Sasa why usiende VETA kuliko kwenda kulima huko huku ukipigwa.Watu wanalima mboga mboga. for 2 years. Wengine ni mafundi ujenzi.. magari.. unatoka na skills. Lakin ukizingatia
Ila kama unayaka hela ya chap chap. Usiende
Nadhani ndugu yetu alidhani hata wale ambao walianza mafunzo hayo ya kujitolea miaka kadhaa iliyopita na bado wako kambini, ndio hao wanaotakiwa kurudi mtaani.Acha kupotosha Mkuuu.
Utakabwa na Nani wakati hawa watoto hata Mafunzo hawajaanza kupatiwa kumbuka waliripoti Makambini tarehe 8/01/2021 na kwa sasa wana takribani siku 10 huko Kambini na hata wengine walikuwa bado hawajaripoti kama taarifa inavyosema kwamba ambao hawajaripoti Wasiende kuripoti.
Lkn kwa masikitiko makubwaa, Expert member wa JF anaaanza kuzusha taharuki kwamba tujiandae kukabwa! Tuache kukurupuka na kuwapa Raia taharuki ambazo hazipo maaana kwanza hao Vijana bado hawana mafunzo yoyote ya Kijeshi, pili tumeishi nao mtaani kwa wema kwa Vipindi vyote hadi majuzi baada ya sherehe za Mwaka mpya walipoondoka.
Kwa dhana yako na mawazo yako unaweza kusababisha Vijana hao kutoaminika Mtaani au hata kushambuliwa kwa vitu very minor. Change ur mind broo tunakuheshimu hapa JF.
Yawezekana kati ya Watanzania wote Milioni 55+ ni Wewe tu Bumunda pekee ambaye umeshindwa Kuielewa vyema kabisa hii Taarifa kutoka JKT.Wakuu naona hamjaelewa habari
Kuna kundi la vijana lilitakiwa kuripoti katika makambi mpaka tar 15 January kama OP mpya kupata mafunzo ya kiseshi hilo bogi ndo limepigwa azwea warejee makwao na walokua hawajaripoti wasiendee
Wale askari waliofuzu mafunzo hayo yani OP Makao makuu bado wataendelea kuhudumu katika taifa katika makambi yao husika
Umeuliza Swali la Kipuuzi kweli kweli Ndugu. Mbona huku Mashuleni tunakosoma pia hufundishwa Nidhamu lakini Watukutu hutokea huko huko?Nashangaa sana kwanini Mtu anatoka jeshini halafu anakuja kuwa jambazi au kibaka wakati jeshini tunafundishwa nidhamu na uzalendo
Kwahiyo kuwa Jambazi ndiyo suluhisho siyoSawa nenda kajifunze kulima nyanya miaka 2.
Ukiona hivyo jua tumeshakabwa sana tu hivyo tunajihami kwani madhara ya Kukabwa tunayajua Sisi na siyo Wewe unayeishi Oysterbay au Masaki.Sijui kwa nini watu wanawaza kuhusu kukabwa
Na shida ndipo inapoanzia hapo! Mtu anajijua kabisa hawezi na hayuko tayari kuwa mzalendo wala kuwa na nidhamu anaenda jeshini kufanya nini!Nidham na uzalendo hizo ni personal ethics.
Zinaanza na mtu mwenyewe.. wala si kwa kulazimishwa.
Tumuamini huyo Afande hapo au Wewe? au kwa maana nyingine unataka Kutuambia kuwa Mtoa taarifa hii kutoka JKT hii ndiyo ID yako hapa JF?Pesa ipo sema kuna mambo yanawekwa sawa
Kwahiyo kuwa Jambazi ndiyo suluhisho mkuuUmeuliza Swali la Kipuuzi kweli kweli Ndugu. Mbona huku Mashuleni tunakosoma pia hufundishwa Nidhamu lakini Watukutu hutokea huko huko?
Kama Kikapu Kikuu cha Taifa pale Baharini Ferry huwa kinaishiwa hadi Mkemia anaomba Hela kwa mwenye Timu yake Chamazi unategemea nini?Sababu ya kusitishwa mbona haisemwi??
Inauma sana mtu ushawadanganya nyumbani kuwa uko kwenye kifaru porini alafu unakuja kurudi na aibu zako.Itafahamika tu
MshaharaNa shida ndipo inapoanzia hapo! Mtu anajijua kabisa hawezi na hayuko tayari kuwa mzalendo wala kuwa na nidhamu anaenda jeshini kufanya nini!
Imbecile.Madhara ya copy and paste. Next time pitia kwanza uelewe kabla ya kuandika pumba humu.
Bora Wewe hiyo Hela yako tu, Mimi nina Dada Wawili pamoja na Mama yao kuna Kitu muhimu cha Mwilini walikitoa ili wapite na sasa wamekosa.Shubaamiti ile 200k yangu mtanirudishia maana nimesafirisha dogo toka kusini hadi magharibi mwa nchi.Muda fulani tuwe serious jamani hizi hela nimetafuta kwa ugumu sana.!!
Jiandae Kuvua Samaki au hata Kupiga Debe Stendi mbona na zenyewe nazo ni Kazi tu Ndugu? Binafsi navua hapa Pemba na ninapiga na Debe pia.Duuh nilikua najiandaa sasa itakuwaje wakuu??
Nashindwa kuelewa hivi kwa nini serikali isiwakusanye wote hata kwa lazma ikawapeleka hata mali asili huko wakaparangane na masokwe huko tuna mbuga kibao za wanyama zinahitaji askari kila siku na vijana wako tuu mafunzo wanayo kazi hawana.Tujiandaeni tu Kukabwa sasa Mitaani tena kuliko hata tunavyokabwa Kistaarabu kwa sasa. Na walivyo wengi Mitaani safari hii tutawakoma sana!
Jeshi ni nidhamu bhana usiogopeJeshi linatakiwa lijilishe mia kwa mia.
Usimamizi umefeli mahali.
Mnaturudishia huku mtaani waje kutukaba ? Kaeni nao huko huko.
Walikuwa hawajapata mafunzo ya kijeshi.Mbona hapo awali mlikuwa nao huko huko mtaani na hawakuwakaba?
Unaendelea bado Kuuliza tu Maswali ya Kipuuzi Ndugu.Kwahiyo kuwa Jambazi ndiyo suluhisho mkuu