Mariki boy
JF-Expert Member
- Nov 17, 2019
- 359
- 1,155
Mmmh Mkuu usiniambie ni mimba [emoji24][emoji24][emoji24][emoji24]Bora Wewe hiyo Hela yako tu, Mimi nina Dada Wawili pamoja na Mama yao kuna Kitu muhimu cha Mwilini walikitoa ili wapite na sasa wamekosa.
Mwanao angepitia yote haya uliyoyaandika hapa Wewe kama Baba yake Mzazi ungeyafurahia Ndugu? Unaonekana una Ego na Arrogance mno tu.Nashindwa kuelewa hivi kwa nini serikali isiwakusanye wote hata kwa lazma ikawapeleka hata mali asili huko wakaparangane na masokwe huko tuna mbuga kibao za wanyama zinahitaji askari kila siku na vijana wako tuu mafunzo wanayo kazi hawana.
Ukitaka usipigwe jitume, kazi zile wanalipwa wote. Huwezi kula hela ya watu utegeeSasa why usiende VETA kuliko kwenda kulima huko huku ukipigwa.
Chuma Kikuu na Cheusi kiliwapitia Wote kwa nyakati tofauti ili watengeneze Mazingira ya Kufanikiwa huko na sasa imekula Kwao. Kazi ipo hapa!!!Mmmh Mkuu usiniambie ni mimba [emoji24][emoji24][emoji24][emoji24]
Sasa hivi wanayo mafunzo ya kijeshi!Mbona hapo awali mlikuwa nao huko huko mtaani na hawakuwakaba?
Kijeshi bado ni wazalendoUzalendo ni ethic.. but new recruit mpya, ni begginers.
Bado hawajaanza.
Kitaalam wenzetu wanaita recruit.
Hajaielewa kivipi wakati katoa ufafanuzi unaoeleweka,we ndo bumunda ambaye hujaelewa hyo taarifaYawezekana kati ya Watanzania wote Milioni 55+ ni Wewe tu Bumunda pekee ambaye umeshindwa Kuielewa vyema kabisa hii Taarifa kutoka JKT.
Kwani hyo afande kasema pesa hakuna??Tumuamini huyo Afande hapo au Wewe? au kwa maana nyingine unataka Kutuambia kuwa Mtoa taarifa hii kutoka JKT hii ndiyo ID yako hapa JF?
Imbecile.
Half witted.Pimbi wewe.
Ukiwa na IQ fupi na iliyojaa Ujuha ( Upumbavu ) kama yako Kamwe huwezi Kuligundua hilo ila kwa Waliobarikiwa Akili wameshaligundua mapema.Kwani hyo afande kasema pesa hakuna??
Sasa nitakula nini kitaa bibie ..? nidhamu na uzalendo ?Nashangaa sana kwanini Mtu anatoka jeshini halafu anakuja kuwa jambazi au kibaka wakati jeshini tunafundishwa nidhamu na uzalendo
volunteers wanahitaji sana haya mafunzo, ningelishauri wasitishe kwa compulsory ambao I dare say they are not in need of this training in their lifeJKT YASITISHA MAFUNZO
DODOMA: JANUARI 19, 2021
JESHI la Kujenga Taifa (JKT) limetangaza kusitisha kwa muda mafunzo ya jeshi hilo ya kujitolea kwa mwaka 2020/2021 mpaka hapo itakapotangaza tena.
Kutokana na kusitishwa kwa Mafunzo hayo JKT imewataka vijana walioripoti makambini kurejea majumbani na wale ambao hawajaripoti wasiende kuripoti.
Taarifa hiyo imetolewa jijini Dodoma na Kaimu Mkuu wa Tawi la Utawala JKT, Kanali Hassan Mabena, wakati akizungumza na waandishi wa habari Ofisi za makao makuu ya jeshi hilo.
Nami All - Rounder nasema kuwa huenda kwa Kurejeshwa Kwao hawa na Ajira kuwa ngumu Vitendo vya Kiuhalifu vikaanza Kuongezeka nchini.
Taarifa: Uhurudigital
---
Siyo mbaya kusema safari hii Pesa hakuna ( Kibajeti kuliko Kuficha, lakini pia hata haya Mafunzo yanahitaji Mabadiliko makubwa sana ya Kimfumo.
JKT YASITISHA MAFUNZO
DODOMA: JANUARI 19, 2021
JESHI la Kujenga Taifa (JKT) limetangaza kusitisha kwa muda mafunzo ya jeshi hilo ya kujitolea kwa mwaka 2020/2021 mpaka hapo itakapotangaza tena.
Kutokana na kusitishwa kwa Mafunzo hayo JKT imewataka vijana walioripoti makambini kurejea majumbani na wale ambao hawajaripoti wasiende kuripoti.
Taarifa hiyo imetolewa jijini Dodoma na Kaimu Mkuu wa Tawi la Utawala JKT, Kanali Hassan Mabena, wakati akizungumza na waandishi wa habari Ofisi za makao makuu ya jeshi hilo.
Nami All - Rounder nasema kuwa huenda kwa Kurejeshwa Kwao hawa na Ajira kuwa ngumu Vitendo vya Kiuhalifu vikaanza Kuongezeka nchini.
Taarifa: Uhurudigital
---
Siyo mbaya kusema safari hii Pesa hakuna ( Kibajeti kuliko Kuficha, lakini pia hata haya Mafunzo yanahitaji Mabadiliko makubwa sana ya Kimfumo.
Mmeshawafundisha ukakamavu sie huku hawatufai tenaMbona hapo awali mlikuwa nao huko huko mtaani na hawakuwakaba?
Same to the one who gave birth to You Moron.