Jinsi Natepe alivyomhenyesha Rais Ali Hassan Mwinyi

Story ya uongo na ya kutungwa
Mzee Mwinyi alijiuzulu 1976 sio 1983
Mkuu Pohamba , ni kweli huyu Konzo Ikweta ni muongo!. 1976 ni mwaka wa tukio lililosabisha Mwinyi kujiuzulu, ila alijiuzulu mwaka 1977. Aliyemtimua kwenye nyumba ni Jackson Makweta.

Watuhumiwa wawili wa mauaji ya vikongwe Mwanza, Masanja Makhulla Mazengenuka na Issac Mwana Mkoboko, walifariki kwa mateso katika mahojiano na polisi eneo la Kigoto.

Kufuatia vifo hivyo, Waziri wa Mambo ya Ndani, Ali Hassan Mwinyi alijiuzulu, IGP, Samuel Pundugu, Director wa Tiss, Emilio Mzena, na Mkuu wa Mwanza, Peter Kisumo wakastaafishwa kwa manufaa yang umma. Mzee wangu, RSO wa Mwanza, RPC wa Mwanza, DSO wa Mwanza na OCD wa Mwanza wakashitakiwa kwenye ile Kesi ya Mauaji Mwanza.

P
 
Sawa Mkuu
 
Huyu Mzee ndiye Rais pekee mwenye sifa ya Uchamungu
 
Natepe kastaafu jeshini mwaka gani??
 
Natepe kastaafu jeshini mwaka gani??
Amestaafu jeshi rasmi kipindi cha Mwinyi sikumbuki mwaka.

Hila kweli alishakuwa waziri ya mambo ya ndani from 1980-83 (news to me) it makes sense kipindi hiki Nyerere alikuwa akijiami either way kushika nyazifa hizo inabidi uvue majukumu ya jeshi.
 
Amestaafu jeshi rasmi kipindi cha Mwinyi sikumbuki mwaka.

Hila kweli alishakuwa waziri ya mambo ya ndani from 1980-83 (news to me) it makes sense kipindi hiki Nyerere alikuwa akijiami either way kushika nyazifa hizo inabidi uvue majukumu ya jeshi.
Basi ushakubaliana nami kuwa sio kweli zamani watu walikuwa hawashiki nafasi za kisiasa kabla ya kustaafu jeshini.

Luteni kanali Jakaya kikwete kawa waziri toka 1988 jeshini kastaafu 1992

Kanali abdulrahman kinana amekuwa waziri toka awamu ya kwanza ya mzee mwinyi na akastaafu jeshini awamu ya pili ya mwinyi 1992.

Meja jenerali abdallah natepe kawa waziri 1983 na akastaafu enzi ya mwinyi.
 
Good
 
Mkuu Paskali,
Baada ya mzee Ruksa kujiuzulu na kutakiwa kupisha nyumba ili mrithi wa kiti chake achukue nyumba ya Osterbay, alikuwa ni nani?

F
 
Dah mzee mpaka aliandika kwenye kitabu chake inaonekana alimmaindi sana Ila sababu ana roho ya utu alimwachia Mwenyezi Mungu tu.

Kweli malinza duniani si kitu cha muhimu uhai. Ona sasa mzee anakula maisha mpaka leo. Roho mbaya haijengi.

Na wenye roho mbaya mwisho wao mbaya sana . Kama jamaa yetu tu.
 
Jakaya na kinana wamestaafu jeshini mwaka 1992

Jakaya kawa waziri toka 1988.
Jakaya na Kinana walistaafu na kutoka jeshini baada ya kuanza kwa vyama vingi.

Kabla ya vyama vingi walikuwa wanashika nyazifa za kisiasa bila kuondoka jeshini
 
wewe ni stupid kabisz
 
Sasa siku hizi mbona watu wananyiziwa vituo cha police hatusiki RSO , RPC, RC n.k wakijiuzuku
 
Hivi wewe uliyekuwa unapinga uzii kama leo bado yu hai unajisikiaje baada ya kusoma kitabu cha Mwinyi
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…