Nedlloyd
JF-Expert Member
- Mar 29, 2014
- 10,361
- 27,215
Vipi dada ulishaolewa ?Hamia Somalia bwege wewe
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Vipi dada ulishaolewa ?Hamia Somalia bwege wewe
Dar es Salaam. Ikiwa ni miaka mitano imepita tangu Makamu Mwenyekiti wa Chadema Bara, Tundu Lissu kushambuliwa, Jeshi la polisi limesema bado linaendelea kumsubiria mwanasiasa huyo na dereva wake.
Lissu ambaye anaishi nchini Ubelgiji alishambuliwa kwa risasi zaidi ya 30 Septemba 7, 2017 nyumbani kwake Area D jijini Dodoma akitoka kuhudhuria Mkutano wa Bunge.
Baada ya shambulio hilo, Lissu alipelekwa Hospitali ya rufaa ya Dodoma kabla ya kuhamishiwa Nairobi nchini Kenya siku hiyo hiyo alikoanza kufanyiwa operesheni na baadaye kuhamishiwa nchini Ubeligiji anakoishi mpaka sasa.
Katika mtandao wake wa Tweeter leo Jumatano Septemba 7, 2022 Lissu ameadika risasi 16, miaka mitano na operesheni 25 baadaye, bado nimewakomalia na mapambano yanaendelea miaka mitano, nabaki kujiuliza maswali.
“Ni kwanini Serikali na Jeshi la Polisi hadi leo hawafanyi uchunguzi na kwanini nimenyimwa, nimenyimwa haki zangu za msingi ikiwemo matibabu,”
Mwingine aliyetoa ujumbe unaofanana na Lissu ni Katibu Mkuu wa Chadema John Mnyika ambaye aliandika, “IGP na DCI ni vyema mkatumia siku ya leo, kutoa maelezo kwa umma ni kwanini hadi sasa waliomshambulia kwa risasi Tundu Lissu hawajakamatwa na lini mtaridhia wachunguzi”
Mwananchi Digital ilipomtafuta Msemaji wa Jeshi la Polisi, David Misime amesema uchunguzi wa kesi yeyote ya jinai unaweza kuendelea hadi pale waliofanya tukio hilo watakapopatikana.
“Watakapopatikana ndipo itajulikana nia ilikuwa ni nini kama Jeshi la Polisi lilivyowahi kusema uchunguzi wa tukio la Tundu Lisu bado tunaendelea nao kwa kukusanya ushahidi kutoka katika vyanzo mbalimbali.
Tulishasema pia aje pamoja na dereva wake ili tupate maelezo yao kwani yatatusaidia kusonga mbele katika uchunguzi wetu,”amesema Misime.
Akizungumza na Mwananchi, Lissu amesema hata kama nchi haiko salama sio sababu ya yeye kutokurudi, kwani kurudi nchini kunahitaji maandalizi ikiwemo fedha.
“Huu ni mwaka wa tano kuishi nje sio jambo dogo, kufanya maandalizi kunahitaji muda na fedha pia, Rais aliahidi kunilipa fedha za matibabu lakini hazijalipwa hadi leo licha ya kusema niandike madai yangu,”amesema Lissu.
Chanzo: Mwanainchi.
Mmoja anafahamika anaitwa MambosasaLini waanza kuchunguza wezi wa kura 2020.?
Nchi ilikuwa inaendeshwa na magenge ya wahuni kila kona.Mmoja anafahamika anaitwa Mambosasa
kuna wakati jamaa huwa sijui raia wanatuonaje raia, ni kama tunaishi dunia mbili tofauti.
This is rubbish, angelikufa?Mwananchi Digital ilipomtafuta Msemaji wa Jeshi la Polisi, David Misime amesema uchunguzi wa kesi yeyote ya jinai unaweza kuendelea hadi pale waliofanya tukio hilo watakapopatikana.
Wee ndio tutakufukuzia kwenu burundi siku si nyingi! Warundi mliohamia hapa ndio mliokuja na ubaguziHamia Somalia bwege wewe
Lisu taahira yule kiongozi mkuu wa nyumbu! Ashaoea hela za wanaume hiyo shiga!Kuhusu malipo si aliwah kutuambia kwamba serikali ya Samia imemlipa fedha zake zote
Kwani Kuna mtu alimuua Lissu?Wamuachie tu Mungu, miaka mitano mingi. Inawezekana hata muuaji mwenyewe akawa kishakufa na kuoza.
Ni kwa maslahi ya Taifa kwa kufikia mwisho wa hili, ambalo ni tukio la kutisha zaidi kuwahi kutokea kwenye Makao Makuu ya Nchi yetu.Mengine unaachana nayo tu ilimradi uzima upo
😂 😂 😂Unamkamata mtu aliyeshambuliwa?
Kadiri siku zinavyokwenda ndivyo ninavyozidi kupata ufahamu namna hawa Wapinzania wanavyoshughulikiwa ili wadhalimu waendelee kuwatafuna jasho la Watanzania.Jeshi la polisi limesema bado linaendelea kumsubiria mwanasiasa huyo na dereva wake ili wawakamate na kuwahoji namna tukio lilivyotokea