Ahsante mkuu, ubarikiwe sana karibu pia kwa mahitajinaomba iwe bahati mzuri uwe mtu mzuri ambaye siyo tapeli. mkuu, ukiwa mwaminifu na jina lako la uaminifu likawa kubwa hapa jf kama lilivyo la MWL.RCT, amini nakwambia utapiga pesa mpaka uzichoke, wanaohitaji kununua bidhaa kenya tuko wengi sana, kenya shipping method yake ni cheap kuliko amazon, ebay na aliexpress
asanteAhsante mkuu, ubarikiwe sana karibu pia kwa mahitaji
safi sana nilikua natafuta hiyo njia kulipa ka m pesa master card ya kutengenezaSawa unaweza kutumia M-pesa master kadi! Ni salama haina shida! Mm nanunulia sana bidhaa mtandaoni!
Faida yake ni kwamba unaweza kutengeneza kadi ya muda kwenye menue ya m-pesa! Ukahamishia kiasi unachotaka kununua biadhaa online!
Mfano iphone dola mia! Basi unahamishia hicho kiasi kwenye hyo kadi uliyoitengeneza.
Badala ya kutumia master kadi yako ya CRDB ambayo labda itakuwa na pesa nyingi!
Mwisho wa siku ukaibiwa zote! Mpesa master kadi unaitengeneza mwenyewe kwenye menue ya voda!
Halafu wanakutukia no ya kadi ambayo unaweza kutumia kwa manunuzi!
So utahamisha tu pesa kutoka mpesa kawaida kwenda kwenye hyo master card yako ya voda
Jaza 2555Jamani eeh najaribu kujiunga kwenye mtandao wa e bay ila hapo kwenye post code nashindwa nijaze nini?.
Sina post code nifanyeje ili nikamilishe zoezi la kujisajiri?.
Msaada wakuu wangu wenye uzoefu zaidi.View attachment 2160303
Post code ndio destination ya mzigo wako nenda posta ulizia hiyo utapewaJamani eeh najaribu kujiunga kwenye mtandao wa e bay ila hapo kwenye post code nashindwa nijaze nini?.
Sina post code nifanyeje ili nikamilishe zoezi la kujisajiri?.
Msaada wakuu wangu wenye uzoefu zaidi.View attachment 2160303
Asante mkuu ,Post code ndio destination ya mzigo wako nenda posta ulizia hiyo utapewa
Hiyo ndo namba ya nn mkuuJaza 2555
Nina mzigo uko Malaysia mwenye kujua njia nzuri ili ufike Tanzania anisaidie
Nitaipitia mkuuView attachment 2164287
Zaidi: Nunua bidhaa kutoka Mataifa 15 ikiwemo USA, UK, UAE na China sasa
- Naweza kukuletea nchini.
- Gharama hutokana na uzito wa package husika.
Nenda posta iliyopo eneo ulilopo au ulipofungulia sanduku lako na ukiomba post code za eneo hilo utapata, post code ni muhimu sana ndio zitaelekeza mzigo ufikie wapiJamani eeh najaribu kujiunga kwenye mtandao wa e bay ila hapo kwenye post code nashindwa nijaze nini?.
Sina post code nifanyeje ili nikamilishe zoezi la kujisajiri?.
Msaada wakuu wangu wenye uzoefu zaidi.View attachment 2160303
Wanataka address na wanataka ya malaysia tu au wewe kuna namna ya mzigo kukufikiaView attachment 2164287
Zaidi: Nunua bidhaa kutoka Mataifa 15 ikiwemo USA, UK, UAE na China sasa
- Naweza kukuletea nchini.
- Gharama hutokana na uzito wa package husika.
Ndio utanifikia.wewe kuna namna ya mzigo kukufikia
TCRA wamerahisisha upataji wa post codeNenda posta iliyopo eneo ulilopo au ulipofungulia sanduku lako na ukiomba post code za eneo hilo utapata, post code ni muhimu sana ndio zitaelekeza mzigo ufikie wapi
https://www.tcra.go.tz/postcode
Sio kweli, Acha kupotosha +255 ni Country Code, na sio Post Code, Fuata maelekezo hapo juu ili kujua Post Code sahihi.Jaza 2555
Angalia Maelezo hapo Juu.kwenye post code nashindwa nijaze nini?.
Sio siri mwalimu umekua msaada sana,TCRA wamerahisisha upataji wa post code
#1. Fungua
#2. Bofya Tafuta ZaidiCode:https://www.tcra.go.tz/postcode
View attachment 2182208
#3. Chagua mkoa wilaya na Kata yako. Utaona Postcode
Sio kweli, Acha kupotosha +255 ni Country Code, na sio Post Code, Fuata maelekezo hapo juu ili kujua Post Code sahihi.
Angalia Maelezo hapo Juu.