa taratibu na pia katoa ushauri kwa kadiri alivyowe na matokeo chanya ya alichokifanya yanaonekana kwa wanafunzi wengine ndani ya darasa hilo
SASA JE NI SAHIHI MZAZI WA MWANAFUNZI HU ALIYEFEL;I KUMLAUMU MWALIMU MOJA KWA MOJA?