nana_
JF-Expert Member
- May 17, 2021
- 675
- 1,516
sawa mkuuUsisahau basi
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
sawa mkuuUsisahau basi
Kuwa mpole wapuuzi achana naoAcha tu nimejifunza sasa inabidi nikae kwa adabu 😢😜
Wewe leo utakula kwa macho tutakusaidia kazi usijaliSiku yangu imekua ngumu. niliingia lindo jana usiku, nikategemea kutoka leo asubuhi ila mwenzangu akapata dharula bado nipo lindo na nilikua na miadi shemeji yenu daaah
Duh pole umepigwa shingapNi mbaya nmekutana na matapeli nmetapeliwaa
Leo nimeshinda ndani siku nzima. Swaumu na pia sikua njema kiuchumi. Mshahara wa March ushaisha. Asante kwa kuuliza.
Laki 2 mkuu kizembe sanaDuh pole umepigwa shingap
Asantepole sana
as dahan🤗🤗🤗mamboooo!Ndio.. 😂😂😂Uzuri umenikwaza na unajua kurekebisha.. Haya fanya fastaa ukuje bfore siku haijakwisha😂😂
Kuwa mpole mkuu hauko peke yako mimi mwenyewe nimeshinda ndani muda wote kucheki moviesSiku yangu imeniboa sana, kushinda geto siku nzima !!!
Poaa😂😂as dahan🤗🤗🤗mamboooo!
Hahahaha sema nn mkuu ulijinoa sanaaaDah ebwana nimepangwa hapa mpaka sasa hivi mchuchu haujatimba magetoni wakati ndio nishajiboost, maji kwa wingi mixer pushup nyingi kujiweka fiti..hivi hawa viumbe wana matatizo gani?
hujambo lafkiyangu mrembo?😄😄Poaa😂😂
Mkuu hawa viumbe hawakomolewiBwana wee..na ole wake ayakanyage jasho la maji litakata atoe chumvichumvi mbwa huyu
Huyu ni type ya man ambao wana demu mmoja akifa kashakuwa mgane
Sahihi kabisa mkuu af sijui wanajiskiajeNdio shida ya kudate na under21..madude yetu ya above 30 hayanaga ujinga huu tena yanafika mapemaaa
Siku huwa zinapita hizo champNipo getto tu tangu niingie jana. Sipo sawa hata kidogo, katika siku ambazo akili imesimama kufanya kazi ni tangu Ijumaa mpaka sasa.
Mbaya zaidi sioni msaada napata wapi na kwa nani? Hatma yangu siielewi!