MFALME WETU
JF-Expert Member
- Feb 1, 2021
- 4,071
- 10,028
Any reliable Source of information?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Waziri Mkuu wa Israel ametumia Trick ya movie ya The God FAther😁😁 Michael alikuwa Kwenye Ibada ya Ubatizo ,huku kikosi chake cha mauaji kinamaliza Madoni wote kwenye 5 strong Mafia Families of Newyork.. Nasra alijua kuna Mapumziko ya mvua ya Makombola ya Israel kwa sababu Netanyau yupo UN anatoa speach , akaitisha kikao cha kupanga mikakati akijua yupo salama kumbe was their Last supper Kaboom🤣Makao makuu ya Hezbollah mjini Beirut yamechakazwa vibaya kwa ndege za kivita za Israel na kuharibu eneo lote kabisa, shambulio Hilo lilimlenga kiongozi wa Hezbollah Hassan nasrallah ambaye haijulikani alipo mpaka sasa
Hamas huko aliko anachekelea shoo anayokutana nayo mwenzake.
Hezbollah alikuja kwa mikwara "Oi mzee Baba Hamas niachie nikupokeze mchumba tu huyo, vitu vyangu hivi". Hamas akauliza "Kweli unataka?", Hezbollah "Unauweka unauweka..." kinachoendelea ni kinyume kabisa ya walichotegemea
View attachment 3108670
Netanyahu mwenyewe is the Don Mafia himself😅Waziri Mkuu wa Israel ametumia Trick ya movie ya The God FAther😁😁 Michael alikuwa Kwenye Ibada ya Ubatizo ,huku kikosi chake cha mauaji kinamaliza Madoni wote kwenye 5 strong Mafia Families of Newyork.. Nasra alijua kuna Mapumziko ya mvua ya Makombola ya Israel kwa sababu Netanyau yupo UN anatoa speach , akaitisha kikao cha kupanga mikakati akijua yupo salama kumbe was their Last supper Kaboom🤣
Acha uvivu GoogleAny reliable Source of information?
Huamini kama muhamadan aka Islamia ameliwa kichwaHii habari sio ndimu kweli?
naleta threads za kuionya Israel eti itakutana na jeshi machachari la Hezbollah humu ndani? MNapendaga sana ushabiki wa kindezi. Nawazumugi mnapoishangilia Urusi kwa sababu za kijinga tuu. Onjeeni hicho kikombe. Huyo Irani mwenyewe ni mbwa koko tuu anayebweka hovyo.Hivi hawa jamaa hawana jeshi au? Hivi hawana hata ndege au hata kifaru?Nchi gani inaonewa na Israel sana
Jeshi lao sijui lipo na linafanya nini
Ni nchi ambayo wakristo ndo wengi hata sheria za lebanon zinasema rais lazima awe mkristo na waziri mkuu awe muislam!
Maana Israel anaingia na kupiga atakavyo hawa watu sijui ninini shida
Israel Hana ubavu wa kuipiga Iran atazionea tu vinchi vidogo vidogo Tena kwa msaada wa marekaniIran ndio mpuuzi na soon watamgeukia apate nayeye haki yake.
Hezbollah ina nguvu kuliko Jeshi la Lebanon for your information.Jeshi lipo lakini halijihusishi na vita. Israel anapigana na kikundi kidogo tu kama vile alshabab ya Somalia au bokoharam ya Nigeria.
Wafarisayo wa yombo sasa..... Israel taifa kubwa..... IDF inawashambulia vibaya.....
Kiuhalisia Israel na nyenzo na vyombo vyake vyote ni failure. Huwezi kuhangaika na wanamgambo tu miaka kibao huku ukiua wanawake na watoto wasio na hatia.
Mlisema hana ubavu wa kuipiga Hezbollah kaisambaratisha in 10 daysIsrael Hana ubavu wa kuipiga Iran atazionea tu vinchi vidogo vidogo Tena kwa msaada wa marekani