Aventus
JF-Expert Member
- Mar 8, 2013
- 2,011
- 2,168
Anna kafa lini? Sina taarifaMbowe uyo kamuua na Anna mgwila
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Anna kafa lini? Sina taarifaMbowe uyo kamuua na Anna mgwila
I am glued here. Usisahau kunitag nami nataka kujua kama kuna kilichojiri tofauti na natural death.stay on JF we will let you undetstand the bigger picture
umeanza kuogopa?I am glued here. Usisahau kunitag nami nataka kujua kama kuna kilichojiri tofauti na natural death.
Nothing to fear tupo na chuma samia.umeanza kuogopa?
JPM ni rahisi bora Afrika na hakuna atakayetokea wa kumzidi, Rais bora miaka yote, Yehova akinijalia maisha mema na marefu sita acha kuwa adithia wanangu mema ya JPMI miss him so so much[emoji174]
Mungu atatulipia
Vipi wewe mzee hata ukitenda mema unadhan utaishi milele?Huyu dikteta bora alikufa. Na kama inawezekana huko aliko afe tena.
😁 Kama ulishindwa kuandika kwa tafsida nirushie dm niuhariri na kuupandisha kwa lugha ya kitemi!.Leo nimeandika uzi kuomba usalama ili niandike niyajuayo...uzi umefutwa ila mimi najua...
Umefutwa kwakua hukusema huo ukweli wenyewe. Ulichofanya wewe ni kujenga taharuki kwa sisi wana jf bila kusema unachotaka kusemaLeo nimeandika uzi kuomba usalama ili niandike niyajuayo...uzi umefutwa ila mimi najua...
Kwani Samia hakuwepo siku zote?kwani Samia hakuwa kwenye target??stop bullshittingNothing to fear tupo na chuma samia.
POtelea mbali , Ben Saanane, Azory Gwanda , wako wapi? Coco beach sandarusi za maitit, MKIRU, etc etc yalifanywa na nani? Ni yeye Jiwe kwa amri yake. nani alimpiga Lisu risasi,ni yeye kwa amri yake. Ngoja naye ayaonje mauti mapema awakute huko aliowadhulumu uhai!Wasalaamu!
Kiukweli kifo cha JPM kimeniumiza sana kisaikolojia.
bado naendelea kutafuta ukweli juu ya kifo chake ndani na nje ya JF.
Kifo chake kinaweza kuwa sio cha kawaida!
So much informed but so much careful to conclude!
RiP Magufuli.
KWA HISANI YA MTU WA TANZANIA!
Wasalaamu!
Kiukweli kifo cha JPM kimeniumiza sana kisaikolojia.
bado naendelea kutafuta ukweli juu ya kifo chake ndani na nje ya JF.
Kifo chake kinaweza kuwa sio cha kawaida!
So much informed but so much careful to conclude!
RiP Magufuli.
KWA HISANI YA MTU WA TANZANIA!
Bonge la biti yaani.....[emoji23][emoji23][emoji23].Yule huwa ni mshindi mara zote. Yule bwege bin mshamba wenu alimuweka ndani kwa miezi mitatu akafa mwezi wa tatu.
Huyu bibi akimuweka ndani meezi mmoja atakufa January.
Nani alimtageti funguka acha kulialiaKwani Samia hakuwepo siku zote?kwani Samia hakuwa kwenye target??stop bullshitting
Je alio waua?so sad my friend
Ujue nilivyoumia mkuu.but life goes on and kisasi hakiishi...Hahahahahaha angalau Leo umetamka wazi hahahahha
Mfuate mkuu.
Sawa,Hahaha! Kama rais wa nchi aliuawa na Mbowe basi kweli huyo rais alikuwa mshamba!!
Unashangaa nini sasaWasalaamu!
Kiukweli kifo cha JPM kimeniumiza sana kisaikolojia.
bado naendelea kutafuta ukweli juu ya kifo chake ndani na nje ya JF.
Kifo chake kinaweza kuwa sio cha kawaida!
So much informed but so much careful to conclude!
RiP Magufuli.
KWA HISANI YA MTU WA TANZANIA!
Sahihi mkuu usemaloJPM ni rahisi bora Afrika na hakuna atakayetokea wa kumzidi, Rais bora miaka yote, Yehova akinijalia maisha mema na marefu sita acha kuwa adithia wanangu mema ya JPM