Siku hizi kusafiri kila kitu kiko wazi mbona
Sema vijana sahv uthubutu hawana
Ova
Sina hakika na hilo la uthubutu ila nachojua vijana wengi zaidi sikuhizi wanasafiri kwenda nje kimasomo au kutafuta maisha
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Siku hizi kusafiri kila kitu kiko wazi mbona
Sema vijana sahv uthubutu hawana
Ova
Ndo namshangaa huyo anasema vijana hatuna uthubutuKwanza kwa Watanzania walioko nje kuitiana fursa haipo tofauti na watu wa mataifa mengine uko sahihi
Yani tusipoanza sisi wenyewe kupendana yani wantanzania tupendane ona shida ya mwenzako kama yako yani msaidie mwenzako kulingana na uwezo wako siyo ufikilie et nikimsaidia atakuja kunipita maendeleo BC hakuna taiga lingine litatupenda ikiwa sisi wenyewe hatupendani.mfano wakati nilipokuwa naomba connection kuna Mtanzania kama Mimi aliniambia ili nitimize ndoto yangu et lazima niwe Shoga au nitafute vibibi vya kizungu nioe wakati Mimi na miaka 24 et nitafute vibibi nioeHizo kazi huko nje ni nyingi ndio na vigezo unaweza kua navyo, shida ni visa hata visa sponsored job wanataka mtu extraordinary ambaye nchini kwao kuna upungufu wa mtu huyo, msifikiri hizo kazi zote zipo kwaajili yenu wenyewe serikali zao zinalimit idadi ya watu wanaoingia kufanya kazi ili soko la ajira na uchumi wao usishuke, kwahyo uwe na kitu cha ziada ili upate visa ya kazi au uingie hiyo nchi kwa namna yoyote kihalali ndo utapata hizo kazi cheap
Kukomaa na kumtanguliza mungu pekee ndo silaha yangu nikweli najua maisha ya MTU yako kwa MTU lakini hatupaswi kulazimisha watu wengine watusaidie kama hawataki kikubwa nitafanya kulingana na uwezo wangu naimani mungu atabarikiKomaaaa
Ova
Teknolojia Tz ni Nape! Like kichwa unakifahamu vizuri?Kwenye nchi zilizoendelea kwasasa kuna uhaba mkubwa wa vijana wa kufanya kazi lakini wakati huohuo kuna janga kubwa la vijana wasikuwa na kazi Tanzania. Pamoja ni jitihada nyingi za serikali za kusaidia vijana kupata kazi na kufanya shughuli za kilimo ni lazima vijana nao wajiongeze walau kuweka mikakati ya muda wakati serikali ikijipanga vizuri hasa kwenye viwanda na mashamba ya mikakati. Badala ya kushinda vijiweni huu ni wakati wa serikali kufikiria zaidi ya Tanzania kwenye mambo ya ajira.
Tatizo tofauti na jamii za nchi jirani kama Kenya na Uganda watu wengi Tanzania wameweka utamaduni wa kuaminisha vijana wakienda nje tu kutafuta maslahi eti sio wazalendo. Ni bora wabaki vijiweni na kupuyanga wakati hawana uwezo wa kuchangia chochote kwa familia zao na wazazi wao. Naomba mlielewe siongelei vijana wote lakini nacho sema hapa tusiweke madongo kwa wale wanaotafuta maslahi nje ya nchi. Je, kuna fursa zipi hasa na nashauri nini. Hii ni kwa wale vijana wasio na kazi wala vipato
1. Serikali msione aibu kuongea na kampuni kubwa za teknologia ambazo zinaajiri watu nchi nyingine. India mfano wanafanya kazi nyingi sana za nchi nyingine kuanzia engineering design, accounting, programming, computer coding, technology training. Sasa je, ni kwanini hakuna jitihada zozote za kuwezesha Watanzania waweze kuajiriwa wakiwa Tanzania. Nasema hivyo kwasababu mimi nipo USA na naona hizi nchi kuna watu wengi sana wanafanya kazi kutoka nchi nyingine. Kuna kampuni ya Houston, Texas ambayo ina wafanyakazi zaidi ya 100 na wanafanyia kazi India!. sasa hawa wametuzidi nini. Mawaziri wetu wa teknologia hata kujiangaisha au kufikiria haya hawafanyi.
2. Serikali iweke uhusiano mzuri na diaspora na kuwawezesha diaspora wenye nafasi za kiungozi kuweza kuajiri Watanzania. Tatizo kwasasa hakuna sheria ambazo ziko wazi mfano kama manager diaspora yupo Canada na anataka kumpa kazi kijana Mtanzania na afanyie kazi kutoka Tanzania je ni sheria gani za kikodi na uwazi zipo kwasasa ili yule mwajiri aweze kuwa na uhakika anafuata sheria? Je tunasheria za hivi au hatuna? mafao na kodi zinalipwa vipi?
3. Watanzania vijana wahangaikie kazi za muda. Nchi nyingi zina kazi za muda kuanzia kwenye kilimo, meli za wageni, hospitali, mahoteli.. na hata ujenzi. Vijana badala ya kushinda mitandaoni na kuendesha bodaboda kwa Tsh 10,000 kwa siku tumia muda wako kutafuta kazi nje. Hizi kazi ni za mikataba mwaka mpaka miaka mitatu halafu unaweza kurudi wakati serikali nayo imejipanga. Mjue tu miaka ya 1995-2000 kuna watanzania wengi tu walienda USA kwenye program ya summer camp. walitafuta wenyewe lakini vijana wa siku hizi ni wepesi kulalama badala ya kutafuta fursa.
4.Vijana tafuteni " mentor" au washauri wenye uzoefu. Kuna Watanzania Dunia nzima wewe ni kijana wa miaka 20's badala ya kulalama tafuta mtu mzima wa kukushauri ambaye anafanya kitu ambacho wewe unapenda. Tatizo leo mnashinda kufikiri na kutaka kuwa kama Diamond au Nandy badala ya kutafuta wataalamu au wafanyabiashara ambao unataka kuwa kama wao. Sio lazima wawe Tanzania. Jioulize Je una account ya linked? ume connect na watanzania gani ambao wewe unataka kuwa kama wao? linked ni bure kwanini hauja connect hasa kwa wasomi? Hata hapa vijana kuna watu wengi wakuwapa mawazo lakini mnakimbilia kupiga madongo!madongo yanakusaidia nini?
5. Vijana msisubiri serikali. Serikali haijawahi kusaidia vijana kama wakati huu lakini vijana wa huko nyuma miaka ya 1990's na 2000's walienda kutafuta vyuo na maslahi huko nje wenyewe na marafiki zao sio kwa msaada wowote wa serikali. Tatizo vijana mnasubiri sana serikali ambayo itachukuwa muda sana kuweka mambo ya ajira sawa. Nawashauri tafuteni kazi popote Duniani ilimradi unasaidia familia yako. Lakini usisahau nyumbani
Kukaa nyumbani vijiweni na kulalama siku hadi siku sio uzalendo. Na usijidanganye kuwa wewe ni mzalendo kuliko yule kijana anayetuma pesa kusaidia familia yake.
Nishatoa ushauri huu
Ubunifu ni muhimu sana kwa nchi. Ushauri wangu huu ni serious sana kuliko watu nwengi wanavyofikiria.
Mimi ni diaspora hapa USA naona jinsi ambavyo kazi nyingi za technolojia zinafanywa kutokea India. Sasa najiuliza kuna ugumu gani ya vijana wetu wanaomaliza shule na kufanya kazi hizi kutokea Tanzania? inawezekana kabisa lakini kunatakiwa kuwa na makubaliano na hizi kampuni.
Nashauri serikali ifanye mwaliko wa hawa maguru na wakubwa wa hizi kampuni ili wafungue data center Tanzania waweze kuajiri wataalamu tofauti hasa kwenye teknolojia. Tusione aibu kuandikia barua na kualika hata kama wakisema hawana muda tunaweza kubahatisha mmoja.
Niongezee tu kwenye soko la hisa za Marekani 50% ni kampuni za teknolojia hizo hapo ni thamani za kampuni mfano Apple hapo ni $T2.3 na Oracle ni $240B
Larry Ellison-Oracle Corporation
bol Company Cap Rank
1-27-23Market Cap
1-27-231d Chg
1-27-231m Chg
1-27-2312m Chg
1-27-23AAPL Apple 1 2,311.0 1.4% 12.2% -8.3% MSFT Microsoft 2 1,848.0 0.1% 4.7% -17.2% GOOGL Alphabet 3 1,294.3 -0.9% -1.1% -34.6% AMZN Amazon 4 1,042.6 -1.6% -10.6% -48.1% BRK-A Berkshire Hathaway 5 682.8 0.0% 1.7% 1.9% TSLA Tesla 6 561.8 11.0% 63.0% -35.6% NVDA Nvidia 7 501.0 2.8% 44.2% -7.2% TSM Taiwan Semiconductor 8 483.9 -0.2% 25.5% -19.8% V Visa 9 477.2 3.0% 12.2% 12.3% XOM ExxonMobil 10 476.1 -1.8% 4.9% 53.9% UNH UnitedHealth 11 454.1 -1.3% -8.6% 5.3% JNJ Johnson & Johnson 12 439.8 -0.4% -5.2% -1.4% JPM JPMorgan Chase 13 411.6 0.2% 6.5% -3.4% META Meta 14 397.9 3.0% 29.8% -48.5% WMT Walmart 15 386.5 0.8% -0.4% 5.5% MA Mastercard 16 359.6 -0.9% 8.1% 6.7% CVX Chevron 17 347.0 -4.4% -0.1% 32.6% PG Procter & Gamble 18 331.6 -0.4% -8.7% -11.7% LLY Eli Lilly 19 325.1 -1.7% -6.2% 44.5% HD Home Depot 20 322.8 0.9% -0.9% -11.1% BABA Nvidia 21 313.4 -1.8% 31.7% 5.9% BAC Bank of America 22 284.4 0.3% 9.0% -22.0% MRK Merck 23 267.2 -1.4% -6.0% 30.8% ASML ASML 24 266.6 -2.4% 24.2% 5.2% KO Coca-Cola 25 261.6 -0.5% -5.8% 1.4% ABBV AbbVie 26 258.7 -0.8% -10.3% 7.6% AVGO Broadcom 27 247.0 -1.3% 6.8% 9.0% PFE Pfizer 28 245.8 -1.0% -14.4% -18.0% ORCL Oracle
![]()
Tesla-Elon Musk
![]()
Microsoft-Satya Narayana Nadella
![]()
Alphabet-Google-Sundar Pichai
![]()
SAP CEO Christian Klein
![]()
IBM CEO Arvind Krishna's
![]()
Ni mapimbi kabisa! Eti polepole na slaa ni wabalozi!Tz mabalozi wenyewe sasa[emoji28][emoji28]
Tatizo watu wakiambiwa nje ya nchi wanajua ni USA,UK, Canada, Australia lakini kumbe kuna nchi hazina usumbufu kupata visa na kazi za vibarua zipo nyingi na malipo ni mazuri.Hizo kazi huko nje ni nyingi ndio na vigezo unaweza kua navyo, shida ni visa hata visa sponsored job wanataka mtu extraordinary ambaye nchini kwao kuna upungufu wa mtu huyo, msifikiri hizo kazi zote zipo kwaajili yenu wenyewe serikali zao zinalimit idadi ya watu wanaoingia kufanya kazi ili soko la ajira na uchumi wao usishuke, kwahyo uwe na kitu cha ziada ili upate visa ya kazi au uingie hiyo nchi kwa namna yoyote kihalali ndo utapata hizo kazi cheap
Hivi unapata raha gani kuchanganya rangi hivi? Unaandika content ya msingi ila unaanza kuipodoa podoaJioulize Je una account ya linked? ume connect na watanzania gani ambao wewe unataka kuwa kama wao? linked ni bure kwanini hauja connect hasa kwa wasomi?
Ukweli tuambizane tu hata hiyo LinkedIn siyo bure kama unavyoisemea. Ni kweli ina proffesional wengi lakini ili uweze kupata connection nzuri ni mpaka ULIPIE na kama unavyojua sisi vijana wa kitanzania kila inapotokea suala la kulipia huduma hasa za kimtandao wengi wetu huamini kama UTAPELI.
Nadhani bado tuna safari ndefu sana.
Halafu kuna hawa watu wa uhamiaji wanakera sana kwenye utoaji wa hati za kusafiria.
Siyo kwamba hatupendi kuchangamkia fursa ila kuna mambo yanafanywa makusudi na mamlaka ili tudhoofike.
Mkuu ni nchi gani hizo ungeziorodhesha hata kwa uchache ndio msingi wa thread kama hiiTatizo watu wakiambiwa nje ya nchi wanajua ni USA,UK, Canada, Australia lakini kumbe kuna nchi hazina usumbufu kupata visa na kazi za vibarua zipo nyingi na malipo ni mazuri.
Highlighting inamaana haifai hasa pale unapolenga ujumbe fulani?Hivi unapata raha gani kuchanganya rangi hivi? Unaandika content ya msingi ila unaanza kuipodoa podoa
Nafikiri zama zimebadilika na vitu vingi vimebadilika pia miaka ya 90 tofauti Sana na sasa enzi hizo matishio kama ugaidi hayakuwepo/ hayakusikika kama miaka ya 2000 na kuendelea hata nchi nyingi zimezidi kubadilisha taratibu na sera za mambo ya nje kutokana na mazingira ya sasa. Lakini hiyo haiondoi fursa kwa vijana wengi kujaribu kutafuta maisha nje ya nchi yao hasa mataifa ya magharibi kiukweli balozi zetu zimekaa kisiasa zaidi kuliko uhalisia wenyewe ni ngumu kwa wao kutafuta fursa na kiziweka bayana kwa wenzao walioko nyumbani
FYI hata sisi tupo USA so you're preaching to the choir. Sijasema vijana hawabebi lawama kabisa ila nimesema serikali inabeba lawama zaidi. Ni wazi kupata passport bongo ni kazi wakati nchi zingine passport ni haki yako. Serikali ambayo haitaki hata paypal utaiambia nini kuhusu kuvutia tech companies? Unadhani ni kwanini Microsoft, google, twitter, BBC, Visa, FB hadi NALA kampuni ya mbongo kabisa are headquartered in Kenya badala ya TZ? Hapo napo utalalamikia vijana? Ndo maana nasema 80% ya shortcomings za vijana in the tech world ni sera mbovu za serikali.
Nisome hapa: Diaspora Hawatoi connection?
linked ni bure kulipia ni mahitaji binafsi. Mimi sijawahi kulipia na nime connect na watu zaidi ya 100!Jioulize Je una account ya linked? ume connect na watanzania gani ambao wewe unataka kuwa kama wao? linked ni bure kwanini hauja connect hasa kwa wasomi?
Ukweli tuambizane tu hata hiyo LinkedIn siyo bure kama unavyoisemea. Ni kweli ina proffesional wengi lakini ili uweze kupata connection nzuri ni mpaka ULIPIE na kama unavyojua sisi vijana wa kitanzania kila inapotokea suala la kulipia huduma hasa za kimtandao wengi wetu huamini kama UTAPELI.
Nadhani bado tuna safari ndefu sana.
Halafu kuna hawa watu wa uhamiaji wanakera sana kwenye utoaji wa hati za kusafiria.
Siyo kwamba hatupendi kuchangamkia fursa ila kuna mambo yanafanywa makusudi na mamlaka ili tudhoofike.
Ooh sawa mkuu kwa upande wako.linked ni bure kulipia ni mahitaji binafsi. Mimi sijawahi kulipia na nime connect na watu zaidi ya 100!