Jeshi la Kujenga Taifa (JKT) lasitisha mafunzo ya kujitolea

Bora Wewe hiyo Hela yako tu, Mimi nina Dada Wawili pamoja na Mama yao kuna Kitu muhimu cha Mwilini walikitoa ili wapite na sasa wamekosa.
Mmmh Mkuu usiniambie ni mimba [emoji24][emoji24][emoji24][emoji24]
 
Nashindwa kuelewa hivi kwa nini serikali isiwakusanye wote hata kwa lazma ikawapeleka hata mali asili huko wakaparangane na masokwe huko tuna mbuga kibao za wanyama zinahitaji askari kila siku na vijana wako tuu mafunzo wanayo kazi hawana.
Mwanao angepitia yote haya uliyoyaandika hapa Wewe kama Baba yake Mzazi ungeyafurahia Ndugu? Unaonekana una Ego na Arrogance mno tu.
 
Mmmh Mkuu usiniambie ni mimba [emoji24][emoji24][emoji24][emoji24]
Chuma Kikuu na Cheusi kiliwapitia Wote kwa nyakati tofauti ili watengeneze Mazingira ya Kufanikiwa huko na sasa imekula Kwao. Kazi ipo hapa!!!
 
Yawezekana kati ya Watanzania wote Milioni 55+ ni Wewe tu Bumunda pekee ambaye umeshindwa Kuielewa vyema kabisa hii Taarifa kutoka JKT.
Hajaielewa kivipi wakati katoa ufafanuzi unaoeleweka,we ndo bumunda ambaye hujaelewa hyo taarifa
 
Nashangaa sana kwanini Mtu anatoka jeshini halafu anakuja kuwa jambazi au kibaka wakati jeshini tunafundishwa nidhamu na uzalendo
Sasa nitakula nini kitaa bibie ..? nidhamu na uzalendo ?

Na hivi narudi kitaa nimeiva lazima niwe wa kwanza kukukaba wewe na kukupora hasa lile pochi lako la pink
 
Nchi imeshfilisika


Watoto wanasoma chini ya mti

Biashara ngumu

Serikali haiwezi tena kuendesha hata mafunzo ya jkt

Mungu tuondolee hiki kikombe

Najuta kumpa kura yangu jiwe
 
volunteers wanahitaji sana haya mafunzo, ningelishauri wasitishe kwa compulsory ambao I dare say they are not in need of this training in their life
 
Serikali haina pesa ya kuwahudumia. Waseme ukweli tu.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…