Je, Rais Magufuli alikuwa na Pacemaker au Defibrillator? Ilidukuliwa?
Mungu ni mwema.Hakika kama kuna mkono wa yeyote latika kifo cha kipenzi na mtetezi wetu sisi wanyonge,basi Mungu atamlipia.Amen
 
Wasalaamu!
Kiukweli kifo cha JPM kimeniumiza sana kisaikolojia.
bado naendelea kutafuta ukweli juu ya kifo chake ndani na nje ya JF.
Kifo chake kinaweza kuwa sio cha kawaida!
So much informed but so much careful to conclude!

RiP Magufuli.

KWA HISANI YA MTU WA TANZANIA!
POtelea mbali , Ben Saanane, Azory Gwanda , wako wapi? Coco beach sandarusi za maitit, MKIRU, etc etc yalifanywa na nani? Ni yeye Jiwe kwa amri yake. nani alimpiga Lisu risasi,ni yeye kwa amri yake. Ngoja naye ayaonje mauti mapema awakute huko aliowadhulumu uhai!
 
Wasalaamu!
Kiukweli kifo cha JPM kimeniumiza sana kisaikolojia.
bado naendelea kutafuta ukweli juu ya kifo chake ndani na nje ya JF.
Kifo chake kinaweza kuwa sio cha kawaida!
So much informed but so much careful to conclude!

RiP Magufuli.

KWA HISANI YA MTU WA TANZANIA!

Hahahahahaha angalau Leo umetamka wazi hahahahha

Mfuate mkuu.
 
Yule huwa ni mshindi mara zote. Yule bwege bin mshamba wenu alimuweka ndani kwa miezi mitatu akafa mwezi wa tatu.

Huyu bibi akimuweka ndani meezi mmoja atakufa January.
Bonge la biti yaani.....[emoji23][emoji23][emoji23].

Ila siasa za bongo kwa wapinzani zinataka uvumilivu sana. Nimeshawahi kushiriki siasa za ccm hivyo nawajua nje ndani. Wapinzani wanachukuliwa kama maadui wakati lengo la upinzani lilikua ni kupambana kwa hoja na wala sio uadui.

Kinachosababisha yote hayo ni kulinda maslahi ya watawala
 
Wasalaamu!
Kiukweli kifo cha JPM kimeniumiza sana kisaikolojia.
bado naendelea kutafuta ukweli juu ya kifo chake ndani na nje ya JF.
Kifo chake kinaweza kuwa sio cha kawaida!
So much informed but so much careful to conclude!

RiP Magufuli.

KWA HISANI YA MTU WA TANZANIA!
Unashangaa nini sasa

Wakati watu wanamfananisha yeye na Mungu na wengine wanasema Mungu anapaswa kumshukuru yeye kwa kazi anayofanya,

Halafu yeye aliyasikia yote hayo ka kaa kimya tu. Ulitegemea nini sasa.
 
JPM ni rahisi bora Afrika na hakuna atakayetokea wa kumzidi, Rais bora miaka yote, Yehova akinijalia maisha mema na marefu sita acha kuwa adithia wanangu mema ya JPM
Sahihi mkuu usemalo
 
Back
Top Bottom