Jifunze njia nzuri ya kufanya manunuzi kwenye mtandao (Ebay, Amazon, Bestbuy)


Nimekuwa nikijaribu kujiunga na PayPal hapa Tanzania bila mafaikio. Msaada tafadhari
 

Mkuu nimefikia hapa sijaelewa niendelee vipi
 

Attachments

  • 1419073832540.jpg
    57.9 KB · Views: 596
Mkuu nimefikia hapa sijaelewa niendelee vipi

Hapo kilichobakia mkuu ni kuuship mzigo kuja tanzania pamoja na kufanya malipo kwa comgateway tu.ngoja niongee na admin aniongezee nafasi ya thread niweze kuonesha vizuri zaidi mkuu..
 
Hapo kilichobakia mkuu ni kuuship mzigo kuja tanzania pamoja na kufanya malipo kwa comgateway tu.ngoja niongee na admin aniongezee nafasi ya thread niweze kuonesha vizuri zaidi mkuu..

Hivi pale kwenye thamani ya kitu ni thamani ya bei uliyonunulia au thamani gani yanayohitaji?

Maana nilinunua betri amazon kwa US$38.36 , nilipoona kuna sehemu inadai niandike thamani ya kitu ninachotaka kusafirisha nikaandika hiyo hapo juu. Gharama ya kusafirisha mzigo ikawa US$ 64.60.

Nikaona gharama ya kusafirisha ikawa mara 2 ya kununulia

Au kuna sehemu nilikosea kuchagua namna ya usafirishaji?
 
Yan kannt read all the posts but.. Kazi Nzuri mnafanya!! Honestly I didn't know but atleast now sitaogopa kihivo.. Unajua kukosa elimu ndo kunatufanya Watz Tunakua nyuma kwenye maendeleo.. Koz hem fikiria mtu anataka bidhaa kutoka marekani but Anaona Bora asafir kuufata mzgo and arud nao which is so costly compared to this system ya online purchase!! Worth thread!
 
Nawashuku sana wadau wa uzi wenu na kwa wato waliochangia uzi huu nimefanikiwa kuagiza kitu na kimefika bila zengwe mwanzoni nilihisi kama itakuwa ni ndoto ila ni kweli vitu vinafika SHUKRANI za pekee kwa MZEE RULA jamaa amenisaidia tangu hatua ya kwanza hadi ya mwisho shukrani sana TANZANIA hasa jamii forum kuna vitu vizuri sana mtu unaweza ukajifunza kupitia watu wa JM na ukapata kitu haihitaji kwenda darasani much respect to all
 
nikipata pesa nitarudi huu uzi. maana sitaki nitumie account yangu ya mshahara. nipate pesa nifungue account maalum kwa hiyo shughuli
 

mkuu heshima kwako, naomba huo ujanja wa kukwepa kodi, kuna item nategemea kuipata this week, naomba ni pm siunajua kodi inaumiza.
 
mkuu heshima kwako, naomba huo ujanja wa kukwepa kodi, kuna item nategemea kuipata this week, naomba ni pm siunajua kodi inaumiza.

Kodi unaikwepa Wakati unanunua pale Kama nilivyosema kwenye post zangu zingine
 
KWA ANAYE HITAJI CM, IPAD & CAMERA
Zipo digital camera za aina mbali mbali pamoja na professional camera, cm kama huwawei ascend y 530, tecno M3, tecno P5, htc, lg na nyingine nyingi tu, zipo na lenovo ipad kwa yeyote atakayehitaji tuwasiliane kwa no: 0715-546818
 
Huu uzi ni wa maana saana ngoja nipitie wote kabla sijauliza maswali yangu na mimi
 
eti kunamakato ya kutumia/ku activate online transaction kwa crdb? au makato yoyote kwa hiyo huduma?

Sidhani kama yapo mkuu na kama yapo ni kidogo sana mimi natumia NBC sijakatwa chochote
 
mi nataka niagize metal detector kutoka amazon ila sina mastercard af nipo mza naombeni msaada
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…