Detective J
JF-Expert Member
- Oct 17, 2016
- 24,058
- 41,518
Correction, ayatollah sio tishio kwa mataifa yoyote. Angekua threat wange deal nae one way or another. Even kwenye risk assesment kuna threat analysis, levels . Je ayatolla anapose hiyo risk ?Anayetoa command ya mashambulizi ni kiongozi mkuu wa Iran Ayatollah kwahiyo kama Israel ana uwezo huo wa kuuwa kiongozi wa juu wa Iran basi angemmaliza Ayatollah ambaye ndiye tishio la mataifa yote ya kishoga.
Kama una support ugaidi utapigwa tu Hamna namna.Walokole wanashida sana wapuuzie tu
Ooh kumbe basi sawa.Kobaz effect.
Rais kapanda helicopta. Helcopta imeanguka. Helcopta ilioambatana nae imefika salama. Hali mbaya ya hewa wanausalama hawakuona hali ya hewa ni mbaya. ? Ok ilikua alipotoka nje ya taifa lake
Kama makamnda wakuu wanauwezo wa kuuawa ndani ya tehran kwa nn asiwezwe raisi.
Kisasi cha israel hiko amna haja ya kuficha.
Isreal ambayo ni agano la Mungu sio hii ya Benjamini Netanyahu(Hawa ni wahuni tu wanaotumia neno Israel kufanya uswahili wao)Iko hivi Israil bila kujali dhambi za Raia wake ,Iko Hadi ya Mungu kwa Abraham aka Ibrahim ya kwamba ni Taifa teule na Israil ndipo Mungu huonyesha Dunia uweza wake kupitia hao ,kifupi Israil ni exhibition room ya Mungu
Man sikua eneo la tukio sasa unataka nifanye nini hapa nieleze hisia zangu kama wengine au vipi.Helicopter zingine mbili kwenye msafara huo hazikuona ukungu sikipokuwa iliyombeba yeye?
Wewe ndio mjinga kwa nini? Usiwaze kwamba kwa nini? Wasingepita sehemu nyingine isiyokuwa na ukungu, kulikuwa na haja gani ya kukatisha sehemu yenye hali ya hewa ya hatariKwamba Israel ndiye kaweka ukungu eneo la tukio.Wabongo mnakuwa wepesi sana kuja na assumptions ambazo hazipo na kutoa hitimisho ambalo halina mtiririko mzuri kwenye reasoning
Eneo la tukio linaonyesha kabisa ni question of weather(Ukungu umetanda sehemu kubwa) and now unakimbilia kusema Israel.Kuwa na subira kidogo ukweli utajulikana
Nje ya nchi ya wapi ilhali ni nchini mwaoItakuwa ni ajali ya kawaida , japokuwa kuna maswali ilikuwaje wakaande helicopter kwenda nje ya nchi? Watu wa hali ya hewa hawakuwepo ili kuzuia wasisafiri kwenye ukungu?
Unaona ambavyo akili yako inashida.Yani mimi napanga safari za rais wa Iran sio na wapi apite sio?Wewe ndio mjinga kwa nini? Usiwaze kwamba kwa nini? Wasingepita sehemu nyingine isiyokuwa na ukungu, kulikuwa na haja gani ya kukatisha sehemu yenye hali ya hewa ya hatari
mr. challenger at work. Hawapendi ukweli lakini ukweli ndio ukweli.Tayari nimeshakuwin kisaikolojia
Naunga mkono hoja Yako?HELIKOPTA zilikuwa 3 siyo? Kwa hiyo moja tu ilombeba rais ndiyo ilopata shida ya ukungu?
Safari ya rais sio kama safari za baba yako akiwa anaendesha baiskeli kwamba akijisikia anashuka kwenye mpando.Some formality has to be in place.Acha utoto siku nyingineWewe ndio mjinga kwa nini? Usiwaze kwamba kwa nini? Wasingepita sehemu nyingine isiyokuwa na ukungu, kulikuwa na haja gani ya kukatisha sehemu yenye hali ya hewa ya hatari
Sababu za kiusalama tu, ila ajali imetokea ghaflaItakuwa ni ajali ya kawaida , japokuwa kuna maswali ilikuwaje wakaande helicopter kwenda nje ya nchi? Watu wa hali ya hewa hawakuwepo ili kuzuia wasisafiri kwenye ukungu?
Wameshindwa kumlinda rais Raisi?Hata kukopi utaalamu wa maadui katika ulinzi wameonesha ni ziro bin sifuri.Yoooh...bhooojoo kaziroo!Sababu za kiusalama tu, ila ajali imetokea ghafla
Hii scenario ni kama ile ajali ya Sokoine magari yapo kwenye msafara halafu gari lake tu ndio likapata ajali na kumuua...Kuna Matukio Unapigwa Alfu unajiuliza Sanaa Imekuwaje Hali hii Hapo Kwenye maswali MOSSAD NDO WANAPOPATAKA Ili Msipate Jibu Haraka Haraka Inakuwaje Hericopta ziwe 3 Alafu Hitilafu ipate Moja iliyombeba Rais ??????????????????????? ndio Maana ya Intelejensia ya Hali ya Juuuuuuuuu
Walokole kama wewe mna matope vichwani mwenu.MKIAMBIWA MUNGU WA ISRAEL NI MUNGU WA KWELI NA MUWEZA WA YOTE MNAKUWA WABISHI SASA KAAMUA MWENYEWE KUFANYA HALI YA HEWA IWE MBAYA HUYO RAIS AFE KWA KULIPIZA KISASI KWASABABU ALIAMURU MAKOMBORA NA DRONES KUINGIA ANGA TAKATIFU NA TEULE LA ISRAEL.
Covax