Je, ulifika Third floor(30s) bila kuwa na familia? Hali ilikuwaje?

Je, ulifika Third floor(30s) bila kuwa na familia? Hali ilikuwaje?

Niliulizwa hivi, ukinioa utakua unanisaidia baadhi ya kazi kama tukitoka kazini, nikamuuliza kama kazi zipi akasema kupika, nikamwambia hizo kwetu nikazi za kike Mimi siwezi kuingia jikoni eti nikupikie ww unaangalia tv eti kisa nakusaidia. Haka katoto kakaniambia hivi eti basi wewe sio type ya mwanamme naemtaka. Nikamwambia ok sawa hii furusa nayokupa kunawanawake kibao wanaitaka, sasa tulia katafute hao unaowataka ambao utaona mta match, baada ya masaa mawili kakanitumia msg sorry baby kama nimekuudhi nisamehe.

Nikamwambia yashaisha hayo we katafute perfect match, kakaomba msamaha yakawa yameisha. Nilichomuuambia baadae nikua ukizaa mtoto wakiume, akaoa ukaenda kumtembelea kwake ukakuta anamsaidia mkewe kumpikia halafu mke wake anaangalia TV utajisikiaje?. Then nikamwambia utakavyojisikia ndivyo mama yangu atajisikia , so kwetu sijaelewa hivyo majukumu ya mwanaume yanafahamika na yamwanamke yanafahamika, Kila mmoja atimize wajibu wake. Otherwise usidhani ntakuja kukusaidia kufanya kazi za kike. Kakawa kapolee, Sasa ndio hapo umesema wengi wanatafuta perfect match.

Hivi mm na umri wangu wa miaka 32 nisaidie Binti wa miaka 23 kupika, kuosha vyombo huku anaangalia TV?. Kama anaumwa ile siriously I can try.
ungekatia na makofi kabisa.

Hawa wa ivi, tamthilia, movies na series zilishawaharibuuu bongo zao kitambo sana. Hulazimisha kuishi na wenza wao kwa DRAMA DRAMA na maigizo.
 
Haha. Sio kwamba alisema akiwa katika love language? Kwamba babe we unakata vitunguu, mm nablend juice? Ila hayo yafanyike familia ikiwa bado na watu wawili yaan mke na mume.

Mkiongezeka hapo baba ana majukumu yake nje kutengeneza garden.
Hamna love language hapo 😂🤣, Afu SI mpaka muwe na blenda 🙄🤔
 
Tuchukulie mwanao wa kike kaja kukulilia mapajani kwako je, utampa huo ushauri ?.

Utanisamehe mkuu, lakini siwezi kumshauri mtoto wa kike aliye brilliant, mwenye exposure au kazi nzuri, ajishushe chini sana kwenye ile level ya kuonekana "si chochote ama si lolote" Ili tu asionekne threat kwenye ego ya mwanaume fulani

Kiufupi, siwezi kumfundisha mtoto wa kike kujivua ubora wake ili tu apate wanaume waliopo insecured juu ya uanaume wao. Maana mwisho wa siku watakuwa na conflicts zisizoisha na kumpelekea kujutia uamuzi wake

Ni kheri nimshauri aenze kwenda kwenye spheres and tables ambazo atakutana na Alpha males ambao hawatomuona kama threat kwa lolote.. Na kwanza watamkubali kwa qualities zake

Kwa ushauri wako ni sawa na kumuambia awe malaya au ajirahisishe kwa kujionesha cheap ili apate mimba for what. Si kheri azae na watu wa calibre yake ambao wanaweza mpa uhakika wa makuzi ya mtoto, maana kwa options ulizompa usingo mama hauepukiki, sasa si kheri azae na mtu hata mwenye ndoa lakini wanaendana "based na ushauri wako"

Kiukweli, siwezi kumshauri mwanamke yoyote brilliant kujishusha au kuficha ubora wake ili akubalike ila kama ana kiburi na dharau, ambavyo ni vitu common kwa baadhi ya independent ladies, naweza mshauri aache.

Mengine ni neema za Mungu tu maana jitihada haizidi kudra kwa hiyo,mengine ni kukubali tu kuliko kujiripua na ukahangaika maisha yote maana uamuzi wake wa sasa utaamua hadi hatma ya kiumbe atakachokibeba hivyo, lazma afikirie hilo pia
Shida ni moja, psychology ya mwanaume haijaumbwa kudeal na mwanamke ambaye ana compete nae.

So ukisema hata Alpha males kuwa wapo interested na wanawake ambao wanalevel ya juu ya elimu, wapo high thinkers etc hivyo vitu huwa havivutii mwanaume yoyote ambaye ni mwenye uwezo wa kuongoza.

Labda hawa Beta males yaani wanaume wa kuburutwa.
 
Habari ya weekend great thinkers?

Maisha yananipa experience tofauti, Sikuwahi kufikiria kama ningefika third floor bila kuwa na familia wala watoto, kuna muda nahisi kupanic nahofia watoto wasije kuniita bibi badala ya mama, au kukosa kabisa sababu ya umri mkubwa🤔

Enzi hizo nilikua nashangaa mtu hasa mdada unafikaje hadi 30s huna familia, aisee kumbe ni kweli now ni mimi mwenyewe.

Mlioanza familia mkiwa 30s je ni kweli au mnaona dalili za watoto wenu kuwaita bibi au babu? Vipi changamoto za uzazi sababu ya umri mkubwa?😔

Nipo tayari kwa comments zote.

Happy valentine's day in advance 👏🥰
tatizo munatubagua na kutuchambua. nikija mimi mbeba tofari utasema nanuka cement na sina fyucha.
 
Habari ya weekend great thinkers?

Maisha yananipa experience tofauti, Sikuwahi kufikiria kama ningefika third floor bila kuwa na familia wala watoto, kuna muda nahisi kupanic nahofia watoto wasije kuniita bibi badala ya mama, au kukosa kabisa sababu ya umri mkubwa🤔

Enzi hizo nilikua nashangaa mtu hasa mdada unafikaje hadi 30s huna familia, aisee kumbe ni kweli now ni mimi mwenyewe.

Mlioanza familia mkiwa 30s je ni kweli au mnaona dalili za watoto wenu kuwaita bibi au babu? Vipi changamoto za uzazi sababu ya umri mkubwa?😔

Nipo tayari kwa comments zote.

Happy valentine's day in advance 👏🥰
Uzao wako wa kwanza utakuwa mapacha. Baraka zipo njiani zinakuja.
 
Freeze your eggs. Hata ukizeeka mayai yako yanakua mabichi bado
Hebu msije kututengezea watoto wa kisanyansi utadhani mlitumwa kurukaruka ujanani.

Kitu chochote ambacho kinakwenda kwa process kinyume na maagizo ya MUNGU huwa kina uharamu ndani yake.

Wanawake mnapenda sana kumjaribu MUNGU na nyie ndio chanzo cha majanga mengi hapa ulimwenguni sababu ya akili zenu zilizojawa tamaa, husuda, fitina, uhuni, uchoyo, ubinafsi, na ukaidi.

Sasa wewe kama kupata mtoto kuna umuhimu sana why uchezee muda muafaka halafu uanze kuleta sayansi zako muda ukishakwenda. Hizo kemikali za kuhifadhia mayai unajua zina madhara yapi kwenye mayai?

Na ukishahofadhi umri unavyozidi kwenda nani atakubebea mimba maana hata huo mji wako wa uzazi unaenda ukichoka hautataka purukushani za kushikishwa mimba utu uzimani.

Kwann mnakuwa na mambo ya ajabu sana enyi wanawake? [emoji848]

Kuzalia manyumbani kwenu utadhani wanaume waliwaktaa kuanzisha familia.

Kulala na wanaume hovyo sababu ya tamaa ya fedha. Kupenda kukinzana na uhalisia wa maisha kuwa mwanaume ni wakuwa juu yako na sio wewe juu ya mwanaume.

Hizi mambo ndio zinakuja kuleta maasi hapa ulimwenguni na kuwahukumu.
 
Mwaka huu october nitagusa 29 na mwakani October nitagusa 30 na sina hata kimoja sio mke wala mtoto. Mpenzi wa kueleweka nilikaa nae 10 years alinipiga chin tangu hapo sijarudi kwenye ile hali ya kawaida. Jambo ambalo silitaki kuzaa hovyo na mtu nisiyetaka awe mke.

Anyway huo mwaka wa mwisho wa kujiangalia

Miaka 10 mlikuwa na mpango wa kupindua nchi mkuu?
 
Umri mzuri wa binti kupata uzazi ni kati ya 19-25 years hapo hakunaga compe kabisa. Hii miaka ya 30s ndio inakuja na risk nyingi maana mwili ushakakamaa. Lazma utakutana na mambo ya mgongo kuuma na majanga mengine postnatal.
Feminists walaaniwe sana aisee. Wamewadanganya mabinti wengi sana kuwa wakimbize ndoto zao, sasa ndoto zenyewe ni za abunuwasi na hazipo kwenye uhalisia.

Leo mabinti wengi wamezalia majumbani kwa wazazi wao, wamezaa na wanaume tofauti, wanakazi na akiba ya kifedha au mali ila hawana sifa za kuwa mke wanaishia kujikumbatisha kwa vijana wadogo na wanaume za watu.

Haya ndio matokeo ya mafunzo ya wanaharakati a.k.a feminist.
 
Haha. Sio kwamba alisema akiwa katika love language? Kwamba babe we unakata vitunguu, mm nablend juice? Ila hayo yafanyike familia ikiwa bado na watu wawili yaan mke na mume.

Mkiongezeka hapo baba ana majukumu yake nje kutengeneza garden.
Mkuu ubaya nyie wanawake mpo kama maboss wakihindi, huwa mnajaribu kuingiza kidole kidogo kidogo ili muone reaction, mkiona mtu katulia mnataka muingize chote, kwahio haitakiwi mpewe nafasi hio hata yakuwaza kujaribu. Mimi napenda nifanye kitu bila kuombwa, yaani nijisikie, lakini ukianza niambia nahisi Iko siku utavuka mipaka. Kwahio siruhusu hicho kitu.
 
Back
Top Bottom