Je, umewahi kuusikia Utamaduni wa wanaume wa Kigoma kujipiga bomba ili kuongeza nguvu za kiume?

una utoto mwingi hujiamini kwanini, maandiko yako kama mi hayanivutii kuna yanaowavutia kufuta ndo unadhihirisha kuwa hujiamini na hujapevuka kichwani mwako,, unaweza kuwa na akili ila kuchanganua mambo ukawa zero
Mimi sio mtakatifu and sifaham inakuaje mnanichukulia hivyo na wala sina akili kabisa kama unavyosema. Huku duniani nina mambo yangu ya ajabu. I'm just a random guy!
 
Kwanini wasiboreshe hii sayansi dawa ikawa kwenye mfumo wa risasi yenye ganda ambalo likipata joto linayeyuka lenyewe, then sasa watu wagonjwa wakawa wanawekewa fresh wasubiri matokeo baada ya muda.

Hii nimeona kwa baadhi ya sawa za watoto na maradhi ya kwenye utumbo pia zipo dawa za hivyo. Hii wangeifanyia maarifa
 
Aisee. Wapimwe marinda
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…