Prakatatumba abaabaabaa
JF-Expert Member
- Aug 2, 2022
- 1,842
- 6,087
- Thread starter
-
- #81
Huo ndio ukweliWaalimu mnazingua sana, na mkiambiwa ukweli mnalia lia tu. Hilo nililolisema hapo juu limetokea sehemu nyingi za hii nchi na wakuu wa wilaya na ma ded wamewahasa sana wqlimu muache kukopa kopa hovyo.
Fani nyingine hazina mambo kama yenu waalimu, kulia lia hovyo kwa DED na wakuu wa idara. Waalimu ndio kada inayoongoza kwa kwenda halmashauri kujipendekeza na kulia lia, huwezi kwauta manesi au kadi zingine wakifanya huu ujinga. It's always waalimu.
Badilikeni mtaheshimika.
Wewe kama una ndugu au jirani mwalimu ni mzinguaji usiongee kwa ujumla. Mara ngapi mahospitalini unakuta wahudumu wamevaa nguo zimechanika au ukienda kukagua sare za baadhi ya askari?? Usiwe mjinga kwa kuwasemea walimu wote. Kama shuleni kwenu walimu Wana maisha ya hovyo ni nyie mjisemeeUalimu tatizo sana, Mimi ni mwalimu na matatizo ya ualimu Yana root causes 1.walimu wanatokea familia maskini ( unaelewa athari za kuzaliwa familia maskini) 2. Walimu Wana akili ndogo ya kuchanganua mambo hasa ya uchumi( ukikosa akili ya pesa unaijua hatari yake ndio maana wanarundikana kukopa na kujenga nyumba) 3.mshahara duni 4. Walimu hawajiamin 5. Nature ya kazi haimpi exposure na pesa ( mwalimu akisafiri kikazi ni either kusimamia mtihani au marking 6. Uwezo mdogo wa akili kiujumla
Unatafta solution wewe kama nani? Kama kweli wewe maisha Yako yamenyooka post salary slip ya December tuone basic salary VS take home ndo upate uhalali wa kuwasengenya watumishi wengineAcha matusi wapo walimu tunaishi nao, Kuna walimu wamekopa mpaka card wameiacha maboto, hapa tunatafuta soln hatutafuti mchawi
Haujaniita tutafune mshahara wa DecemberJamani Atoto ππ, punguza ukali wa maneno basi
Mkuu kwa sababu gani labda heri mwalimu?Vitoto vyangu 2 sijawahi kusikia wameropoka kuwa wanataka kuwa walimu.
Yaani bora kazi yangu ya kushika bunduki huyu wa miaka 7 anaipemda sana.
Najitahidi kumkemea ila kakomaa hayumbishwi.
Nadhani ni utoto.
Ila ni heri MWALIMU kuliko askari.
Hili ndo tatizo kuuMkuu Prakatatumba abaabaabaa, mishahara midogo ndio sababu ya hiyo kada kuchukuliwa poa.
KaziKweliKweli/JobTrueTrue
kuna walimu wako mtaani wana vyeti wanatamani hata wapate mahali wafundishe part time lakini wamekosa...Jivunie ulichonachoπͺπͺUzuri ni kwamba hata wawaponde walimu kiasi gani, kila mwaka vyuo vya ualimu vinasajiri wanafunzi wengi sana kuanzia certificates hadi degree,.. Penda na heshimu kazi yako mkuu asitokee mtu wa kukukatisha tamaa, kuna walimu wako mtaani wana vyeti wanatamani hata wapate mahali wafundishe part time lakini wamekosa...Jivunie ulichonachoπͺπͺ
Mtoto wa tajiri gani kasomea ualimu?Uzuri ni kwamba hata wawaponde walimu kiasi gani, kila mwaka vyuo vya ualimu vinasajiri wanafunzi wengi sana kuanzia certificates hadi degree,.. Penda na heshimu kazi yako mkuu asitokee mtu wa kukukatisha tamaa, kuna walimu wako mtaani wana vyeti wanatamani hata wapate mahali wafundishe part time lakini wamekosa...Jivunie ulichonachoπͺπͺ
Sahih bora kua mwalimu kuliko askari, Askari wenyew mna majibu sahih ila uku mtaani watu wanawashobokea sana.Vitoto vyangu 2 sijawahi kusikia wameropoka kuwa wanataka kuwa walimu.
Yaani bora kazi yangu ya kushika bunduki huyu wa miaka 7 anaipemda sana.
Najitahidi kumkemea ila kakomaa hayumbishwi.
Nadhani ni utoto.
Ila ni heri MWALIMU kuliko askari.
Shida ya uaskari sio mshahara ila kazi zao ni za hovyo hovyo sana. Na katika harakati za kutimiza majukum hasa hawa magereza na polisi daah ila kikubwa vibunda asee.Mkuu kwa sababu gani labda heri mwalimu?
Me naona ni heri askari na sio mwalimu for sure.
πππAcha matusi wapo walimu tunaishi nao, Kuna walimu wamekopa mpaka card wameiacha maboto, hapa tunatafuta soln hatutafuti mchawi
[emoji23][emoji23][emoji23]Huu uzi tuombe sana usionwe na Mpwayungu Village
Nimefika kaka [emoji23][emoji23][emoji23]Akifika mpwayungu village hapa kazi mnayo wakuu aiseeβ¦
Mkuu wahurumie hata wamalize huu mwaka kwanzaπ[emoji23][emoji23][emoji23]
Aaah kudadeki πππππππππππππππππ nimecheka, haya deal na maticha ahahahahaNimefika kaka [emoji23][emoji23][emoji23]