Je, Rais Magufuli alikuwa na Pacemaker au Defibrillator? Ilidukuliwa?
Possible. Upande mwingine, mbona hawakumfanyia hujuma hiyo miaka yake mitano ya kwanza, hasa kwenye ile the most-contested mikataba ya madini!??? Kwa nini wangoje hadi JPM ameweka mambo sawa, almost everything kiko smooth & straight ndipo wamdungue!??? Hivi haikuwa rahisi kwao kumzuia asitimize malengo yake, badala ya kusubiri afanye ndipo wamwondoe!???
Huenda walifikiri, wakifanya yao kabla, wangestukiwa. Hivyo wakasubiri kisingizio (UVIKO) kurahisisha ujifichi wao.
 
[
Duuh basi kuna mambo yanatakiwa yawekwe sawa na kuchunguzwa zaidi
Kama alivyo ongea mdau hivi vitu vinawezekana.Mara nyingi hizi series ukizitizama kuna vitu vingi sana hasa vya kisayansi huwaga wana vizungumzia unaweza usitilie maanani ili kuna situation zikitokea ndipo unapokumbuka iliwahi kutokea ktk series fulani na kunaa article mbalimbali washa zungumzia jinsi ya ku-attack peacemaker.

Mfano nimeangalia series moja ya maswala ya Artificial intelligence inaitwa Person of Interest,vitu wanavyo vizungumzia mule ndivyo wanavyo vipigia kelele maprogrammer ktk documentary ya Social Dilema na tiyari -ve impact ya AI ishaanza kuonekana kwani hizi AI zishaanza kutumika ktk social networks platforms zote.
 
Kwa kifupi MK54 ile dhana ya "mabeberu" wanahusika inatilia mkazo na watu wengi ktk media zillizo huru zinazojaribu kujua kilichosababisha mkuu wa nchi kufariki akiwa madarakani huku akiwa na ulinzi mkubwa pamoja na kuzungukwa na madaktari bingwa.

Tabu ni kuwa hata kama itakuwa kweli mabeberu wamehusika, itakuwa ngumu serikali ya Tanzania kusema hadharani kwani italeta taswira ya udhaifu mkubwa ndani ya vyombo vyake ya ulinzi na usalama.

Ni dhahiri suala hili la mikono ya mabeberu kuhusika, litabaki kuwa siri ya taifa na pia somo kubwa kuwa waimarishe vyombo vyake kupambana na tishio la mabeberu toka nje badala ya kuwekeza nguvu zote za intelejensia, udukuzi, ulinzi na usalama kuwadhibiti waTanzania wenye kupaza sauti za upinzani ktk siasa za Tanzania.

Wakati ukweli ni kuwa wapinzani siyo tishio kwa nchi bali ni sauti za kizalendo hasa zinazoitakia mema zaidi nchi yao ya Tanzania kwa kukosoa sera za kiuchumi, kisiasa na kijamii ila taifa liweze kufikia maendeleo ya juu zaidi ktk maeneo ya siasa, uchumi na jamii kwa ujumla .

Nakubaliana na wewe. Na kitengo maalumu ya kumlinda Rais kinapaswa kuwajibika katika hili .

Hakitowajibika kwa sababu kuwajibika ni kutangaza madhaifu.

Kwa evolution ya technology ya sasa, you cannot invest too much into guns and guns powder ukasahau Technology

Technology is making it easier and easier for fewer and fewer people to do greater and greater damage
 
"Mtu kajifunga hijab ambayo haina hata dressing code, haijulikani ni sehemu gani aliyokaa, haijulikani alikuwa amekaa au kasimama , kisha zinatolewa taarifa za msiba wa kiongozi wa nchi aliye madarakani, like seriously!"

Hii paragraph inafichua mengi kwenye hii makala.
And it was recorded!!!!! Why?????
 
Wachina wangekuwa maadui wa Tanzania , wasingepewa mikataba ya gesi kusini mwaka nchi!!!
Gesi walipewa enzi ya Kikwete na hata ukiangalia miradi mikubwa mara nyingi walikuwa wanapewa wao,ila kwa sasa ni tofauti mf mradi wa treni ya umeme kapewa Mturuki,Mradi wa bwawa la umeme kapewa Mmisri (Kumbuka hii miradi mikubwa kuna matilioni ya shilingi) na mradi wa Bandari ya Bagamoyo JPM aliufuta kabisa ambao ulitakiwa ufanywe na wachina na wachina wawe wamiliki 100% kwa miaka zaidi ya 99 baada ya hapo ndipo tupewe na michakato iliashaanza kipindi kile Kikwete anamalizia mda wake.
 
I fully agree. JPM's last statements show tayari naye alikuwa ameshapata wasiwasi kuhusu ugonjwa huo kuvamia himaya ya watu wake wa karibu. Halafu, muda mfupi tu kabla ya hapo, Dkt Mpango alikuwa ndipo anaugulia vya mwisho -- and kwake it is fully established to be corona.

No No No you guys are mistaken the truth.

I am not denying the COVID, but seems you are lacking the science of COVID.

Kwa mfano rahisi kabisa, Science ya COVID yafaa kumtizama mipango alivyo struggle pre infection and post infection.
 
Huenda walifikiri, wakifanya yao kabla, wangestukiwa. Hivyo wakasubiri kisingizio (UVIKO) kurahisisha ujifichi wao.
Mtu anayeweza kutengeneza na kuanzisha silaha hatari kabisa kama corona, sidhani kama anaogopa hata chembe ^kushtukiwa^ Imagine Bill Gates was discussing publicly on live television the future crisis kuhusu ujio wa corona kabla hata haijatokea (2016)!!!
 
Conspiracy zimeanxa tayari
Ni kweli kabisa mkuu. Njama zimeshaanza na kuna watu wanafanyiwa tyming waweze kupotezwa kwenye Ulimwengu wa siasa. Ni suala la muda tu walengwa watajulikana.
 
Possible. Upande mwingine, mbona hawakumfanyia hujuma hiyo miaka yake mitano ya kwanza, hasa kwenye ile the most-contested mikataba ya madini!??? Kwa nini wangoje hadi JPM ameweka mambo sawa, almost everything kiko smooth & straight ndipo wamdungue!??? Hivi haikuwa rahisi kwao kumzuia asitimize malengo yake, badala ya kusubiri afanye ndipo wamwondoe!???

hili suali lako ni sawa na kuuliza mbona wewe hukuzaliwa kabla ya kaka yako , au mbona umezaliwa baada ya Mdogo
Wako

Mkuu everything needs. Perfect time
 
No No No you guys are mistaken the truth.

I am not denying the COVID, but seems you are lacking the science of COVID.

Kwa mfano rahisi kabisa, Science ya COVID yafaa kumtizama mipango alivyo struggle pre infection and post infection.
Je mkuu alivyougua nani ajuaye!???
 
And it was recorded!!!!! Why?????
Raisi ni Samia regadless of what happen to Jpm. Kama kuna uchunguzi amiri jeshi ndo atatoa amri ya uchunguzi.

Swali ni kutokana na namna alivyomuadress raisi, mleta mada anatambua na kuheshimu nafasi ya Samia kama amiri jeshi mkuu?
 
Back
Top Bottom