Je, ni wakati wa vijana kufikiria kutafuta kazi nje ya nchi?

Hizo kazi huko nje ni nyingi ndio na vigezo unaweza kua navyo, shida ni visa hata visa sponsored job wanataka mtu extraordinary ambaye nchini kwao kuna upungufu wa mtu huyo, msifikiri hizo kazi zote zipo kwaajili yenu wenyewe serikali zao zinalimit idadi ya watu wanaoingia kufanya kazi ili soko la ajira na uchumi wao usishuke, kwahyo uwe na kitu cha ziada ili upate visa ya kazi au uingie hiyo nchi kwa namna yoyote kihalali ndo utapata hizo kazi cheap
 
Yani tusipoanza sisi wenyewe kupendana yani wantanzania tupendane ona shida ya mwenzako kama yako yani msaidie mwenzako kulingana na uwezo wako siyo ufikilie et nikimsaidia atakuja kunipita maendeleo BC hakuna taiga lingine litatupenda ikiwa sisi wenyewe hatupendani.mfano wakati nilipokuwa naomba connection kuna Mtanzania kama Mimi aliniambia ili nitimize ndoto yangu et lazima niwe Shoga au nitafute vibibi vya kizungu nioe wakati Mimi na miaka 24 et nitafute vibibi nioe
 
Komaaaa

Ova
Kukomaa na kumtanguliza mungu pekee ndo silaha yangu nikweli najua maisha ya MTU yako kwa MTU lakini hatupaswi kulazimisha watu wengine watusaidie kama hawataki kikubwa nitafanya kulingana na uwezo wangu naimani mungu atabariki
 
Kwamba serikali yao inajipanga kwa miaka 60 ! [emoji38][emoji38][emoji38]
 
Dunia imeisha now kila MTU anajifikilia yeye kwanza yani ule upendo wa asili wa kibinadam now hakuna.maisha tumetofautiana wewe ambaye unauwezo BC saidia wengine ndugu zangu hakuna fulaha nzur uone MTU uliyemsaidia akifanya maendeleo yani inapendeza sana pi kama hutaki kusaidia ni bora ukae kimya kuliko kuja hapa kuandika Uzi wa kujimwambafai ili tujue wewe uko mbele na tukikuomba msaada unazingua
 
Teknolojia Tz ni Nape! Like kichwa unakifahamu vizuri?
 
Jioulize Je una account ya linked? ume connect na watanzania gani ambao wewe unataka kuwa kama wao? linked ni bure kwanini hauja connect hasa kwa wasomi?

Ukweli tuambizane tu hata hiyo LinkedIn siyo bure kama unavyoisemea. Ni kweli ina proffesional wengi lakini ili uweze kupata connection nzuri ni mpaka ULIPIE na kama unavyojua sisi vijana wa kitanzania kila inapotokea suala la kulipia huduma hasa za kimtandao wengi wetu huamini kama UTAPELI.
Nadhani bado tuna safari ndefu sana.

Halafu kuna hawa watu wa uhamiaji wanakera sana kwenye utoaji wa hati za kusafiria.
Siyo kwamba hatupendi kuchangamkia fursa ila kuna mambo yanafanywa makusudi na mamlaka ili tudhoofike.
 
Tatizo watu wakiambiwa nje ya nchi wanajua ni USA,UK, Canada, Australia lakini kumbe kuna nchi hazina usumbufu kupata visa na kazi za vibarua zipo nyingi na malipo ni mazuri.
 
Halafu kuna hawa watu wa uhamiaji wanakera sana kwenye utoaji wa hati za kusafiria.
Siyo kwamba hatupendi kuchangamkia fursa ila kuna mambo yanafanywa makusudi na mamlaka ili tudhoofike.

Hebu ona majirani zetu wakenya hawana mambo mengi
 
Hivi unapata raha gani kuchanganya rangi hivi? Unaandika content ya msingi ila unaanza kuipodoa podoa
 
Tatizo watu wakiambiwa nje ya nchi wanajua ni USA,UK, Canada, Australia lakini kumbe kuna nchi hazina usumbufu kupata visa na kazi za vibarua zipo nyingi na malipo ni mazuri.
Mkuu ni nchi gani hizo ungeziorodhesha hata kwa uchache ndio msingi wa thread kama hii
 
Hivi unapata raha gani kuchanganya rangi hivi? Unaandika content ya msingi ila unaanza kuipodoa podoa
Highlighting inamaana haifai hasa pale unapolenga ujumbe fulani?
Mkuu sijapodoa podoa chochote ila nadhani umenitafsiri tofauti.
Nawasilisha 🙏
 

Wakati huu fursa ni nyingi zaidi kuliko wakati wetu
 

Napenda kutoa maoni na kujenga kuliko kulaumu na hiyo naona ni kati ya tofauti ya vizazi. Ingependeza zaidi kama ungetoa maoni tufanye nini step kwa step tuondokane na tatizo. Mfano kama passport zinasumbua basi tafuta mtu aliyefuatilia ili tujue ni sehemu gani hasa inakwamisha mambo ili tuweze kuwaelekeza wahusika kwa uhalisia. mfano tatizo ni wanataka documents nyingi, rushwa, technologia, muda au pesa ya kibali chenyewe?
 
linked ni bure kulipia ni mahitaji binafsi. Mimi sijawahi kulipia na nime connect na watu zaidi ya 100!
 
linked ni bure kulipia ni mahitaji binafsi. Mimi sijawahi kulipia na nime connect na watu zaidi ya 100!
Ooh sawa mkuu kwa upande wako.
Huenda ikawa mimi nilitaka connection kubwa sana. 100k+ purchase
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…