Mk54
JF-Expert Member
- Dec 29, 2016
- 1,996
- 3,950
Nasema hivii.. mwendazake keshaondoka.....
Mods unganisha huu izi
Akili zako ni ndogo kujadili haya mambo. Jitafakari
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Nasema hivii.. mwendazake keshaondoka.....
Mods unganisha huu izi
Blah blah kibao.
Lakini sote tunakubaliana mambo matatu. Mzee aliugua sana, taarifa zake zikafichwa na amefariki dunia.
Je, alipata Covid? Hilo atajua mwenyewe, halituhusu kwa sasa.
Je, alihujumiwa? Hilo tumuulize nani ambaye anaweza kuwa ba jibu sahihi?
Kila nafsi itaonja umauti
Bro achana nao hao akili ndogo wala usijichoshe kuwajibu....wa Tz weng ni wapumbavu.watu wa kusikiliza majukwaan na makanisan pekee ndo wanaamin..deep state wataelewaje wapumbavu hao...mi inaniuzi kwel aiseePole kwa kutoelewa mada.
Sasa gari itumike ya jeshi lawama wapewe psu kweli??? Kumbuka taratibu za mazishi liliachiwa jeshi....
Taarifa za hali yake analaumiwa PSU wao ni madaktari??? Unajua alikua exposed kiasi gani wakati wa matibabu yaake mpaka walaumiwe PSU....A